Sio mbaya kuwa nao, ila ili kuwatengenesha kabisa na baba Mtoto wake Jitahidi ufanye hili..
Marufuku mkeo kuongea na baba mtoto wake, mnunulie simu house girl baba mtoto akitaka kujua hali ya mtoto wake ampigie house girl, hiyo inaenda sambamba na akitaka kumuona mtoto wake wewe isikuletwe usumbufu wowote, house girl ampeleke huyo mtoto kwa baba yake, kama ni stend sjui guest au hotel aende house girl.
Ni Marufuku mkeo kukutana na baba wa mtoto kwasababu yoyote ile..
Ukiona hataki hilo.. PIGA CHINI OA ASIYEZAA, MUANZE WOTE 0-0
Otherwise utachapiwa tu.
Mwenyezi Mungu ametupa akili tuzitumie na maombi tusiweke akili mfukoni tukategemea maombi tuuBinadamu hatuna uwezo wa kujichagulia jambo zuri isipokuwa kwa kumshirikisha Mwenyezi Mungu kimaombi.
Kwema kiongozi?
Hahahaha nimecheka kifalaMm nilitaka kutoa single mama, taratibu zikiwa zinaendelea nikaja gundua wanawasiliana,nilichofanya ni kujipigia K na kuingia mitini
Kweli we kaffir Kama jina lako [emoji16]Iko hivi......ukoloni ulipokufa ulibaki ukoloni mamboleo. Ukimuoa single mother lazima atadate na baba watoto anytime. Labda uhame au uwatenganishe kwa kuuwa mmoja
Kabisaaa! Am just trying To raise my son in the best way I know how! Kusema kweli sina mpango wa kumkumbuka ex wangu maana ghafla huingiwa na huzuni. Mie wazo la mtoa mada nimelipenda, sioni sababu ya kuongea na baba mtoto. Mungu akinijaalia ndoa nyingine afu yule fala anajifanya anataka kumuona mwanae, aisee atakuwa anaenda kukutana na mwanaume mwenzie.Not all Baby mamas got drama,some got diplomas, degrees& jobs, they go to work , independent & raise their kids silently
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkuu wataka kumliza mc pilipiliHii sawa na kutoa mahari milioni wakati aliyetoa bikra alipewa kwa chipsi tu
Kama huna house girl!?Sio mbaya kuwa nao, ila ili kuwatengenesha kabisa na baba Mtoto wake Jitahidi ufanye hili..
Marufuku mkeo kuongea na baba mtoto wake, mnunulie simu house girl baba mtoto akitaka kujua hali ya mtoto wake ampigie house girl, hiyo inaenda sambamba na akitaka kumuona mtoto wake wewe isikuletwe usumbufu wowote, house girl ampeleke huyo mtoto kwa baba yake, kama ni stend sjui guest au hotel aende house girl.
Ni Marufuku mkeo kukutana na baba wa mtoto kwasababu yoyote ile..
Ukiona hataki hilo.. PIGA CHINI OA ASIYEZAA, MUANZE WOTE 0-0
Otherwise utachapiwa tu.
Unamaanisha kweliii!??Kabisaaa! Am just trying To raise my son in the best way I know how! Kusema kweli sina mpango wa kumkumbuka ex wangu maana ghafla huingiwa na huzuni. Mie wazo la mtoa mada nimelipenda, sioni sababu ya kuongea na baba mtoto. Mungu akinijaalia ndoa nyingine afu yule fala anajifanya anataka kumuona mwanae, aisee atakuwa anaenda kukutana na mwanaume mwenzie.
Sio ukweli acha kupotosha watu ..HV vitu havina formula eti akishapata uhakika km kweli unampenda na hutamuumiza .ndo atatulia ..bado hujapitia changamoto za mahusiano na hawa so called single motherbado wadogo mkikuwa mtaacha!
ukweli uko hivi kila mwanaume anavigezo tofauti vya kuoa mwanamke. mwanadamu achungiki akiamua bado anaweza kufanya na swala la kuibiwa sio issue kivile kwa jinsi umri unavyokwenda muhimu tu usijue na akuheshimu kwa kuwa huna unaloweza fanya akiamua kufanya hata kama umemtoa bikira.
lakini japo la kujiuliza kabla ya kujihukumu ni je wewe katika mahusiano naye kama mke umekuwa mkamilifu kwa kiasi gani? hawa wanawake ni wazuri wanachohotaji ni kwamba uweze kutibu maumivu yake na pia aweze kukuamini kuwa unampenda na haufikiri katika maisha yako kumuumiza kabisa yeye na mtoto wake na akiwa na uhakika wa hivyo anakuwa mke mnzuri sana anayekujali na kukupenda na yuko tayari kukutetea kwa nguvu zote.
Sio mbaya kuwa nao, ila ili kuwatengenesha kabisa na baba Mtoto wake Jitahidi ufanye hili..
Marufuku mkeo kuongea na baba mtoto wake, mnunulie simu house girl baba mtoto akitaka kujua hali ya mtoto wake ampigie house girl, hiyo inaenda sambamba na akitaka kumuona mtoto wake wewe isikuletwe usumbufu wowote, house girl ampeleke huyo mtoto kwa baba yake, kama ni stend sjui guest au hotel aende house girl.
Ni Marufuku mkeo kukutana na baba wa mtoto kwasababu yoyote ile..
Ukiona hataki hilo.. PIGA CHINI OA ASIYEZAA, MUANZE WOTE 0-0
Otherwise utachapiwa tu.
😂😂ukiwaambia hivi wanachukia huwezi aminiHii sawa na kutoa mahari milioni wakati aliyetoa bikra alipewa kwa chipsi tu
hakuna mwanaume single father, kuwa na nidhamu tafadhaliTulioolewa na single father tunacomment wapi?