Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa
Mwanamsimbaz mwenzangu umeingiaje kweny 18 za Hawa viumbe?jitoe harakaa sanaa
 
Utasikia...mimi sipendagi ahadi za uongo....ukisikia hii juua mbele kuna kona kaki na mteremko mkali, kushoto kuna mto😂😂😂😂
😅😅😅 sema hizi siku mbili tatu watu wana malalamiko sana kuhusu single mother ... sijui watalaamu wana fail wapi
 
Sioni haja ya salamu

Sisi wengine tulikuwa wabishi kama wewe, tukaone watu wa Jamiiforums wamekuwa negative sana kwa single mother.
Lakini ukweli ndio huo. Nisamehewe kwa kupuuza mafundisho yenu kuhusu single maza. Hiki ni kiumbe hatari sana,kiko kimaslahi zaidi.

Pili usionee huruma single maza anapokuja na hadithi zake za kutendwa na aliyekuwa jamaa yake. Hata kama alitendwa kweli, usionee huruma. Unaweza kuonea huruma ukamfariji na bado akakupiga tukio.

Kwa hiyo ni kukazia tu, yote yaliyosemwa humu kuhusu single maza ni kweli tupu.
Nini kimekupata
 
Single mothers ni kama pazia au mlango ulioegeshwa ambao unajifungukia tu hata kwa upepo.
Zaidi huanzisha mahusiano na wewe kama bega la kuegemea kipindi analia, ukishampa bega anaanza kumfikiria mtu wake, akiona mtu wake kaanza mahusiano atataka afanye juu chini kushindana na msichana mpya wa mtu wake, na hapo ndipo hujipeleka wenyewe kwa gharama nafuu kuliko fungu la bamia.
Umetisha
 
Sioni haja ya salamu

Sisi wengine tulikuwa wabishi kama wewe, tukaone watu wa Jamiiforums wamekuwa negative sana kwa single mother.
Lakini ukweli ndio huo. Nisamehewe kwa kupuuza mafundisho yenu kuhusu single maza. Hiki ni kiumbe hatari sana,kiko kimaslahi zaidi.

Pili usionee huruma single maza anapokuja na hadithi zake za kutendwa na aliyekuwa jamaa yake. Hata kama alitendwa kweli, usionee huruma. Unaweza kuonea huruma ukamfariji na bado akakupiga tukio.

Kwa hiyo ni kukazia tu, yote yaliyosemwa humu kuhusu single maza ni kweli tupu.
Haya makitu hayana shukrani kabisa yana sahau haraka sana, ukiwanalo lifanye spam dustbin.
 
Hamna wanaume wachache,wanaume mnaowataka ndiyo wachache,wanaume wenye Mali na warefu Weusi ndiyo chanzo cha kugongwa na kuachiwa kitoto
Sababu nyingine n kuwa wanaume wengi hawataki kuoa wanataka watoto Tu.Wanaume n wachache huo ndo ukweli
 
Back
Top Bottom