Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa
Nakumbuka Kuna dad mmoja humu ndani alijieleza jins mtot wake anavyotezwa na mume wake kisa na mkasa Ni kuwa jamaa anawajali tu mtot wake wa damu na Yule aliyemkuta naye hamjali .mpk dad anapata hasira sna afu dad mwenye mume alifariki ndio akampata Yule pimbi anayemnyanyaza Yule dogo wa marehemu.watu walikuja na kumshuri kuwa mwanaume hayuko tayar kuhudumia mtot ambaye si wake hvyo Ni Bora kubadilisha uzi na kusema mwanume Hana mapenz ya dhati na mwanmke mwenye mtot ..mtoto apendiw anapendwa mam ake tu
 
Unachomaanisha '"siku moja ukiwa na mamlaka juu ya Sheria, kwakuwa atayekuwa ameua ni kaka ako then ili asinyongwe utahalalisha mauaji?""

#YNWA
Namaanisba b
Sikieni mabaharia wenzangu, tatizo hapa sio single mother tatizo ni aina ya single mother upo nae basi!..full stop!. Unajua nini, ni kweli kuna single mother miyeyusho sana kwasabab mwanamke yoyote anaweza kuwa single mother, kwahiyo yawezekana ukapata single mother ambae Bado anamegwa na mzazi mwenzie kama ambavyo pia asinge zaa nae halafu jamaa akammega kisera tu, kwan wangap wanandoa zao na wamezaa kwenye ndoa zao lakin Bado analiwa na ex wake ambae hana hata mtoto nae? wangap tumewaona!!? eeeh!!!?? Acheni mambo yenu mabaharia huo ushamba kuwasakama single mother halafu pia sio uwanaume, that show weakness...wewe huwezi achana nao but usikatishe wenzako tamaa ama kuongea shits humu....sio poa mazee

Adios Amigos 😎✌️
👌👌
Unachomaanisha '"siku moja ukiwa na mamlaka juu ya Sheria, kwakuwa atayekuwa ameua ni kaka ako then ili asinyongwe utahalalisha mauaji?""

#YNWA
Noo! Niko kihumantarian zaidi nafikiria tu kuwa single mother sio kilema na Ni haohao wanaume wanaokataa kuoa single mother pande hii wakati pande ingine kazalisha mtu na kumtelekeza.
 
Hello Wakuu

Nilikuwa na mahusiano na single maza mmoja tangu mwaka jana mwanzoni, huyu mwanamke nilikutana ane fb ye yupo Tabora.

Katika kuwasiliana na kuzoeana sana nikagundua ni single mama na mumewe alishafariki kwa ajali akamwachia mtoto wa kiume yup darasa la nne,

Ni mwanamke mpambanaji,anajielewa ana malengo mazuri tu na Maisha

Niliendelea nae nikawa mfariji wake kipindi cha msiba wa aliekuwa mzazi mwenzie, yeye yupo Tb mi nipo mkoa mwingine ,

Siku zikasogea hatimae tukakutana mkoani kwangu tukafanikiwa kufahamiana zaidi na kila mmoja kuweka hisia zake wazi kwa mwenzie

Kiukweli alikwepa sana kunipa utamu na kweli akafanikiwa,sikuwa na nia ya kumla na kukimbia ila ye ndo alikuwa anawaza ivyo

Nikaona okey sio mbaya akaniomba nimuoe! Sikumkatalia

Ila kadri nikilichakata lile suala naona litakwama tu sehemu, sio kwasababu kaninyima penzi lahasha wanawake ninao wengi tu ninawachakata,

ila yule single maza nilitokea kumwelewa tu na kumpenda kwa hali yake,

nilivyochakata ilo suala nikaona kikwazo kitakuwa kwa ndugu zangu tu, kila nikivuta picha dingi hatonielewa wala Mama acha hao Dada zangu wazaramo wale naona watanichana live

nikampa wazo tuzae then ndo mtoto atupe kiingilio cha kwenda kumtambulisha home, wazo halikumuingia hata,

Nikaona tofauti na hapo nitampoteteza muda,

nilikuwa nawasiliana nae kama dozi tunafurahi na kucheka kila siku, nikakata mawasiliano gafla bila sababu

kwa muda wa wiki tatu mfululizo ni kimya tu akipiga ntamwambia badae na iyo badae ndo kseho kutwa

Ikabidi anitafute analia nimwambie ukweli mi nikamchana live u uhusiano nimefeli mimi,

kama sikumuoa single maza huyu basi sioi tena singo maza

Atalia atakuwa sawa kuliko kumpotezea muda
Aisee we jamaa umemkosea kisaikolojia sana huyo mama, mpigie simu urudishe urafiki wenu hata kama haitabase kwenye mapenzi, au fanya kila liwèzekanalo yeye ndio akuache wewe tengeneza mazingira , iliakuache .. kuliko ulivyo fanya
 
Aisee we jamaa umemkosea kisaikolojia sana huyo mama, mpigie simu urudishe urafiki wenu hata kama haitabase kwenye mapenzi, au fanya kila liwèzekanalo yeye ndio akuache wewe tengeneza mazingira , iliakuache .. kuliko ulivyo fanya
upo sahihi ila alitamani sana ninwambie anachokifikiria maana hta ningemwambia nampenda bado angehisi uongo watu husema akiwazacho mtu ndicho humtokea
 
wew jamaa sasa hukuwa na hisia na demu inakuwaje mpaka ukamgegeda, mbona unataka kutuenjoy mwanawane

Mmm nyege na mazingira tuliyokutana ilikua ata chiz ningegegeda Mana ilikua kwenye project flan ya civil na dem ni civil engineer so tulipokuna uko por tukawa tunapiga show za Kippur por kwa minajir kua mjin kila mtu sna mambo yake hee dem kanogewa kaachia mimba
 
