Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa
Hatuoi single maza. Hao ni wakusasambua mbususu tuu
Hii dharau itakutafuna siku moja mkuu.
Unaonaje mwanao, dada yako ambaye alijitahidi kujitunza, siku moja akaachia na kupewa mimba?
Je hana haki kuolewa?
Kama wewe huhitaji wapo wanathamini wataoa tu.
Single parent wana thamani sawa na wanawake wengine.
Mimi nina waheshimu na huwa nina watia moyo kuwa huo sio mwisho wa maisha wala ndoto zao.
 
Hii dharau itakutafuna siku moja mkuu.
Unaonaje mwanao, dada yako ambaye alijitahidi kujitunza, siku moja akaachia na kupewa mimba?
Je hana haki kuolewa?
Kama wewe huhitaji wapo wanathamini wataoa tu.
Single parent wana thamani sawa na wanawake wengine.
Mimi nina waheshimu na huwa nina watia moyo kuwa huo sio mwisho wa maisha wala ndoto zao.
Hamna mtu anayesema kuwa ni mwisho w maisha yao ila kamwe usiseme eti wana thama i sawa na wanawake wengine, thats not true.
Ni sawa nakusema mwanamke bikra ana thamaninsawa na mwanamke breki pumbuz...never.

Mie bwana dada yangu akitiwa mimba nilishasema kama hajolewa nitamuua mwenye na polisi nitajipeleka na hakimu namwambia kabisa usipoteze muda wa watu hapa. Wee toa hukumu basi.
 
Tangu Jana na Leo naona mada za single mother humu...halafu some guys wamewaandama hatari.
Sikieni wadau kama unajiona huwezi kuoa single mother we tulia lakin sio kuja kukatisha tamaa wenzio au kulalamika humu ndani kwa vitu ambavyo single mother wengine wafanye Kisha useme wote.

Kuna akina single mother ambao ni werevu, wanye upendo, waaminifu, waliojitolea na kuishi maisha na ya upendo na kumthamini mume ambae sio aliezaa nae and are trying their best to live a full life na hao step-dad. Pia wana confident with their bodies na wako deep into their hearts because they went through a personal growth na experience flan ya maisha katika mahusiano. Sio kama atadai lazima kwanza uhudumie mtoto wake ndo akupende; single mothers anaejielewa won't ask you to jump into fatherhood immediately kwasabab kumbuka kwamba yeye ni zaidi ya mama, yeye ni mlezi, muhudumiaje na mpiganaji kwa mwanae. So anahitaji mwenzi wakua nae katika maishani yake, sio tu baba wakuhudumia mtoto wake.

Usifikiri pesa ama kumpenda mwanae tu ni kitu anachotaka kutoka kwako basi usipo fanya hivyo basi atarudi kwa mzazi mwenzie ama eti atakua na mahusiano ya kimapenzi na baba wa mtoto wake, ama sijui vitu vya ajabu ajabu mnasema, no!, that's not true kwa Kila single mother.

Sikia single mother anahitaji mapenzi, your time na support kutoka kwako kama kweli unampenda. Kwangu mimi ikiwa ninampenda, ninamaanisha hivyo na nitawajibika kwa maamuzi yangu ya kuwa nae yeye na mtoto aliye nae pia. Nani anajua, ninaweza kumuoa na ku adopt mtoto/watoto wake hatimaye. Ndio, itakuwa ngumu haswa ikiwa biological father bado yuko kwenye picha ndani ya simu yake lakin najua inahitaji very strong man kukubali watoto wa mwanaume mwingine ambae haswa yupo hai but kwa upendo wangu kwake ata realize kama sasa amepata mtu wa tulizo ya moyo wake na atatulia tu mbona.
Umelipwa kiasi gani kuja kuanzisha uzi hapa mkuu. Maana ni kama swala amekuja kutetea simba na chui katika kikao cha wanyama na katika utetezi wake akiwaambia swala wenzake kuwa simba kuwala si jambo baya wakubali tu ndio ujirani mwema.


Yaani kabisa unakuja na hizi hoja aiseeee we jamaa weee..... Unataka sisi tufanye Simping.....?!
 
Hua najiuliza, what if aina ya huyo single mother was everything I wanted? What if she was thoughtful, intelligent, driven, attractive and successful on her on?. Je, vip kama ana dreams and goals ya mahusiano ambayo na Mimi nipo nayo? What if she educated enough kuweza kujimudu maisha yake na hisia zake? Is she Knowledgable? Does she make me laugh and happy? Do our end goals align? If so… then yeah. I’d probably date her na kisha tutaoana na kuishi maisha ya furaha na karaha lakin yenye upendo ndani yake na kumpenda mwanae as my own child. I’d consider her important enough to accept that she comes with small sentient child-shaped responsibilities.
Huo ni ulimwengu wa movies.... Rudi katika maisha ya kitanzania utaelewa hizi vitu umeandika hapa haziapply hata kidogo.

Eti someone to make me smile and happy. Wanawake watanzania ni someone to spend all of your money and have some michepuko nje yako.....
 
Hii dharau itakutafuna siku moja mkuu.
Unaonaje mwanao, dada yako ambaye alijitahidi kujitunza, siku moja akaachia na kupewa mimba?
Je hana haki kuolewa?
Kama wewe huhitaji wapo wanathamini wataoa tu.
Single parent wana thamani sawa na wanawake wengine.
Mimi nina waheshimu na huwa nina watia moyo kuwa huo sio mwisho wa maisha wala ndoto zao.
Achana na single parent huu mtiti hauwahusu. Hapa tunawazungumzia single mothers...
 
