Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Yes unageuka Motivesheni spika🤣🤣🤣Kuna watu wanajua kupiga tukio akikuacha ni anakuacha na maturity yani ni unajikuta unaweza fungua hata ofisi ya ushauri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes unageuka Motivesheni spika🤣🤣🤣Kuna watu wanajua kupiga tukio akikuacha ni anakuacha na maturity yani ni unajikuta unaweza fungua hata ofisi ya ushauri
Mkuu mko kwenye siku yenu na kitu kizito[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😅😅😅 sema hizi siku mbili tatu watu wana malalamiko sana kuhusu single mother ... sijui watalaamu wana fail wapiUtasikia...mimi sipendagi ahadi za uongo....ukisikia hii juua mbele kuna kona kaki na mteremko mkali, kushoto kuna mto😂😂😂😂
Kuna kitu kizito sana😅😅😅 sema hizi siku mbili tatu watu wana malalamiko sana kuhusu single mother ... sijui watalaamu wana fail wapi
Naweza kukucheki kijana wangu?😅😅😅 sema hizi siku mbili tatu watu wana malalamiko sana kuhusu single mother ... sijui watalaamu wana fail wapi
[emoji28][emoji28][emoji28] sema hizi siku mbili tatu watu wana malalamiko sana kuhusu single mother ... sijui watalaamu wana fail wapi
Okay, I gonna have dinner with yah, todaySisi ndyo tupo 😙
Nini kimekupataSioni haja ya salamu
Sisi wengine tulikuwa wabishi kama wewe, tukaone watu wa Jamiiforums wamekuwa negative sana kwa single mother.
Lakini ukweli ndio huo. Nisamehewe kwa kupuuza mafundisho yenu kuhusu single maza. Hiki ni kiumbe hatari sana,kiko kimaslahi zaidi.
Pili usionee huruma single maza anapokuja na hadithi zake za kutendwa na aliyekuwa jamaa yake. Hata kama alitendwa kweli, usionee huruma. Unaweza kuonea huruma ukamfariji na bado akakupiga tukio.
Kwa hiyo ni kukazia tu, yote yaliyosemwa humu kuhusu single maza ni kweli tupu.
UmetishaSingle mothers ni kama pazia au mlango ulioegeshwa ambao unajifungukia tu hata kwa upepo.
Zaidi huanzisha mahusiano na wewe kama bega la kuegemea kipindi analia, ukishampa bega anaanza kumfikiria mtu wake, akiona mtu wake kaanza mahusiano atataka afanye juu chini kushindana na msichana mpya wa mtu wake, na hapo ndipo hujipeleka wenyewe kwa gharama nafuu kuliko fungu la bamia.
Sawa mkuu haina shida !Naweza kukucheki kijana wangu?
Haya makitu hayana shukrani kabisa yana sahau haraka sana, ukiwanalo lifanye spam dustbin.Sioni haja ya salamu
Sisi wengine tulikuwa wabishi kama wewe, tukaone watu wa Jamiiforums wamekuwa negative sana kwa single mother.
Lakini ukweli ndio huo. Nisamehewe kwa kupuuza mafundisho yenu kuhusu single maza. Hiki ni kiumbe hatari sana,kiko kimaslahi zaidi.
Pili usionee huruma single maza anapokuja na hadithi zake za kutendwa na aliyekuwa jamaa yake. Hata kama alitendwa kweli, usionee huruma. Unaweza kuonea huruma ukamfariji na bado akakupiga tukio.
Kwa hiyo ni kukazia tu, yote yaliyosemwa humu kuhusu single maza ni kweli tupu.
Kama CCM kwenye uchaguzi? 🤣Duh single mother kamaliza kazi saa 12 asubuhi kabila ya misa ya kwanza
Sababu nyingine n kuwa wanaume wengi hawataki kuoa wanataka watoto Tu.Wanaume n wachache huo ndo ukweliHamna wanaume wachache,wanaume mnaowataka ndiyo wachache,wanaume wenye Mali na warefu Weusi ndiyo chanzo cha kugongwa na kuachiwa kitoto