Redpanther
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 2,823
- 3,816
Tunakubaliana kuwa wewe utahudumia, hivyo mimi nitahudumia pale ninapotaka kwa mfano nachagua kuwa mimi nitalipa Ada tu lakini baadae ubao unageuzwa kinyume na kesi juu na ulivyo mfumo unamlinda mtoto wa kike zaidi, kijana wa kiume atabanwa na mshahara wake utawekwa kwenye ubao wa kukatwa kila mwezi kitu ambacho hakikua makubaliano.Kwa hiyo wewe ni sperm donor??
Hao Sperm Donor wa huko mbele wanalipwa na moja ya makubaliano ni kutokujuana na muhusika hivyo hatojua mtoto wake yuko wapi na yupo na nani ila kwa kesi yako wewe ni kua mnajuana na huyo Mwanamke na mkakubaliana kuzaa
Sawa wewe mwerevu, andika bandiko lako.Umeandika upumbavu.
Kuna mwenzako wakati anawamwaga wakoloni akamuambia demu bao la 3 halileti mimba. Wakakutana pipa na mfuniko.
Comment of the year,ninashangaa wanaume wanaosema wametegeshewa.sasa mwanaume unakubalije ujinga wa kuzaa na mtu usie na malengo nae kwa kigezo kuwa hautailea damu yako? mi damu yangu siwezi kuiacha hivyo hivyo siwezi kumbebesha mimba mwanamke nisie muhitaji awe karibu na maisha yangu
Mvulana wewe na akili yakp ambayo imeshindwa kuelewa maada. Nenda kale ndizi ndugu yangu mtashobyaBado huna hoja.
Kwanini umbebeshe mimba mwanamke kwa hoja atalea mwenyewe? Huoni ni utaahira. Wewe bado ni mvulana.
Kwani si utumie condom,au nenda kwa Dr wakuelekeze njia za kujizuia mwanaume usimpe mimba mwanamke.Basi usit**mbe mkuu, suburi ndoa[emoji41]
Comment of the year kwa sababu inakuteteeni single mothers. Kwa habari yako bandiko hili limelenga kumkumbusha kuwa anapomnyandua singo maza avae mpira tena zile imara kama rough rider tofauti na hapo atakea familia ya watoto wanne pekee yake na kututukanisha wanaume kwa kauli za kwamba, sihitaji mwanaume mimi, nalea wanangu kwa nguvu zangu wakati nyuma ya pazia kila mwezi anatumiwa child support.Comment of the year,ninashangaa wanaume wanaosema wametegeshewa.
Binafsi nataka kwenda kufanya vasectomy alfu najua kuna mtu atakuja kuleta uongo etii ooh sioni siku zangu ndio atajuta atakapokutana na cheti cha vasectomy. [emoji4]Kwani si utumie condom,au nenda kwa Dr wakuelekeze njia za kujizuia mwanaume usimpe mimba mwanamke.
Inashangaza sana inawezekanaje mwanaume unaweza kuweka au kukubaliana na makubaliano kuwa hautalea damu yako kisa mwanamke kakwambia anataka kuzaa na wewe ila atalea peke yake?Comment of the year,ninashangaa wanaume wanaosema wametegeshewa.
Nimekuwa nasisitiza humu kila wakati. Vijana tumieni Condom.Wengi wetu tumekamatika sana. Ukishampa mimba au ujauzito atakuacha mwezi wa kwanza then baadae sarakasi huja na unajikuta unashangaa imekuaje wakati tulikubaliana kabisa. Utafikishwa kwenye madawati kijinsia na kuwekewa masharti na utaratibu wa kutoa pesa ya matumizi ili hali hata hukuwa umejiandaa.
Kwa uandishi huu nakuombea hata wewe ukamatike tu na hao masingo maza maana hakuna namna [emoji16]
On a serious note, wewe mwanaume mzima na akili zako unakubalije kuleta kiumbe hapa duniani wakati unajua kabisa kuwa hutashiriki kwa namna yo yote ile katika malezi na makuzi ya kiumbe hicho?
Hata huyo singo maza asingekuwa mtata na akatimiza ahadi yake asikusumbue kamwe kuhusu malezi ya mtoto, kama mwanaume uliyekamilika, hicho kweli ndicho unachokitaka? Mtoto wako mwenyewe akue bila malezi ya baba yake? Bila father figure katika maisha yake na dunia hii iliyoharibika hii? Na wewe upo mzima wa afya na una uchumi mzuri kama unavyosema? Mawazo gani haya nyinyi vijana wa siku hizi?
Be responsible. Kama huwezi kutunza mtoto atakayezaliwa basi acha kupelekea moto watoto wa watu (haijalishi kama ni singo maza ama la!) au tumia kinga. Janaume zima eti umerubuniwa na singo maza kwa ahadi kuwa atalea mwenyewe wakati na wewe upo mzima huna tatizo lo lote na wewe ukakubali. Ni Umario na ukwepaji wa majukumu wa kinyama!
Hopulesi kabisa yaani! [emoji2211][emoji2211][emoji2211][emoji2211]
View attachment 2644598
Hiyo unazungumzia katika hali ya kwamba umelazimishwa basi sasa unaamua kuhudumia ila kuna ile unaona kabisa hii damu yangu huna jinsi zaidi ya kuhudumia majukumu lukuki. Single mothers ni wakua nao kiakili sana watakufanya uchukie kut*mba. Tutumie kinga zile imara hata ikipasuka mbegu haziiingii kwenye uke wake.Ustawi wa jamii dau la kumuhudumia mtoto huwa ni kama ifuatavyo
1k per day sawa na 30k kwa mwezi
2K per day sawa na 60K kwa mwezi
3K per day sawa na 90 kwa mwezi
Hiyo 1K ni kwa makapukula
Hiyo 2K ni kwa makapuku (kipato cha kati)
Hiyo 3K ni kwa madon
Sasa binti gan atakubari kuzaa kisa 90K kwa mwezi
Nakumbuka kesi ya Diamond na mobeto ustawi wa jamii waliamua diamond awe anampa mobeto pesa ya matunzo 70K kwa mwezi ila diamond due to utu wake akawa anatoa 3 milion
So haupo sahihi
Ni mwendo wa vasectomy tu sasa hivi. Si wazee wa hit and run inatuhusu sana, unaweza fika uzeeni unakabidhiwa rundo la watoto kudadeki unashindwa faidi pensheni yako.Nimekuwa nasisitiza humu kila wakati. Vijana tumieni Condom.
Mbegu za kiume zikishaingia kwa mwanamke, zinakuwa ni mali halali ya Serikali. Lolote linatofuata baada ya hapo litashungulikiwa kisheria.
Be a Man, Respect yourself.