Mmm nyege na mazingira tuliyokutana ilikua ata chiz ningegegeda Mana ilikua kwenye project flan ya civil na dem ni civil engineer so tulipokuna uko por tukawa tunapiga show za Kippur por kwa minajir kua mjin kila mtu sna mambo yake hee dem kanogewa kaachia mimba
Duh sasa hawa wanawake pamoja na eleimu kubwa ila utamu wa mgegegdo unawapagawisha mpaka wanadaka mimba....kwa kweli mgegegdo uheshimiwe tuu
 
Asee huyu mleta mada n KE au ME

Kuna thread anasema anafurahia kuwa na tako kubwa wanaume wanaavyogeuka kuziangalia

Hapa anasema amempiga chenga single mother

Tushike lipi wakuu MSAADA tutani

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Wewe changia mada iliyopo mezani ya masingo maza,masuala mengine achana nayo utakuja kuchanganyikiwa humu.
 
Yaaani ukakamuliwe na mtu mwingine,uliwe uroda,ukojolewe huko alafu mwingine aje aleeee. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Dah baadhi ya wanaume tunakuaga mazezeta naona. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Cha kushangaza utakuta na ww mtakatifuu anaeongea hivi ulishakojolea mtu na ukasababisha usingle
 
Poleni na mfumko wa bei katika nchi yenye maziwa na asali huku thamani ya pesa ikiwa chini.

Katika pilikapilika za maisha nikakutana na mwanamke ambae baada ya kufahamiana vizuri aliamua kusema ukweli kuwa ana mtoto alimpata na mwanaume mwingine lakini mahusiano hayakudumu wakaachana. Lakini walikuwa hawajafunga ndoa.

Kwasasa mtoto ni mkubwa kabisa anamiaka 9. Sasa baada ya kuanza mchakato wa kuwa kwenye mahusiano dada analeta masharti mengi sana yaani kwamba hawezi kuja nyumbani kwangu hadi niende kwao nikajitambulishe na kumtolea mahari ndyo atakuja nyumbani kwangu kunitembelea. Hataki kutoka out ili tupate muda wa kujuana vizuri kupitia mazungumzo.

Pia huyu mama anataka ndoa faster faster sana hadi naogopa. Changamoto kubwa ukimuuliza kwanini aliachana na baba wa mtoto wake hana majibu ambayo yanaakili. Pia ni mdada mjanja mjanja sana. Anasema ameachana na huyo mwanaume wake 5 years ago lakini hajawahi kuwa na mahusiano na mwanaume mwingine halafu ni mgoni🥱.

Kinachonishangaza huyu single mother anataka nifuate sheria kama vile bado yupo bikra. Hataki kuji expose kabisa tabia zake lakini within a month anataka ndoa. Anapenda sana pesa ambazo hazina maelezo ya matumizi kabisa. Lakini kiukweli nahitaji kumjua sana kabla sijaingia chaka maana I have trust issue!
Kwa maelezo hayo na umri wa huyo mtoto nimemfahamu huyo binti mtaka ndoa kwa kulazimisha..


USITHUBUTU NDUGU YANGU, UTAJUTA KUZALIWA.
 
Mfano wa Soda na Single mother wala haviendani na havina uhusiano wowote kwa kuwa soda ni kimiminika hakina hisia lakini huyo Single mother ni binadamu na ana hisia. NINGEKUWA MIMI NINGETENGUA KAULI NA KUOMBA RADHI.

Hujui amepitia wapi na mangapi huyo mama, wengine walitelekezwa, wengine wamefiwa na wapendwa wao ingawa kuna wengine walijitakia wenyewe n.k. Lakini hii haiondoi ukweli kuwa wanahitaji faraja na maisha lazima yaendelee mbele.

Wajibika Mama aishi.
Hakuna mwanaume mwenye akili anetelekeza mtoto ww
 
Maweee!!! chupa ya soda ilisha tumika na kutumika weee!! zaidi ya mara mia! midomo mingi imepitia pale!! weye unaiona mpya una akili kweli weye??? ...hata ukiiifungua haikuonyeshi ni mpya!! zaidi tu utasikia ka gas pfyuuuu!!!

wasawahili mbona manaridhika padooog sana!!! ......siku hizi bikra zinatengenezwa na shab tu! km hujui shauri yako.....au ulizia wakubwa zako!! kwani mdada akitoka njombe akaacha huko watoto sita!! akaja Dsm!! kuolewa

Sasa weye na ushamba wako utajuaje kuwa ana watoto sita??kwani wamejipanga kwenye papuchi??...utawasomesha hao, utawalisha hao kwa kisingizio ni watoto wa dada yake!....utakuja jua na wewe tayari una watoto sita!!

yule mkubwa wao uliyemsomesha kwa hela zako kesha anza kazi, na mke ulimfungulia biashara hela anazo, sasa kazi kwako uache au ukae!! ukiacha wewe sheria ya ndoa unaijua ni pasu kwa pasu! na umri umeenda!! hayaaa....amua weye uone patamu hapo!
Bora iliyotumika kuliko uikute ipo nusu mwenzako kashainywa ubaya si chupa kutumiaka sna ubaya ni kuikuta soda umenyweka kidog
 
Yote kwa yote ila single mother wengi hua na K tamu banaaaa, zamotoooo halafu zinautelezi wa kutosha.
Usiombe single mother ndie apande kwa juu halafu wewe uwe kwa chini, wana ile miuno ya paka chongo yaani anaikatikia huku utelezi unachuruzika mpk pumbu zote zinaloana[emoji39][emoji39][emoji39]

Povu ruksaaaaa
[emoji16][emoji16]kumbe mashuhuda tupo wengi.
 
Back
Top Bottom