Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,111
- 28,020
Hao wajomba si wamezalishwa na wanaume na hao dada zenu wameachwa hivyo wapo kwenye hilo groups la ma single motherWajomba sio?!!
Najua umewagusa watu ila haina shida.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao wajomba si wamezalishwa na wanaume na hao dada zenu wameachwa hivyo wapo kwenye hilo groups la ma single motherWajomba sio?!!
Najua umewagusa watu ila haina shida.
HahahaaaaHii kwang haiwezekan kabsa
Mabinti n wengi ambao hawajazaa
Ya nn kwenda kujitesa
Ndyo hapo SasaTena kichwa cha chini kikichukia anakwambia nivae kinga ya nini kwani huniamini
Hata hao wengine ni hivyo hivyo, kwahiyo wake zenu kazi yao kulea watoto wa wifi zao baada ya kuzalishwa huko na kuachwa[emoji8] [emoji8] [emoji8]Fresh ila sio kwenda kulelewa na baba wa kambo
Bora huyo ametoa kulikoEt wanasema hao wengi wametoa mimba,;!
Ila poa bora hiyo kuliko kubeba mtu ana mtoto kabisa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Sawa chaputa haiwahusu hii !!
N stress yan unamuoa mtuHahahaaaa
Hakuna wanawake wasumbufu Kama hawa viumbe tena wanapenda kulazimisha ndoa, uache kuolewa na aliyekuzalisha uje unigande mimi, pambaneni na hali zenu.Mie nataka nikwambie tu ukiona cha nini wenzio wanasema watavipata lini hivyo we waone ni ugonjwa huku wenzio kwao ni dawa.
Mie naona ni namna mtakavyoelewana tu na huyo single mother sababu kwani mtoto kitu gani mkuu wacha mawazo mgando hivyo wasipate wenza kisa wana watoto. Mmh.
Katafakari upya aiseee. Sababu ndio wapo tayari hivyo hapaswi kuwa na mahusiano mengine sababu wana watoto?
90%wanalelewa na bibi na babu zaoHata hao wengine ni hivyo hivyo, kwahiyo wake zenu kazi yao kulea watoto wa wifi zao baada ya kuzalishwa huko na kuachwa[emoji8] [emoji8] [emoji8]
KabsaaaFresh ila sio kwenda kulelewa na baba wa kambo
Haa haa et ngoma drawHalafu wanao ongea saana ni watoto wa mama yawezekana hata baba zao hawajawahi waona
Braza si unajua mapenzi haya chagui [emoji1]Hii kwang haiwezekan kabsa
Mabinti n wengi ambao hawajazaa
Ya nn kwenda kujitesa
Alete jib apa harakaMmh. Sasa Mkuu hapo makombo mtoto au mwanamke?
Mkuu usiogope kusema tatizo eti kisa kesho linaweza kukuta. Ya kesho mwachie mola dili na ya leoMkuu nakushauri bakiza akiba ya maneno. Kesho na keshokutwa anaweza kuzalishwa mtoto wako au mdogo wako sasa utasemaje. Sijui umri wako lakini ambacho nina uhakika ni kwamba bado wewe utakuwa ni mvulana.
Gents hawezi kuongea shit kama hizi
Asante dadaMie nataka nikwambie tu ukiona cha nini wenzio wanasema watavipata lini hivyo we waone ni ugonjwa huku wenzio kwao ni dawa.
Mie naona ni namna mtakavyoelewana tu na huyo single mother sababu kwani mtoto kitu gani mkuu wacha mawazo mgando hivyo wasipate wenza kisa wana watoto. Mmh.
Katafakari upya aiseee. Sababu ndio wapo tayari hivyo hapaswi kuwa na mahusiano mengine sababu wana watoto?
Kwa hiyo unataka aliyezalishwa hospitalini na sio nyumbani kwaokutokuwa na uwezo sio sababu ya kuoa mtu aliyezalishwa huko nyumbani kwao aisee