Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa
Ndio maana nasemaga sisi bado tuko kwenye evolution hatujawa binadamu kamili, bado tuna chembe chembe ya unyani

Unafanyaje mapenzi bila tahadhari ikiwa hauko tayari kulea?
Kwani suala la kuzaa au kuoata mtoto linaamriwa na mtu mmoja tu kwenye mahusiano. Mimi mwenye mbegu na wewe mwenye shamba ni lazima tufikie makubaliano hayo. Tuache kuvurugiana mipango, ni vyema mkapanga kama wazazi wenye elimu na kutumia akiki vizuri kufanya maqmuzi kwa manufaa ya huyo mtarajiwa. Shida yenu dada zetu huamini nyinyi ndio waamuzi, basi ndo mnashika ujauzito tu bila mipango.
 
Kwa uandishi huu nakuombea hata wewe ukamatike tu na hao masingo maza maana hakuna namna [emoji16]

On a serious note, wewe mwanaume mzima na akili zako unakubalije kuleta kiumbe hapa duniani wakati unajua kabisa kuwa hutashiriki kwa namna yo yote ile katika malezi na makuzi ya kiumbe hicho?

Hata huyo singo maza asingekuwa mtata na akatimiza ahadi yake asikusumbue kamwe kuhusu malezi ya mtoto, kama mwanaume uliyekamilika, hicho kweli ndicho unachokitaka? Mtoto wako mwenyewe akue bila malezi ya baba yake? Bila father figure katika maisha yake na dunia hii iliyoharibika hii? Na wewe upo mzima wa afya na una uchumi mzuri kama unavyosema? Mawazo gani haya nyinyi vijana wa siku hizi?

Be responsible. Kama huwezi kutunza mtoto atakayezaliwa basi acha kupelekea moto watoto wa watu (haijalishi kama ni singo maza ama la!) au tumia kinga. Janaume zima eti umerubuniwa na singo maza kwa ahadi kuwa atalea mwenyewe wakati na wewe upo mzima huna tatizo lo lote na wewe ukakubali. Ni Umario na ukwepaji wa majukumu wa kinyama!

Hopulesi kabisa yaani! [emoji2211][emoji2211][emoji2211][emoji2211]

View attachment 2644598
Mkuu, naomba niweke wazi. Kwa namna yoyote siwezi acha kulea mwanangu lakini je huyu mtoto tumempata kwa makubaliano yapi. Na ndio maana nausema ni mtego kwa sababu kwa namna yoyote utaongezewa jukumu la kukea mtoto ili hali wewe hukua tayari. Sijui umenipata ndugu yangu?? Ila nimeweka wazi, wadada wasitumie hiyo gear, ni vyema kupata consent ya mtu na pia kutoahidi kutowapa wazazi wabkiume majukumu mazito. Majukumu atafanya akijisikia kwani mdada ndio alitaka mtoto.


Lakini swali lakichokozivtu, hivi sperm donors huko ughaibuni huombwa pesa yq matumizi yq hao watoto wanaopatikana kwa mbegu mbegu zao???
 
Habari za Asubuhi wanajamvi na wapenzi wa habari moto moto za Mahusiano na Mapenzi. Niende kwenye maada. Kuna haka kakasumba au kamtego wanakatumia sana dadaz hasa single mothers au wale mile zimesogea.

Mtego huu watoto wa kiume wengi wamenasa na wengine wanajuta kwanini hawakushituka mapema. Ninao washikaji kama wanne hivi wamekamatika na leo wanahangaika na kusumbuliwa na kesi kwenye madawati kijinsia. Kwa wale ambao mtego hu mliwahi ushitukia na kuuruka hongereni sana wakuu.

Mtego huu wadada wanautumia sana kujinufaisha na hata pia inapelekea wengine kuvurugiwa malengo yao. Ni ukweli usiopingika kuwa huu mchezo sio mzuri na inabidi vijana wa kiume wote tuufahamu na mwisho tuukatae kwa kufanya maamuzi sahihi.

Hawa wadada wamekuwa na gear ya pekee sana katika kuuweka huu mtego na hasa hasa akiona mkaka una maisha yako, kula na kulala hakukusumbui na ukute una ajira rasmi au Biashara yako ya kueleweka.

Natambua wote mmeshaijua hata kabla sijaitaja. Najua unatamani kujua ni mbinu ipi hiyo, basi tulia nikujuze. Single mazaz au wale Number A au B, wamekuwa wajanja sana. Ukianzisha nao mahusiano wanakuweka karibu sana halafu ikifika muda atakuambia mie ninataka mtoto, na ukimwambia kuwa mie sijajipanga atakuambia huyo mtoto nitalea mwenyewe kwanza nina kazi au biashara zangu hivyo sitakusmbua chochote.

Wengi wetu tumekamatika sana. Ukishampa mimba au ujauzito atakuacha mwezi wa kwanza then baadae sarakasi huja na unajikuta unashangaa imekuaje wakati tulikubaliana kabisa. Utafikishwa kwenye madawati kijinsia na kuwekewa masharti na utaratibu wa kutoa pesa ya matumizi ili hali hata hukuwa umejiandaa.

