Kungu Kayuki
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 351
- 205
Mimi nalea mtoto wa kike wa mchepuko wangu tangu ana miaka 3 nimemsomesha tangu std 1 mpaka f4 na amemaliza diploma ualimu maths and scie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye ukweli lazima tuwaambieI guess una dada, utakuwa na watoto wa kike, una ndugu wa kike wanaokuhsu.... kuwa na kaba ya ulimi!
Kumbuka mnakua wawili na hayo mapenzi ni ya kuigiza tu ili aonewe hurumaHawa ma singo maza wanafaa sana kwenye mapenzi,
Huwa wanajitoa sana tofauti na hivi vichenchede ambavyo havina watoto' na Mara nyingi anatekeleza ahadi bila mizengwe.
Mimi nawapenda sana singo mazas kwa mapenzi yao motomoto,
kudeclere interest: napenda sanaa ya mapenzi"!
Sijawah kukigegeda kilikuwa kimpenzi changu cha zamaniSasa kwanini unakichapa nao? Mwanamke hatamki ndoa hadi adidimizwe.
NB:-
Huoni kinyaa kusugua papuchi ya singo Maza?
Exactly tena wananibembeleza na vilio juuNi single mother's wangapi wanaokusumbua wewe?
Wanakusumbuaje, wanakulazimisha uwaoe hata ukiwakataa?
Hebu jibu kinagaubaga.
Mfano joyce KiriaWengi wa single mothers ni wanaharakati.endeleeni tu na uanaharakati wenu.msipoangalia na watoto wenu wa kike watawaiga.
Wengi utawasikia wako kwenye genda mara haki za binadamu . mapovu kibao
Sasa ndo hivyo wakaolewe na waliowapa mimba mimi binafsi sijawah kumpa mimba mwanamke then nikamuachakazi kwelikweli ila jamani tuwe tunaweka akiba maneno yetu badala ya kuwanyooshea vidole wenzetu tujiangalie na sisi tunatimiza wajibu wetu, hao single mother hawajatokea tu hewani , kumbuka hao tunawaita single mother ni dada wa mtu, mama wa mtu na n.k
Sasa mimi wananlazimishaHii mijadala haiishi!
Anayetaka kuoa ataoa asiyetaka kuoa asioe hakuna aliyelazimishwa.
Dada angu sky sikiliza lazima Hawa dada zetu tuwaambie ukweli ili wawe wanajitunza, mwanamke kaniacha kisa sina hela kaenda kuzaa huko, katembea na Wanaume wasiohesabika leo anaona natembelea gari ya milion 70,nina nyumba nzuri anakuja na kilio nimuoe, ungekuwa wewe mwanaume ungefanyaje??Duke Tachez karma ni mbaya sana hapa duniani, kutokana na maneno yako hayo usishangae Dada zako na mabinti zako wakiwa single mother’s
Kulelewa na singleMkuu iko hivi.
JF hakuna mwanaume hata mmoja aliyelelewa na mama tu ( single mom) wote wamelelewa na wazazi wao wote wawili (baba na mama) tena ndani ya ndoa[emoji12]
JF hakuna wanaume waliozalisha wanawake iwe kwa kupanga au kwa kushtukiza kisha wakawatelekeza. Wanaume wa aina hii JF hakuna kabisa wote wameoa na wamezaa na wanalea familia zao vizuri kabisa kwa ambao hawajaoa basi wako kwenye mchakato wa kutafuta wachumba kwa kufuata maadili safi kabisa ya jamii. [emoji12]
JF hakuna wanaume wenye madada au mabinti au ndugu zao wakike waliozalishwa wakiwa majumbani. Wanaume wa JF wote dada zao na mabinti zao wako vizuri kabisa [emoji12][emoji12][emoji12]
Kwa kuhitimisha basi ujue tu JF imejaa wanaume waliotoka katika sayari nyingine kabisa na siyo sayari hii ya dunia. Ndio maana mtoa post ameandika bila wasiwasi kwa kuwa yuko sayari ya tofauti na hii yetu tunayoishi mimi na wewe. [emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
kuna siku hao niliowataja wanaokuhus wataambiwa ukweli huo huo!Kwenye ukweli lazima tuwaambie
Kulelewa na single
mother haimaanishi kwamba ndo
uoe single mother, eti tu kwasababu mama yako na dada zako ni single mothers, wewe wa wapi wewe
kila mtu ana vipaumbele
Unaweza ukamlipia ada mtoto wake halafu toto haliendi shule au linafeli ukilichapa utaambiwa baba wa kambo una roho mbayaSingle Maza tena ........
Sijui hii league itaisha lini?
Kiuhalisia Single Maza hana shida yoyote, isipokua mtoto/watoto wake ndo wanaweza wakaleta shida kubwa sana
Wewe mwanaume ukishindwa kuendana na matakwa ya mtoto wake, mtoto huyo ataanza kuleta figisu kwa Mama yake na Mama kama mlinzi mkubwa wa mtoto kuliko Mume ataanza kujihami mapema.
Kifuatacho ni kale kawimbo ka UEFA CHAMPIONS LEAGUE!!!!!!!!!
Hisia zako tu lakini kaa ujue nyumbani kwetu hakuna single mother na muumba anajuaJiwe gizani . Pole umeumia sana au?
Hahaaaaa!!!! Lazima tuwaambie wanazinguaHahahaha [emoji23] povu usiku usiku
Umemuota umeuoa nini umekurupuka usingizini umeamua utoe povu [emoji23][emoji23]
Ndio maana nimesema kuna watu hawataki kutimiza majukumu yao, inawezekana akawa ni ndugu yako kwenye familia,ukoo, rafiki na n.k, hivyo tuache kuwalaumu na kuwanyoonyea vidole hata wao hawakupenda iwe hivyo,kuliko kuandika thread yenye maneno makali na kuwalaumu ni bora kuombea familia yako Mungu akujalie yasikupate hayo kumbuka siku moja utakuwa mzazi, maneno huumbaSasa ndo hivyo wakaolewe na waliowapa mimba mimi binafsi sijawah kumpa mimba mwanamke then nikamuacha
Kuna wengine wameyataka wenyeweNdio maana nimesema kuna watu hawataki kutimiza majukumu yao, inawezekana akawa ni ndugu yako kwenye familia,ukoo, rafiki na n.k, hivyo tuache kuwalaumu na kuwanyoonyea vidole hata wao hawakupenda iwe hivyo,kuliko kuandika thread yenye maneno makali na kuwalaumu ni bora kuombea familia yako Mungu akujalie yasikupate hayo kumbuka siku moja utakuwa mzazi, maneno huumba