Endelea tu kuchaguliwa mke .Wengi wanajuta kwa kuchaguliwa fanya maamuzi yako ikiwa mbaya pambana na mzigo wako.
 
Wanawake wanajuana vzuri sna aswa Mama zetu jaribu kuheshim maono yke nina hakika mama yko yupo sawa kuna kitu kipo khs huyo single mother ambacho kitakuja kkuletea madhara mbele ya safari niliwai kupewa Onyo km lako nikaleta ubishi na kushitaki kwa wajomba kwa nn mama hataki nioe baada miaka 9 ya ndoa ndio naona mama aliona nn...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MKUU, usisikilize wazazi au ndugu wanakuambia nini!

kama umempenda huyo mama single, weka ndani. Naweza kukupa ushuhuda mmoja matata kabisa, nimeoa single mother, but raha ninayopata cjawahi pata toka nizaliwe. Mpaka wazazi wanajua kuwa nipo happy now, mama anafurahi kabisa na kuniomba msamaha kwa nini alikuwa anapingana na mawazo yangu.

Kwa KIFUPI HAWA SINGLE MOTHER WAKIPATA MWANAUME WA KUOA KWAO NI GOLDEN CHANCE, watakuhandle vizuri mpaka ushangae, kwanza wanataka kuwaprove wrong walimwengu kuwa hakuachwa kwasababu ya tabia zake, ni mwanaume ndie aliyekuwa na matatizo.

Kwa kifupi, I highly recommend you to marry that SINGLE MOM, you will never regret.
 
Maswali ya Msingi ni haya

1. Unadhani Ndugu zako wanakutakia maisha mema au wanakuonea tuu wivu?

2. Je Mama yako unadhani hakutakii mema ikiwa alikulea tokea ukiwa hujitambui mpaka sasa hivi unajua kugegeda??

3. Je hakuna uwezekano wa kupata mwanamke asiye na mtoto mpaka ufanye hayo?

4. Je upo tayari kwa matokeo baina ya Mkeo mtarajiwa akiwasiliana na Mzazi mwezake aliyezaa naye. Utavumilia??

5. Je kipi unachojivunia kwa huyo Single Mother ambacho mabint wengine hawana??

6. Unadhani Watu wenye akili hasa wale unaowaamini wanachukuliaje jambo lako??

Pamoja na yote. Maisha ni yako. Ila Mchuma Janga hula na wakwao.
 
Single Mother wameaacha kukoment humu na wanajuta kuwa Members humu yaani Kuna miukweli inasemwa nahisi hata yale mahusiano yaliyomo humu yataishia kuchapana tu... Kwa ninavyoona trend ya huu Uzi Single Mother wana hali mbaya sana kwenye mahusiano Yao lakini huo ndiyo Ukweli SINGLE MOTHERS NI CHANGAMOTO KUBWA SANA
 
Ukisha kaa nae muda mrefu utagundua kuwa hawako sawa kisaikolojia,na wanakuwa hatari sana,inafikia mahali anajihisi kama anaishi na shetani ndani ya nyumba,kisa alishatendwa huko nyuma kwahiyo anajikuta analipa kisasi kwako bila kujielewa...
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakubakwa walikuwa wakiishi wote,namjua huyo jamaa japo sijawahi kuzungumza naye

Sent using Jamii Forums mobile app
Tulia, fuata moyo wako na endelea. Ndugu siku zote huangalia upande wao siyo matakwa yako. Wewe kama mnapendana na ameisharidhia basi achana na matakwa ya ndugu. Ila usimfiche wasi wasi wako ili kesho na kesho kutwa yakikukuta ajue ulimweleza. Mme wangu namzidi miaka mitatu pia na tuna watoto wanne mmoja akiwa huyo aliyenikuta naye na wote wana kazi isipokuwa mmoja anachukua Masters na wote ni graduates na tunapendana kama kwamba tumeoana jana.
 
Humu Kila mtu ataelezea lake.
Lakini kijana ndoa ya Kwanza tu unaanza na kubeba mke wa mwenzio Ni udhaifu Sana.!!
Mke wa mwenzio inatakiwa umuoe Kama unapanga kuongeza wake lakini sio first choice.!

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu umenena vyema sana ni ukweli usiopingika uyo ni mke wa mtu na ushaidi uyo mtoto aliyenae sasa kijana mwenzangu bado hata mishindo ya ndoa bado hujaijua vzur embu fikiria vzur ufanye maamuzi sahihi juu ya future yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo single mum mnatusimanga aiseh utadhani tukibeba mimba peke yetu, ukiona tupo peke eti msidhani sisi wakorofi ila wanaume mnakataa ukisikia tu nina mimba, sasa hata kama mkimsihi huyu mleta Uzi kama chance ya kuolewa ipo ni ipo tu.Usipooa wewe wengine wataoa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwann ujitese namna hiyo, oa mwanamke asiye na mtoto uanze naye maisha mapya, mwanamke asiye na mtoto kuishi naye kuna raha yake, hata Mungu anasema mtoto wa kwanza wa ujanani analeta furaha ya ndoa.
 
Kwa KIFUPI HAWA SINGLE MOTHER WAKIPATA MWANAUME WA KUOA KWAO NI GOLDEN CHANCE, watakuhandle vizuri mpaka ushangae, kwanza wanataka kuwaprove wrong walimwengu kuwa hakuachwa kwasababu ya tabia zake, ni mwanaume ndie aliyekuwa na matatizo.
Pole sana ndg!
 
Yawezekana na yeye yumo humu anakusoma. Je amekwambia baba wa mtoto ni nani na kwanini hakuolewa naye au alibakwa?

Huyo siyo wa kwanza tupo wengi tulioolewa na watoto na sasa tuna miaka zaidi ya 20 kwenye ndoa na tunapendwa na wakwe kwa saana tu.
Feedback nzuri ilibidi atoe mumeo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanakataa single mother Tu?Basi wakutafutie bikra usioe ambaye sio bikra!
 
Maisha unayoyatafuta ni ya kwako,na maamuzi pia ni ya kwako,ila wazazi wanakushauri kutokana na uzoefu;ukiona nyani mzee jua amekwepa mikuki mingi.
 
Unaweza oa ambaye hana mtoto ila hana upendo na hao ndugu zako wakapaona kwako kama sehem ya hatar sana , hata kufika kukutembelea wakashindwa kuwa na mtoto kwa uyo mwanamke si tatizo kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata wazazi wa huyo binti hawawezi kukubali mtoto wao aolewe na mtu ambae wazazi wake hawamkubali sababu ndoa ni zaidi ya mume na mke

That's according to you nadhani na watanzania walio wengi ambao wanapenda kuingilia maisha ya wengine na kudhani wana wanawamiliki watoto wao. Kwangu mimi ndoa ni mke na mume tu, mtu hawezi nipangia si mzazi wala yeyote yule na mimi siwezi mpangia mwanangu katu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…