Kwa uandishi huu nakuombea hata wewe ukamatike tu na hao masingo maza maana hakuna namna [emoji16]
On a serious note, wewe mwanaume mzima na akili zako unakubalije kuleta kiumbe hapa duniani wakati unajua kabisa kuwa hutashiriki kwa namna yo yote ile katika malezi na makuzi ya kiumbe hicho?
Hata huyo singo maza asingekuwa mtata na akatimiza ahadi yake asikusumbue kamwe kuhusu malezi ya mtoto, kama mwanaume uliyekamilika, hicho kweli ndicho unachokitaka? Mtoto wako mwenyewe akue bila malezi ya baba yake? Bila father figure katika maisha yake na dunia hii iliyoharibika hii? Na wewe upo mzima wa afya na una uchumi mzuri kama unavyosema? Mawazo gani haya nyinyi vijana wa siku hizi?
Be responsible. Kama huwezi kutunza mtoto atakayezaliwa basi acha kupelekea moto watoto wa watu (haijalishi kama ni singo maza ama la!) au tumia kinga. Janaume zima eti umerubuniwa na singo maza kwa ahadi kuwa atalea mwenyewe wakati na wewe upo mzima huna tatizo lo lote na wewe ukakubali. Ni Umario na ukwepaji wa majukumu wa kinyama!
Hopulesi kabisa yaani! [emoji2211][emoji2211][emoji2211][emoji2211]
View attachment 2644598