Dada zangu kwa experience yangu ukitaka kuepuka usingle mother.
1.Acha tamaa ya fedha ambayo inakufanya mpaka udharau utu wa mtu na kuwa mtumwa.
2.Waepuke vijana wahuni.
3.Epuka maf*ck boy/play boy (wanawake wengi wanawapenda hawa vijana ,ila wengi wao wapitaji).
3.Epuka mume wa mtu.
4.Jijenge kiroho (hofu ya Mungu), thamini usichana wako na ndoto zako.

Hamna kitu kinauma kama umkute binti ambaye age yake haijavuka 20+ halafu single mother na namba ya mabinti hawa ni kubwa,yaani unawatizama mpaka huruma.

Vijana mnao waita sijui wapole/wakimya/sio wazuri kitandani/nice guy/church boy nk hawa ndio waoaji japo mara nyingi huwaga mnawadharau ila wengi wapo tayari kuyabeba majukumu ya ubaba.

Ila kaa mkijua sifa ya mwanaume ni moja kuhakikisha anailinda na kuitunza familia,anaipatia mahitaji yake ya msingi ya kiroho na kimwili, hiyo ndio sifa ya kwanza ya kumpima mwanaume wako na si kuwa mzuri kitandani au uhuni au fedha.
 
Punguza nyege bro. Kama wewe huhudumi familia ni wewe ila kuwatetea hao dada zako wadaganji hakukusaidii lolote. KMLY
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ mtu aliyemature hatukani au kutoa matusi dogo. Unawaza ngono tu kichwani, hivi unajua unadanga wewe hapoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ halafu unawalaumu wadada tena, au hujui definition ya kudanga dogo. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ halafu acha kumtukana mama yangu dogoπŸ˜‚πŸ˜‚.
 
Yaani dawati tu unatikisika? Unaweza wagomea na hawana la kukufanya.
Labda mahakama ndo waweza ogopa maana wanaweza agiza bank zikamate acc
 
Yaani dawati tu unatikisika? Unaweza wagomea na hawana la kukufanya.
Labda mahakama ndo waweza ogopa maana wanaweza agiza bank zikamate acc
Binafsi siwezi kataa kulea damu yangu, ili mradi tu DNA ni positive kuwa mimi ni Baba mtu.
 
Anadanga mama yako, kama vipi achana na huu uzi, akili za kisimbe siwezi kuelewana nazo.
 
Anadanga mama yako, kama vipi achana na huu uzi, akili za kisimbe siwezi kuelewana nazo.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ you have mummy issues dogo, maana unatukana sana mama. Naachana na uzi ila ukuwe dogo, majukumu hayakimbiwi na kamwe mwanaume hawezi kudelegate majukumu yake. Tafuta pesa utunze familia sio kutegemea kulelewa mtoto na mwanamkeπŸ˜‚πŸ˜‚.
 
Na kingine single mothers wengi wako na stress, wakati wewe unatafuta furaha unageuzwa stress removal so ni jukumu zito
 
Habari ndugu jamaa na marafiki

Leo nitazungumzia mambo mawili kuhusu single mother, kiufupi kundi hili la wanawake lipo ktk makundi 3

Kundi la kwanza
Singo mother aliefiwa huyu ni ngumu sana kujua tabia yake kwa haraka lkn pia anaweza kuwa na tabia njema .

Kundi la pili
single mother aliekuwa anajitegemea alafu akazaa , huyu ikiwa amekaa kwenye hali hii kwa miaka zaid ya 5 ni ngumu sana kuwa na ndoa alafu ndoa ikawa haina kelele za mara kwa mara.

Anaitaji uhuru ambao mwanzo alikuwa nao , anapika anapojisikia , hakuna wa kumpangia kazi , anakwenda anapopataka bila kuaga na haulizwi muda kurudi,

Kundi la tatu
huyu mwanamke sio single mother lkn amelelwa na single mother. Hapa ndio kwenye changamoto kubwa sanaa, mwanamke hajui chochote kuhusu mume.

Anashindwa hata kujua mume anahitaji nini na muda gani. Unajua katika maisha halisi mke na mume wanapoishi watoto wa kike wanajifunza mama anavyomtendea baba kuanzia heshima huduma za ndani nk,

Mama alikua anamwambie baba pindi chakula kinapokuwa mama anamuitaje baba , mama akiomba ruhusa ya kutoka baba akagoma mama anafanya nn ,

Mambo haya unaweza ona ya kawiada lkn ukiyadharau ukasema wacha niowe atajirekebisha itakula kwako

Kuna mtu aliwai kuniambia ukitaka kuowa mwanamke mnene tafuta mnene, usije tafuta mwembamba ukasema atanenepa nyumbani itakula kwako.

Ikitoke una uchumba wako wa kike au kiume ana tabia fulani ambayo hauijavutiwa nayo mkanye ukiona amerudia tena achana nae mapemaa.

Tabia ya mtu ni kama ngozi ya mwili kamwe haiwezi badilika

Wanamme tunapitia chamoto
 
Kikubwa hapa huwa tunataka tendo la ndoa muda wowote ukihitaji, hayo mengine ni ziada tu. Kuoa single mother inakupasa kujiandaa kisaikolojia ili uzimudu tabia zake mbaya
 
Uko sawa ,sasa wataolewa na nani wao?
Ukimchunguza sana kuku huwezi kumla
 
Habari ndugu jamaa na marafiki

Leo nitazungumzia mambo mawili kuhusu single mother, kiufupi kundi hili la wanawake lipo ktk makundi 3
Huu ndo utuzima wenyewe sasa kadri unavyo kutana na changamoto ndivyo upeo wa kufikiri na kuchambua mambo kwa kina kinaongezeka kama hujawahi ishi na mwanamke kuyajua haya siyo rahisi sana ......nikiri hadharani πŸ‘‰NAUNGA MKONO HOJA πŸ“ŒπŸ”¨
 
Mnakataa single Mothers wakati mnaowazalisha na kuwatelekeza ni ninyi wenyewe?

Unapata ulichostahili na malipo na hapa hapa duniani , na ndo maana mnalipa madeni mnazaa wa kike tu[emoji23]

Ili baadae ushuhudie anavyofanyiwa mwanao
 
Hilo andiko liingie kwenye hansad za bunge

 
πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„ Kifupi kujilipua ni kubeti huwezi kuta mwanaume anajilipua kwenye ndoa
 
Apo Sasa alafu kwenye kuaga mwili wa marehemu ankwenda na wake wenzie(kundi la wakwe)
 
Wewe ni mbaguzi na hoja zako.zimejaa.chuki eitha unataka au hutaki single mother wengi tumeolewa na kwa jinsi wale wenza wetu wa zamani walivyotutenda na kutukatili hatuna hata no zao za simu Wazazi wao ndo tunadeal nao kuhusu watoto Acha kuharibia wengine .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…