flowerss
JF-Expert Member
- Nov 25, 2017
- 640
- 591
Labda Ana jinsia mbiliSingle maza wanasemaje juu ya hili!?
Na wewe umejuaje udhaifu wa single maza na ni mwanaume!? Umewezaje kujua yaliyomo mioyoni mwao?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda Ana jinsia mbiliSingle maza wanasemaje juu ya hili!?
Na wewe umejuaje udhaifu wa single maza na ni mwanaume!? Umewezaje kujua yaliyomo mioyoni mwao?
Hakuna kitu Kama hicho.Mmejaa chuki wkt mmetokana na single mazaHuu ni ukweli mtupu.
Mama yako huenda alikuwa Single mother maajabu eti unasagia kunguniKIMBIA SINGO MAZA KBSA
USITHUBUTU KUWA NA SINGO MAZA
Hakuna Cha Five star Wala Nini ni utopolo mtupu na ukosefu wa kinga kichwaniHizi nondo zako Robert Heriel Mtibeli zimesimama sana,mimi nazipa rank ya 5 Star...
Sana kama huyu mwandishi wa hii madam naona hajameza dawaWanaume wana roho mbaya na ubinafsi.
Acha unafiki wewe Uende mbinguni .Nimekuchukia Sana na andiko lako la ubaguzi kwa wadada wanaoteseka na watoto hutaki Tena waolewe ili wapate familia Bora unakazia na mauongo yako[emoji1488][emoji1488][emoji1488]
Barikiwa Sana
We ni single mom?Hakuna kitu Kama hicho.Mmejaa chuki wkt mmetokana na single maza
Heshima kwanza aisee, mizigo ipo mingiunaoa ili nini uheshimiwe au ule mzigo...
Wewe ndiye Dickson? Au utabisha?Muwaoe tu mkipenda ila kaeni mkijua huwa hawasahau kabisa waliposababishiwa huo u single mother.
Ni wachache sana wanaobadilika especially pale wenza wao wanapokuwa wame R.I.P😄😄
Huyu tulishaachana, akaolewa kwingine ila hachoki kunitafuta.
Mhhh umetisha!Wewe nawe hebu lea mtoto wako huko. Unakuta anakutafuta mara kwa mara kukukumbusha kwamba una mtoto maana upo hai na mtoto wako analelewa kwa misaada kama yatima na wewe unadhani anakutafutia kupigana miti[emoji57][emoji57][emoji57]
HakhjMahusiano yana mjumuiko wa mambo mengi, moja wapo lililo dogo kuliko ni sex.
Mahusiano yanagusa moyo fikra nasfi na akili.
Akili huhifadhi mambo mengi sana yawe mema au mabaya.
Mahusiano yanaweza kuvunjika kwa nje lakini akilia moyo na nafsi vikashindwa kuvunja, hata kama kulikua na kujeruhiwa kwa namna gani jeraha linapona, jeraha likisha pona akili hurudia kumbukumbu zake .
Ni ngumu sana kuachana moja kwa moja na mtu ulie mpenda kweli.
Ni ngumu kwa kiasi chake, kama sio leo kesho basi hata mtondogoo utamkumbuka tu, hata kama hauta kua na nia mbaya lakini utamkumbuka tu, upande mwingine wa akili ya mantiki ndio inakukumbusha huyu kaolewa au kaoa basi ndio unarudi nyuma , lakini kamwe alie pendwa hasauliki kwa urahisi.
Tuepuke kupenda kwa dhati , walao itapunguza wangi wa changamoto hizi.
Hapa umeongea jambo la maana sana .Hichi ulichoandika yapo kwenye ngoma ya mwanamuziki keri hilson inaitwa energyMahusiano yana mjumuiko wa mambo mengi, moja wapo lililo dogo kuliko ni sex.
Mahusiano yanagusa moyo fikra nasfi na akili.
Akili huhifadhi mambo mengi sana yawe mema au mabaya.
Mahusiano yanaweza kuvunjika kwa nje lakini akilia moyo na nafsi vikashindwa kuvunja, hata kama kulikua na kujeruhiwa kwa namna gani jeraha linapona, jeraha likisha pona akili hurudia kumbukumbu zake .
Ni ngumu sana kuachana moja kwa moja na mtu ulie mpenda kweli.
Ni ngumu kwa kiasi chake, kama sio leo kesho basi hata mtondogoo utamkumbuka tu, hata kama hauta kua na nia mbaya lakini utamkumbuka tu, upande mwingine wa akili ya mantiki ndio inakukumbusha huyu kaolewa au kaoa basi ndio unarudi nyuma , lakini kamwe alie pendwa hasauliki kwa urahisi.
Tuepuke kupenda kwa dhati , walao itapunguza wangi wa changamoto hizi.
Umeongea kitu cha kweli kabisaMahusiano yana mjumuiko wa mambo mengi, moja wapo lililo dogo kuliko ni sex.
Mahusiano yanagusa moyo fikra nasfi na akili.
Akili huhifadhi mambo mengi sana yawe mema au mabaya.
Mahusiano yanaweza kuvunjika kwa nje lakini akilia moyo na nafsi vikashindwa kuvunja, hata kama kulikua na kujeruhiwa kwa namna gani jeraha linapona, jeraha likisha pona akili hurudia kumbukumbu zake .
Ni ngumu sana kuachana moja kwa moja na mtu ulie mpenda kweli.
Ni ngumu kwa kiasi chake, kama sio leo kesho basi hata mtondogoo utamkumbuka tu, hata kama hauta kua na nia mbaya lakini utamkumbuka tu, upande mwingine wa akili ya mantiki ndio inakukumbusha huyu kaolewa au kaoa basi ndio unarudi nyuma , lakini kamwe alie pendwa hasauliki kwa urahisi.
Tuepuke kupenda kwa dhati , walao itapunguza wangi wa changamoto hizi.
Dear hannahWewe nawe hebu lea mtoto wako huko. Unakuta anakutafuta mara kwa mara kukukumbusha kwamba una mtoto maana upo hai na mtoto wako analelewa kwa misaada kama yatima na wewe unadhani anakutafutia kupigana miti[emoji57][emoji57][emoji57]
kwahiyo tupendejeTuepuke kupenda kwa dhati
Hannah!!!taratibu Mamii Acha Kasi ya Ngiri mkia juu juu,,utaharibu kipenzi!!!Wewe nawe hebu lea mtoto wako huko. Unakuta anakutafuta mara kwa mara kukukumbusha kwamba una mtoto maana upo hai na mtoto wako analelewa kwa misaada kama yatima na wewe unadhani anakutafutia kupigana miti[emoji57][emoji57][emoji57]