Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa
Kiukweli nimefarijika sana, kama mnakumbuka kuna uzi nilisha uleta humu wa kutafuta mtu wa kumuoa moja ya Toleo langu la single maza....aider Mungu mkubwa kuna jamaa kajitokeza kaposa tayari na kumvisha pete ya uchumba. Ambacho ndio kilikua kilio changu kuona wale wanawake nilio date nao wale wanao jielewa waolewe kwani nilikua najisikia vibaya kuwaona umri unasonga tu bila kuheshimishwa.

Ila jambo linalo nikera hawa single mom wangu nilijipinda nika wawezesha na wapo vizuri kiuchumi. Ila haka kajamaa naona kama kametelezea ganda la ndizi maana kamepitwa kiuchumi na my single mom , so hichi kitu kinanipa headache.

Ila nimeamua kuvumilia tu ,naamin ipo siku nitazoea na itakua kawaida.

Asante
Ukome
 
Hahaha sidhani kama kuna kunawili zaidi ya hapa maana nilisha mtengenezea mazingira ya kumiliki biashara zake na yupo vizuri si unajua tena mwanamke akiweza kula,kubadirisha nguo na nywele Kwake maisha ndio yameishia hapo hahahaa labda kajamaa kamchakaze
OK boss, nakushauri usimfatilie sana kama ananawiri au anachakaa.
 
La! La! La! La!

Ila wakiwa nyuma ya keyboard kwa wingi wao utasikia ndoa kitu gani.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] na alisha wahi kunitamkia hapendi wanaume weusi alafu wafupi cha ajabu hako kajamaa ni kafupi na keusi sasa sijui itakuaje ...?
 
Huna lolote kinacho kuuma ni kuikosa papuchi
Ni kweli hata kama papuchi ni nyingi mjini ila kila papuchi ina unique mshawasha wake .japo kuwa nina Access nayo but nitaheshimi ndoa yake maana najua yeye kwenye ndoa yake msimamo ni zero so nitamsaidia kwa hilo kulinda labda kama atafanya na wengine
 
Juzi nilialikwa nyumba ya jirani katika mazungumzo yanayohusu masuala ya Kishika uchumba na mahari

Hii nyumba ya jirani yetu kuna binti kama wa miaka 22 hivi ,huyu binti aliacha shule akatoroka kwao akaenda mbali huko kakutana na chemba akamtia mimba baada ya muda akamtimua yule binti.

Binti baada ya kuona maisha yamemshinda akarudi kwao akajifungua mtoto wa kike akamlea kwa Msaada wa mamake baada ya mtoto kuacha kunyonya ,binti akatoroka tena kwao akaenda machimboni

Huku akapata msela mwingine ambaye ameoa ,akamtia mimba huyu binti ,baada ya muda akaachana nae ,binti akarudi tena kwao na mimba akazaa ,akatulia baada ya muda akatoroka tena.

Sasa hivi majuzi akarudi ,na kutoa taarifa kwao kwamba anakuja mtu kujitambulisha.

Ebhana wee siku ya tukio nilimwonea Sana huruma yule jamaa jinsi alivyopigwa hela kubwa ya Kishika uchumba,jamaa akaanza kuwaza ila mpambe wake akajifanya Wana hela akatoa kile kiasi,nikamwona jamaa ni fala Sana yani demu keshazalishwa ,hana elimu yoyote,hana shughuli yoyote halafu unakubali kupigwa hela kubwa hivi ya Kishika uchumba tu.

Baada ya kumaliza hilo ukafika muda wa kujadili mahari ,ebhana eeeh jamaa kalazimishwa alipe milioni 2,jamaa kaomba omba Sana mama wa binti kakomaa lazima atoe M 2 ,hivi single mother watoto wawili unaanzaje kimlipia mahari M2?

Ikabidi jamaa akubali kishingo upande na kuahidi atarudi tena.

Sasa kumbe binti alimpanga mamake na kumwambia huyo jamaa akija mpige hela kubwa manake anaonekana ana hela,kwa maana hii huyu binti yupo kimaslahi zaidi,je akiolewa na akaanza kuonesha mapungufu yake akaachwa atalaumu kwamba wanaume wanamuacha?

Ni uboya kutoa mahari kubwa kwa single mother.
 
Jamaa nikati ya watu wale wanaokurupuka kuoa wala hajamchunguza mtu n.k
 
Wahenga walisema "Kilichotumika pwani ukikipeleka bara bado ni kipya".
Na wale wenye mtizamo Wa kisasa kwenye maofisi wanasema ya kwamba; if you need to be hired, you should have a proven experience/ability to perform the required duties & Responsibility's, sincerely speaking it is all about experience.
 
Ahahaaa...

Kama jamaa ana hela kweli...hyo M2 kwake ni kama ni ela ya kuonga tu,shida ipo kwetu sisi...
 
Back
Top Bottom