Gautten Potten
JF-Expert Member
- Aug 22, 2022
- 1,642
- 3,426
Kuruka na ki mtu kimejaa uchungu na kuwinda wakufanyia ubay mwatolea wapi ujasiri huo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂Umepigwa na kitu kizito kichwani?.
Siku zote asiyesikia la mkuu huvunjika mguu
Hata nikiwa na huruma haitabadilisha chochote [emoji23][emoji23]huna huruma[emoji16][emoji16]
Ndio walivyo hawa kaka zetu tuwaache tu kama walivyo mana tushawazoea. Wakija kwa mitandao wao ni malaika hawana kasoro kabisa.Wanaume bhana,humu mko busy kukandia wakati most of them mna single mother zaidi ya wawili,
Isitoshe Kuna mliolelewa na single mothers,wajomba zenu,au baba zenu wa kambo..
Wanaume bhana,humu mko busy kukandia wakati most of them mna single mother zaidi ya wawili,
Isitoshe Kuna mliolelewa na single mothers,wajomba zenu,au baba zenu wa kambo..
Kwa kweli wasamehewe tu,maana ukisoma maandiko yao utasema wao ni malaika wanaoishi duniani kumbe hiiiiiiiiiiii 🙆🙆Ndio walivyo hawa kaka zetu tuwaache tu kama walivyo mana tushawazoea. Wakija kwa mitandao wao ni malaika hawana kasoro kabisa.
Huyo single mother aliyekulea unamaanisha ndio mama Yako mzazi sio?Kwa kweli single mother aliyenilea alishanikataza mara kadhaa kujihusisha na single mothers tena kwa sio kukataa kwa nadharia ni kwa vitendo, basi kuna mwaka nikalazimisha kama mtoa mada, nikakutana na upper cut ,chembe kidevu,[emoji28] Lazima ukae…..nikakumbuka ile methali.
Mkongwe yameshakusibu [emoji1787][emoji1787]
Mimi siamini na sintakuja kuamini eti binadamu Ni sawa, mienapinga hii Tabia ya mjumuisho. Haiwezekani single mazas wote wawe sawa, wapo wema wenye kujielewa, yapo mandunduke.
Hata wasiokuwa single mazas, wapi wema, yapo madunduke.
Sisi wanaume wapo wema halafu na sisi madunduke tupo[emoji1787][emoji1787]
Kuna watu wanajua kupiga tukio akikuacha ni anakuacha na maturity yani ni unajikuta unaweza fungua hata ofisi ya ushauri
Widows (wajane), not single mothers. Big difference!Mkuu siyo kila Single mother! Single mother wabaya ni wale waliozalishwa na mabwana zao harafu wakatelekezwa! Lakini wale waliofiwa na mabwana zao hao hawana shida.
Naunga mkono hoja...hakuna rangi utaacha kuonaSioni haja ya salamu
Sisi wengine tulikuwa wabishi kama wewe, tukaone watu wa Jamiiforums wamekuwa negative sana kwa single mother.
Lakini ukweli ndio huo. Nisamehewe kwa kupuuza mafundisho yenu kuhusu single maza. Hiki ni kiumbe hatari sana,kiko kimaslahi zaidi.
Pili usionee huruma single maza anapokuja na hadithi zake za kutendwa na aliyekuwa jamaa yake. Hata kama alitendwa kweli, usionee huruma. Unaweza kuonea huruma ukamfariji na bado akakupiga tukio.
Kwa hiyo ni kukazia tu, yote yaliyosemwa humu kuhusu single maza ni kweli tupu.
Huyo single mother aliyekulea unamaanisha ndio mama Yako mzazi sio?
Kwa hiyo yeye alikuwa mtu wa cinema Kwa baba Yako?Yes, yes , ila sijui aliona nini au huwa anawazaga nini…alisema kwanini? Kwani wanawake wameisha, alinipa sababu mostly zinazofanana na za humu, sijui ni member humu…akaniachia uhuru nikajikuta naweza nikayavagaa kweli.
Huyo namba 1 ni mjane(widower) sio single motherNadhani kuna aina nne za single mothers:
(1) Waliokuwa wameolewa lakini waume zao wakafariki
(2) Waliopewa mimba na wanaume waliokuwa wakitaka kuwaoa lakini mazingira yakabadilika wanaume hao wakahama au wakahamaishiwa sehemu nyingine na mawasailiano baina yao kukatika kabla hawajaona,
(3)Waliorubuniwa au kudanganywa kuwa wanaolewa na kupewa mimba kabla ya ndoa kisha kuachwa njiani,
(4) Waliozaa bila kujua wamezalishwa na nani au walizaa na mtu ambaye hakuwa mme wao na hakuwa commited bali ilikuwa one time chap-chap.
Nawaheshimu sana wale wa aina ya kwanza na aina ya pili lakini hawa wengine nawapa heshima ya hivyo hivyo tu
So sorry my dear