Hakika
 
Non sense ...Huwez kwenda Against nature nyie ndo wale mnaosema hata mwanaume ana bikra ...Viande nyie ...
Upo wrong sana. Kadri single mama wanavyoongezeka ni ishara kuwa jamii husika ina wanaume wasiojua kuchagua mwenza wa kuanzisha familia, wanaume malaya, chovya chovya na wasiojua kumlimda mwanamke na wasio na displine na uwezo wa mwanaume wa kuilinda familia na uzao wake. Hiyo ni against nature.

Nature inataka wanaume wenye discpline ya kuchagua mwanamke sahihi wa kuzaa na kuishi nae, kumwongoza mwanamke na kumlinda, inataka wanaume wanaotunza familia na watoto wapate malezi ya baba na mama.

Nature haitaki wanaume malaya wanaochovya chovya kuzaa na wanaotelekeza wanawake baada ya kuwazalisha. Ni against nature kuzalisha mwanamke na kumkimbia kisha wanaume wengine nao waamue hawatamuoa

Utafahamu kuwa upo wrong pale ambapo wanaume wamezalisha wanawake na kuwatelekeza na ss jamii ya wanawake imebaki na vitoto vidogo ambavyo wanaume wote wanavisubiri vikue wapate wake maana watu wazima wote walishazalishwa na wanaume wenye mawazo kama ya kwako.

Hapo utakuwa na ww una binti yako ambaye ananyemelewa au kijana wako ambaye unatamani afunge ndoa ila hakuna wa kuoa huku watu wazima na vijana wanamsubiri binti yako avunje ungo.
 
Usioe single mother kama huna hela..maskini ukioa single maza utakufa na kimue mue..
 
Ni mda sasa tangu nianzishe mausiano na uyu binti Ni binti mzuri kiasi kimwonekano yuko soft mwanzoni nilimuona Ni binti anae jielewa nikawa namshirikisha kwenye Mambo yangu.. Mara yakwanza kumuita getto alikuja na mdogo wake siku mind Sana cuz nilijuwa pengine labda ajaniamini kias chakunipa mbususu tulikaa kwamda mfupi Getto then wakaaga nakudai kuwa kwao wanabanwa Sana nawametumia trick yakwenda kanisani ili waje kuniona maana ilikuwa ijumapili.

Basi nikajisemea apa nimepata Dem anaejielewa akanifanya niwe proud kuwa kwenye mausiano .. Maranyingi mimi hua siyo mtu wakuweka salio la dakika nikiweka dakika Basi Ni kwajili yakuwatafuta watu muimu Sana.. nikiweka vocha Bas nimoja kwamoja MB au SMS Dem akawa ananipigia Sana ...Kama mnavyojua wajuba moyo bado aujaridhika nikawa namkomalia aje Getto .. Kila akisema siku Fulani siku iyo ikifika anahairisha .. kias kwamba nilikuwa naacha kwenda job nikitegemea atakuja ila wapi .. siku inapita for nothing .. juzi tu kaja mida ya saa 11 jioni .. moyoni nikajisemea hayawi hayawi mganga anaga dawa ya mende .. to be honest uyudem hakuwa mgeni kabisa kwenye Mambo viuno kama jini laki latino nikawa surprised ..what the hell ? Mara tuko kwenye game anahanza baby utanipa shingapi Mara Nina mda mrefu sijatuma Ela ya matumizi kwa MWANAGU .. Apo mzuka ukakata nikachomoa .. what ? Unamtoto ?

Akasema ndio mwenzio nina mtoto anamyaka 2 Sasa yupo kwa Bibi yake .. nikauliza na vipi kuhusu babayake !! Akasema babayake tushazinguana .. nikauliza aliwai kukuoa ? Akdai Ndio ila atukukaa mda mrefu kwenye ndoa tukaachana .. uyu dem aliolewa akiwa yuko under 18 Yani ukimuona bado mdogo kias kwamba sikuweza kugundua Kama Ni single mother .. nilimwambie tu aondoke nikampa buku 5 .. kesho yake asubui anapiga sim my nitumie Ela ninywe chai Kama utaki pita hivi ..Tena kwakulazimisha uyu dem anaishi geti kali japo siyo kwao Ni kwa Shangazi yake .. ila hawezi kosa kitu Shangazi yake Ana hoteli sehem flan apa Mwanza .. inshort siyo kinyonge kihvyo ila nashangaa anapigo Zaki Malaya .. Mara sim yangu imeibiwa nimeweka line kwenye sim ya huyu mlinzi ..Yan nateseka.. nikasiki sauti moyoni ikisema .. bye bye ..

Jamani tuweni makini na hawa madem tunao waona wapo mtahni nibora kuwachunguza vyakutosha nilijuwa nimepata Dem waku focus nae kimaisha..kumbe wapi .. #Kwenuwakuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…