Ha ha ha ha ha ha ha [emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] dah.... Nimecheka balaa.... Kuwa una mtaji wa kumfilisi.
Ana balaa huyu...anauliza tako kwa mnyakyu tumekosa sura za mama tu
 
Hua najiuliza, what if aina ya huyo single mother was everything I wanted? What if she was thoughtful, intelligent, driven, attractive and successful on her on?. Je, vip kama ana dreams and goals ya mahusiano ambayo na Mimi nipo nayo? What if she educated enough kuweza kujimudu maisha yake na hisia zake? Is she Knowledgable? Does she make me laugh and happy? Do our end goals align? If so… then yeah. I’d probably date her na kisha tutaoana na kuishi maisha ya furaha na karaha lakin yenye upendo ndani yake na kumpenda mwanae as my own child. I’d consider her important enough to accept that she comes with small sentient child-shaped responsibilities.
Na hakuna mwanamke wa hivyo akaachwa tu na mwanaume from no where hamnaga mwanaume mjinga hivyo aache mwanamke potential wa aina hiyo.
 
Heading yako tu kusema hatujui shida wanazopitia hapo ndio umefeli, kama unaamua kuwapenda wewe wapende tu maana hilo ni jambo binafsi,

Lakini, asilimia kubwa hawahitaji sympathy, yanajibebesha mimba maksudi ili kukubana umuoe, juzi tu kuna limoja eti linanitumia meseji "nimeondoka kwako nina mimba, na nitazaa" yaani as if ni kunikomoa. Pumbafu kabisa.
 
Ebu tuwe serious kidogo! Ina maana jamii yako WOTE Dada, shangazi, binamu hakuna single mother? Usingependa siku moja waolewe? Au single mothers Ni watoto wa majirani? Tuache ubinafsi.
Unachomaanisha '"siku moja ukiwa na mamlaka juu ya Sheria, kwakuwa atayekuwa ameua ni kaka ako then ili asinyongwe utahalalisha mauaji?""

#YNWA
 
Hua najiuliza, what if aina ya huyo single mother was everything I wanted? What if she was thoughtful, intelligent, driven, attractive and successful on her on?. Je, vip kama ana dreams and goals ya mahusiano ambayo na Mimi nipo nayo? What if she educated enough kuweza kujimudu maisha yake na hisia zake? Is she Knowledgable? Does she make me laugh and happy? Do our end goals align? If so… then yeah. I’d probably date her na kisha tutaoana na kuishi maisha ya furaha na karaha lakin yenye upendo ndani yake na kumpenda mwanae as my own child. I’d consider her important enough to accept that she comes with small sentient child-shaped responsibilities.

Hawa ndo tunaowataka sio single mother af hauelewek uwe tegemezi dah apo ndo ugumu unatuijia
 
Tangu Jana na Leo naona mada za single mother humu...halafu some guys wamewaandama hatari.
Sikieni wadau kama unajiona huwezi kuoa single mother we tulia lakin sio kuja kukatisha tamaa wenzio au kulalamika humu ndani kwa vitu ambavyo single mother wengine wafanye Kisha useme wote.

Kuna akina single mother ambao ni werevu, wanye upendo, waaminifu, waliojitolea na kuishi maisha na ya upendo na kumthamini mume ambae sio aliezaa nae and are trying their best to live a full life na hao step-dad. Pia wana confident with their bodies na wako deep into their hearts because they went through a personal growth na experience flan ya maisha katika mahusiano. Sio kama atadai lazima kwanza uhudumie mtoto wake ndo akupende; single mothers anaejielewa won't ask you to jump into fatherhood immediately kwasabab kumbuka kwamba yeye ni zaidi ya mama, yeye ni mlezi, muhudumiaje na mpiganaji kwa mwanae. So anahitaji mwenzi wakua nae katika maishani yake, sio tu baba wakuhudumia mtoto wake.

Usifikiri pesa ama kumpenda mwanae tu ni kitu anachotaka kutoka kwako basi usipo fanya hivyo basi atarudi kwa mzazi mwenzie ama eti atakua na mahusiano ya kimapenzi na baba wa mtoto wake, ama sijui vitu vya ajabu ajabu mnasema, no!, that's not true kwa Kila single mother.

Sikia single mother anahitaji mapenzi, your time na support kutoka kwako kama kweli unampenda. Kwangu mimi ikiwa ninampenda, ninamaanisha hivyo na nitawajibika kwa maamuzi yangu ya kuwa nae yeye na mtoto aliye nae pia. Nani anajua, ninaweza kumuoa na ku adopt mtoto/watoto wake hatimaye. Ndio, itakuwa ngumu haswa ikiwa biological father bado yuko kwenye picha ndani ya simu yake lakin najua inahitaji very strong man kukubali watoto wa mwanaume mwingine ambae haswa yupo hai but kwa upendo wangu kwake ata realize kama sasa amepata mtu wa tulizo ya moyo wake na atatulia tu mbona.

Waoe wewe! Haki ya nani wanawake wavyotesa, sidhani Kama hata siku Moja nitawaonea Huruma, mwanamknakugeka 100%!

Na pia haijulikan Kwa nini anakuja kwako? Ni Upendo wa kweli au anakupenda sababu anataka mgawae stress Zake na hana pa kupeleka.

Wanawake ukiwa penda na kutenda Mema watakupa zawadi ya kukuloga ili wakufanye mtumwa!
 
Naona umeanzisha ugomvi huku umefungia kwenye nyumba ya vioo..Tulia kitakachokupata
 
Back
Top Bottom