Jane Msowoya
JF-Expert Member
- Aug 20, 2017
- 4,302
- 7,815
Twende taratibu mkuuAcha blah blah jibu swali!
Sasa unaniuliza mimi niliwezaje kwanini mimi ni KE?
HILI SWALI LINAKUHUSU WEWE MWANAMKE
ULIWEZAJE KUMVULIA CHUPI MWANAUME AMBAYE SI MUMEO?
Tangu lini Ujana ukawa na Makosa?Unatufokea Sasa
Matatizo ya ujana Jamani sio kilakitu tunakumbuka kutafakari wengi wetu ukiuliza tupewe nafas ipi ya kurekebisha makosa tutachagua turudi nyuma tusahihishe makosa ya ujanani,kuwa single mother sio kilema ni makosa tu ya ujana na sioni kama ni sawa kuwahukumu Kwa makosayao na hata ambao sio single mother sio wajanja sana ni neema za Mungu kuwaepushia na makosa hayo ya ujanani
Shida ni mahitaji ya mwili na utandawaziHakuna Singo Faza bila Singo Maza Mjinga,that's why tunawasema nyie!.
Nyie mkibadirika na Usingo Faza automatically utakoma
Hawana akili wanastiliwa alafu bado viburi,jeuri,hawana misimamo,tamaa za kipuuzi,yaani shida tupu hawa masingo maza kama hujawah kuish nao utaona wanaonewa kabisa Ila kaaa nao utapata joto la jiwe ukitaka kuoa singo maza kabur la mzaz mwenzie ulione Na hati ya kifo ya jina lake kabisa hapo kidogo unaweza ukaish kwa aman vingnevyo maisha
Hzo ni tabia personal za mtu bna hata wasio single maza wanazo chamuhimu tafuta chala lako ila mambo ya kuja kukejeli wanawake huku kisa single mothers sio sawaHawana akili wanastiliwa alafu bado viburi,jeuri,hawana misimamo,tamaa za kipuuzi,yaani shida tupu hawa masingo maza kama hujawah kuish nao utaona wanaonewa kabisa Ila kaaa nao utapata joto la jiwe ukitaka kuoa singo maza kabur la mzaz mwenzie ulione Na hati ya kifo ya jina lake kabisa hapo kidogo unaweza ukaish kwa aman vingnevyo maisha hapo
Dahhhhhh...πUnatufokea Sasa
Matatizo ya ujana Jamani sio kilakitu tunakumbuka kutafakari wengi wetu ukiuliza tupewe nafas ipi ya kurekebisha makosa tutachagua turudi nyuma tusahihishe makosa ya ujanani,kuwa single mother sio kilema ni makosa tu ya ujana na sioni kama ni sawa kuwahukumu Kwa makosayao na hata ambao sio single mother sio wajanja sana ni neema za Mungu kuwaepushia na makosa hayo ya ujanani
πππsawa ndugu nimeelewaTangu lini Ujana ukawa na Makosa?
Ujana ni Maji ya Moto unapaswa uyachemshie supu unywe ili akili ichangamke!.
Huwezi kufanya ujinga halafu ukasingizia Ujana,utakuwa hauko serious!
Unatufokea Sasa
Matatizo ya ujana Jamani sio kilakitu tunakumbuka kutafakari wengi wetu ukiuliza tupewe nafas ipi ya kurekebisha makosa tutachagua turudi nyuma tusahihishe makosa ya ujanani,kuwa single mother sio kilema ni makosa tu ya ujana na sioni kama ni sawa kuwahukumu Kwa makosayao na hata ambao sio single mother sio wajanja sana ni neema za Mungu kuwaepushia na makosa hayo ya ujanani
π Ukimsikiliza mzazi ni pamoja na kumtambulisha huyo jamaa kwenu basi hautopata tabu kabisa.Tusiwasikilize kwaiyo mbona hamjui mnataka nini
Kwani kwenye mahusiano si ndio pa kuchunguzana
Lakini mmewaandama sana utasema walijipa mimba wenyewChanda chema huvishwa Pete.
Hayo Makosa ndio yanafanywa wasemwe.
Na wanaotenda Mema wanasifiwa.
Hakuna anayehukumu MTU katika masakata haya.
Ila ni ule uhalisia kuwa ukitenda mabaya utalipwa mabaya ikiwapo kudhihakiwa, kukejeliwa na kutukanwa.
