Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa
Hawa ma singo maza wanafaa sana kwenye mapenzi,
Huwa wanajitoa sana tofauti na hivi vichenchede ambavyo havina watoto' na Mara nyingi anatekeleza ahadi bila mizengwe.
Mimi nawapenda sana singo mazas kwa mapenzi yao motomoto,
kudeclere interest: napenda sanaa ya mapenzi"!
Kumbuka mnakua wawili na hayo mapenzi ni ya kuigiza tu ili aonewe huruma
 
Wengi wa single mothers ni wanaharakati.endeleeni tu na uanaharakati wenu.msipoangalia na watoto wenu wa kike watawaiga.

Wengi utawasikia wako kwenye genda mara haki za binadamu . mapovu kibao
Mfano joyce Kiria
 
kazi kwelikweli ila jamani tuwe tunaweka akiba maneno yetu badala ya kuwanyooshea vidole wenzetu tujiangalie na sisi tunatimiza wajibu wetu, hao single mother hawajatokea tu hewani , kumbuka hao tunawaita single mother ni dada wa mtu, mama wa mtu na n.k
Sasa ndo hivyo wakaolewe na waliowapa mimba mimi binafsi sijawah kumpa mimba mwanamke then nikamuacha
 
Duke Tachez karma ni mbaya sana hapa duniani, kutokana na maneno yako hayo usishangae Dada zako na mabinti zako wakiwa single mother’s
Dada angu sky sikiliza lazima Hawa dada zetu tuwaambie ukweli ili wawe wanajitunza, mwanamke kaniacha kisa sina hela kaenda kuzaa huko, katembea na Wanaume wasiohesabika leo anaona natembelea gari ya milion 70,nina nyumba nzuri anakuja na kilio nimuoe, ungekuwa wewe mwanaume ungefanyaje??
 
Mkuu iko hivi.

JF hakuna mwanaume hata mmoja aliyelelewa na mama tu ( single mom) wote wamelelewa na wazazi wao wote wawili (baba na mama) tena ndani ya ndoa[emoji12]

JF hakuna wanaume waliozalisha wanawake iwe kwa kupanga au kwa kushtukiza kisha wakawatelekeza. Wanaume wa aina hii JF hakuna kabisa wote wameoa na wamezaa na wanalea familia zao vizuri kabisa kwa ambao hawajaoa basi wako kwenye mchakato wa kutafuta wachumba kwa kufuata maadili safi kabisa ya jamii. [emoji12]

JF hakuna wanaume wenye madada au mabinti au ndugu zao wakike waliozalishwa wakiwa majumbani. Wanaume wa JF wote dada zao na mabinti zao wako vizuri kabisa [emoji12][emoji12][emoji12]

Kwa kuhitimisha basi ujue tu JF imejaa wanaume waliotoka katika sayari nyingine kabisa na siyo sayari hii ya dunia. Ndio maana mtoa post ameandika bila wasiwasi kwa kuwa yuko sayari ya tofauti na hii yetu tunayoishi mimi na wewe. [emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
Kulelewa na single
mother haimaanishi kwamba ndo
uoe single mother, eti tu kwasababu mama yako na dada zako ni single mothers, wewe wa wapi wewe
kila mtu ana vipaumbele
 
Single Maza tena ........

Sijui hii league itaisha lini?

Kiuhalisia Single Maza hana shida yoyote, isipokua mtoto/watoto wake ndo wanaweza wakaleta shida kubwa sana

Wewe mwanaume ukishindwa kuendana na matakwa ya mtoto wake, mtoto huyo ataanza kuleta figisu kwa Mama yake na Mama kama mlinzi mkubwa wa mtoto kuliko Mume ataanza kujihami mapema.

Kifuatacho ni kale kawimbo ka UEFA CHAMPIONS LEAGUE!!!!!!!!!
Unaweza ukamlipia ada mtoto wake halafu toto haliendi shule au linafeli ukilichapa utaambiwa baba wa kambo una roho mbaya
 
Sasa ndo hivyo wakaolewe na waliowapa mimba mimi binafsi sijawah kumpa mimba mwanamke then nikamuacha
Ndio maana nimesema kuna watu hawataki kutimiza majukumu yao, inawezekana akawa ni ndugu yako kwenye familia,ukoo, rafiki na n.k, hivyo tuache kuwalaumu na kuwanyoonyea vidole hata wao hawakupenda iwe hivyo,kuliko kuandika thread yenye maneno makali na kuwalaumu ni bora kuombea familia yako Mungu akujalie yasikupate hayo kumbuka siku moja utakuwa mzazi, maneno huumba
 
Ndio maana nimesema kuna watu hawataki kutimiza majukumu yao, inawezekana akawa ni ndugu yako kwenye familia,ukoo, rafiki na n.k, hivyo tuache kuwalaumu na kuwanyoonyea vidole hata wao hawakupenda iwe hivyo,kuliko kuandika thread yenye maneno makali na kuwalaumu ni bora kuombea familia yako Mungu akujalie yasikupate hayo kumbuka siku moja utakuwa mzazi, maneno huumba
Kuna wengine wameyataka wenyewe
 
Back
Top Bottom