whitehorse
JF-Expert Member
- Aug 29, 2009
- 2,565
- 4,432
Hisia zako tu lakini kaa ujue nyumbani kwetu hakuna single mother na muumba anajua
Kwahy unashaur tuwaoe hivohivo?kazi kwelikweli ila jamani tuwe tunaweka akiba maneno yetu badala ya kuwanyooshea vidole wenzetu tujiangalie na sisi tunatimiza wajibu wetu, hao single mother hawajatokea tu hewani , kumbuka hao tunawaita single mother ni dada wa mtu, mama wa mtu na n.k
Leo nmeona comment yako mara ya kwanzaUngekuwa Na busara ungempasha uyo aliyokufanyia hayo afaham ya moyon mwako ila unajumlisha wote kuna wanawake wamepitia magumu na walikuwa wanajitunza Sana au ungeleezea aliyokufanyia kisha ubwabwaje maneno yako ya ovyo.
Mungu anamuona ajue [emoji6]Duke Tachez karma ni mbaya sana hapa duniani, kutokana na maneno yako hayo usishangae Dada zako na mabinti zako wakiwa single mother’s
Hahahaha,Mkuu jina lako unalijua maana ake?Hii mijadala haiishi!
Anayetaka kuoa ataoa asiyetaka kuoa asioe hakuna aliyelazimishwa.
Akikujibu unitagKwahy unashaur tuwaoe hivohivo?
Exactly hata under 40Kama wewe ni kijana under 30 hakuna sababu ya kuoa single mother
Hahaa hahaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nyuzi za Single moms ni nyingi sana humu... Mods mnaonaje mkaziunganisha ikawa ni
SINGLE MOMS SPECIAL THREAD.
Ili mvulana yeyote mwenye povu lake anakua anaenda huko analimwaga weeeeeh kisha anatoka.
Sijwakataza mbonaAcha wenzio waoe..gubu tu
Sasa ndo hivyo wakiowafanya ndo wakawaoeKinyaa? Basi tafuta bikra ili usione kinyaa!!! Single mother hawajpenda kuwa hivyo ss wanaume ndio tumewafanya hivyo
Chunga kauli mkuu, utajutaMsipende kutulaumu, wewe umepewa mimba huko then mimi nije nikuoe,kuoa mwanamke aliyezaa ni sawa tu na kuoa mke wa mtu mwisho wa siku niitwe baba wa kambo au nina roho mbaya, hamjitunzi mnafanya umalaya huko, unakuta mwanamke ametumika, amechakaaa weee amezaa na kuzaa afu duke nimuoe,bora tu nisioe kuliko kuoa single mother, hivi nyie mnaooa single mothers hamjisikii kinyaa,
Kuna ki single mother kinansumbua kweli eti nikioe labda sio mimi duke
Mapovu ruksa
Asante na kusema ukweli sijawah kumpa mimba mwanamke then nikamuacha au nikakataa mimba na muumba anajuaAngalia sana sayari uliyopo usije ukaiharibu usiige mambo ya sayari yetu ya dunia wewe baki huko huko sayari tulivu. Hongera sana
Kwa vyovyote msimamo wangu ni kwamba siwezi kuoa single motherTuwaheshimu binadamu wenzetu hata kama kuna mahali wamekosea...kuwa single mother hakumuondolei mtu ubinadamu wake!
Hamna kitu kama hicho dada zetu lazima tuwaambie ukweli wajifunzeChunga kauli mkuu, utajuta
Hamna kitu kama hicho dada zetu lazima tuwaambie ukweli wajifunze