Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa
Hivi hata modes kwanini wanaiacha thread ya udhalilishaji hivi?
 
kazi kwelikweli ila jamani tuwe tunaweka akiba maneno yetu badala ya kuwanyooshea vidole wenzetu tujiangalie na sisi tunatimiza wajibu wetu, hao single mother hawajatokea tu hewani , kumbuka hao tunawaita single mother ni dada wa mtu, mama wa mtu na n.k
Kwahy unashaur tuwaoe hivohivo?
 
Ungekuwa Na busara ungempasha uyo aliyokufanyia hayo afaham ya moyon mwako ila unajumlisha wote kuna wanawake wamepitia magumu na walikuwa wanajitunza Sana au ungeleezea aliyokufanyia kisha ubwabwaje maneno yako ya ovyo.
Leo nmeona comment yako mara ya kwanza
 
Nyuzi za Single moms ni nyingi sana humu... Mods mnaonaje mkaziunganisha ikawa ni
SINGLE MOMS SPECIAL THREAD.
Ili mvulana yeyote mwenye povu lake anakua anaenda huko analimwaga weeeeeh kisha anatoka.
Hahaa hahaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Msipende kutulaumu, wewe umepewa mimba huko then mimi nije nikuoe,kuoa mwanamke aliyezaa ni sawa tu na kuoa mke wa mtu mwisho wa siku niitwe baba wa kambo au nina roho mbaya, hamjitunzi mnafanya umalaya huko, unakuta mwanamke ametumika, amechakaaa weee amezaa na kuzaa afu duke nimuoe,bora tu nisioe kuliko kuoa single mother, hivi nyie mnaooa single mothers hamjisikii kinyaa,
Kuna ki single mother kinansumbua kweli eti nikioe labda sio mimi duke


Mapovu ruksa
Chunga kauli mkuu, utajuta
 
Angalia sana sayari uliyopo usije ukaiharibu usiige mambo ya sayari yetu ya dunia wewe baki huko huko sayari tulivu. Hongera sana
Asante na kusema ukweli sijawah kumpa mimba mwanamke then nikamuacha au nikakataa mimba na muumba anajua
 
Back
Top Bottom