Kuwa single Maza sio mwisho wa maisha nakwambia wewe singo madha uliyesoma thread hii na ukaumia nasfi,
JF Kila mtu mjuaji Kila mtu anajua kutype
Ukiwafatilia nyuma ya keyboard Wana dada zao singo Maza,shangazi zao mama zao wadogo hata watoto wao pia
Na huenda nao pia wametokea kwenye mizizi hiyo ya usingo Maza na wanekula/kusomeshwa na singo Maza
Jeuri tu zinawatoka humu jamvini but deep down kwenye mioyo yao they do appreciate uwepo wa single mother
KAMA UNA POVU RUKSA MAANA NTADEKIA
Iko wazi wanakosa malezi Sasa watafanyaje wakawatupe kabla ya kuwaulumu muangalie na waliowapa hizo mimba ni wanaume Kwa mantiki hiyo wanaume nao Wana makosa hawataki kulea watoto waoSio kilema ila mnaendeleza kizazi cha hovyo na ubinafsi,kiufupi nina dada wawili hakuna single mothers wote wameolewa.
Moja ya vitu ni kwamba hao watoto wenu mnawakatili kwa kuwakosesha baadhi ya haki zao za msingi kama malezi ya wazazi wote ,halafu mnaona ni maisha tu.
Hakuna mwanamke katulia akapigwa mimba na mzembe ,kuna wanawake kibao kwao watu wengi wanakuja kuwaposa kwa vile wanajielewa .
Hakuna Wa kuwakejel Ila 100% ya wanawake hawapend kuambiwa ukweli Na ukitaka utibuane nao sema ukweli juu yao 95% ya singo maza ni tatizo Fanya M&E ya hoja zote utaelewa hakuna Wa kuwaonea humuHzo ni tabia personal za mtu bna hata wasio single maza wanazo chamuhimu tafuta chala lako ila mambo ya kuja kukejeli wanawake huku kisa single mothers sio sawa
Weka akiba ya maneno mkuuUkitenda uovu hata ungekuwa Mama wa Yesu au Mama yangu haiepushi Watu kusema Matendo yako mabaya.
Kukimbilia kusema sijui Mama, sijui dada, sijui Binti au mashangazi hakubadilishi chochote katika Yale yasemwayo.
Ni utetezi wa Watu wajinga na wahovyo kusema kuwa ati Mama sijui dada sijui Binti, kama ni single mother na aliupata Kwa upumbavu umama au udada wake au Ubinti wake haubadilishi chochote
Nawaona mabint wengi wanavohangaika sidhani kma walipenda wazalishwe wengine ni wadogo huenda walirubuniwa tuHili neno "chup" umelirudia maranyigi sana adi nikajikuta nawaza mbali sana mkuu....π
Dahhhhhh...π
Umeandika kwa uchungu sana shemeji....π
Lakini mmewaandama sana utasema walijipa mimba wenyew
Haya makosa yanakuwa kwa mwanamke kwa nn huyo jamaa asije kujitambulisha kwenu? Kwa nn umvulie chupi wakati kwenu hajaleta hata mia ya mahari?Iko wazi wanakosa malezi Sasa watafanyaje wakawatupe kabla ya kuwaulumu muangalie na waliowapa hizo mimba ni wanaume Kwa mantiki hiyo wanaume nao Wana makosa hawataki kulea watoto wao
πππDahNdio maana kuna Uzazi wa Mpango.
Hakuna mimba ya kulazimishwa kwenye Hii Dunia.
Ndio maana niliwahi andika kuwa Mwanamke kubeba mimba bila ridhaa ya mwanaume ashitakiwe na iwe jinai.
Mwanaume amefuata ngono wewe unamletea mimba, huo ni ushenzi.
Hiyo ndio Ligi iliyokuwepo,
Hivi jitu zima ulikute linasema kuwa halikujipa mimba Wakati linajua kabisa kuna kalenda yake huo sio uwendawazimu
Weka akiba ya maneno mkuu
Nimewakumbusha tu happ
Tatizo lako hujibu swali!Twende taratibu mkuu
Inamaana zinaa ni m'baya kwa mwanamke pekee sio kwa mwanaume?
Na wewe unawezaje kwenda peku Kuacha mbegu ovyo?
Zinaa ni zinaa tu haijalishi kazini nani