Kuna jamaa yangu anahangaika na huyo dada daah. Kwahiyo tuweni makini, mimi kuna huyo mdada game moja tu anataka mtoto, nimekataa wazi wazi naona kishaanza kupunguza ukaribu na mimi na hata akija nimle natumia mpira. Shituka kaka, shituka mjomba amka usingizini.

Nawasilisha🙂
Ok
 
sasa mwanaume unakubalije ujinga wa kuzaa na mtu usie na malengo nae kwa kigezo kuwa hautailea damu yako? mi damu yangu siwezi kuiacha hivyo hivyo siwezi kumbebesha mimba mwanamke nisie muhitaji awe karibu na maisha yangu
Basi usit**mbe mkuu, suburi ndoa[emoji41]
 
Mkuu, naomba niweke wazi. Kwa namna yoyote siwezi acha kulea mwanangu lakini je huyu mtoto tumempata kwa makubaliano yapi. Na ndio maana nausema ni mtego kwa sababu kwa namna yoyote utaongezewa jukumu la kukea mtoto ili hali wewe hukua tayari. Sijui umenipata ndugu yangu?? Ila nimeweka wazi, wadada wasitumie hiyo gear, ni vyema kupata consent ya mtu na pia kutoahidi kutowapa wazazi wabkiume majukumu mazito. Majukumu atafanya akijisikia kwani mdada ndio alitaka mtoto.


Lakini swali lakichokozivtu, hivi sperm donors huko ughaibuni huombwa pesa yq matumizi yq hao watoto wanaopatikana kwa mbegu mbegu zao???
Kamwe hauwezi kuwa mtego maana ni suala ambalo wala halihitaji mjadala. Ni instinct tumeumbwa nayo. We take care of our young...and that's how species survive.

Wewe na akili zako kamili ulale na mwanamke akiwa kwenye siku zake za hatari huku ukidanganywa eti hutahusika kwa namna yo yote katika malezi ya huyo mtoto. Na wewe unakubali? Ili alelewe na nani sasa huyo mtoto? Babake wa kambo? Katika jamii hii iliyo na uadui mkubwa na singo mazazi? Kwangu haiingii akilini kabisa! Ili huyo mtoto aje apate wapi uzoefu wa baba katika maisha yake? Nadhani ni tofauti tu ya misimamo na falsafa za maisha. Tuishie hapo katika hili!

La sperm donor hilo ni suala jingine liache na wala halikaribiani na hili. Kwanza hiyo ni biashara. Unakwenda unalipwa na unapiga bao kwenye chupa mbegu zako zinahifadhiwa. Hata wakienda kuzimwaga huko wewe hutajua. Zikienda kutumiwa huko pia hutajua. Na watakaofaidika nazo unakuta mara nyingi ni couple ambao hawana uwezo wa kupata mtoto. Mama anapandikizwa mbegu hizo na mtoto atapata malezi yote huku akijua kuwa hao ndiyo wazazi wake. Na mara nyingi unasainishwa makaratasi ya confidentiality kwamba hutakaa kamwe ufuatilie mbegu zako zilitumikaje.

Kwa kifupi tu hii ni biashara maalum kwa watu maalum na haiathiri malezi ya mtoto na kamwe huwezi kuilinganisha na Umario wetu huu. Unazalisha. Mama unamjua. Mtoto unamjua. Mnajuana. Halafu eti usilee mwanao kisa tu mamake alikwambia hivyo. Halooo!
 
Vijana hakikisheni ukiwa na single maza faragha unatumia mpira hata mitano unavaa haijalishi unasikia utamu au husikii utamu wewe vaa tuu mpira .

Utakuja kunishukuru
Umesema vyema mzee. Ngoja niadd kwenye paragraph ya mwisho.
 
Habari za Asubuhi wanajamvi na wapenzi wa habari moto moto za Mahusiano na Mapenzi. Niende kwenye maada. Kuna haka kakasumba au kamtego wanakatumia sana dadaz hasa single mothers au wale mile zimesogea.

Mtego huu watoto wa kiume wengi wamenasa na wengine wanajuta kwanini hawakushituka mapema. Ninao washikaji kama wanne hivi wamekamatika na leo wanahangaika na kusumbuliwa na kesi kwenye madawati kijinsia. Kwa wale ambao mtego hu mliwahi ushitukia na kuuruka hongereni sana wakuu.

Mtego huu wadada wanautumia sana kujinufaisha na hata pia inapelekea wengine kuvurugiwa malengo yao. Ni ukweli usiopingika kuwa huu mchezo sio mzuri na inabidi vijana wa kiume wote tuufahamu na mwisho tuukatae kwa kufanya maamuzi sahihi.

Hawa wadada wamekuwa na gear ya pekee sana katika kuuweka huu mtego na hasa hasa akiona mkaka una maisha yako, kula na kulala hakukusumbui na ukute una ajira rasmi au Biashara yako ya kueleweka.

Natambua wote mmeshaijua hata kabla sijaitaja. Najua unatamani kujua ni mbinu ipi hiyo, basi tulia nikujuze. Single mazaz au wale Number A au B, wamekuwa wajanja sana. Ukianzisha nao mahusiano wanakuweka karibu sana halafu ikifika muda atakuambia mie ninataka mtoto, na ukimwambia kuwa mie sijajipanga atakuambia huyo mtoto nitalea mwenyewe kwanza nina kazi au biashara zangu hivyo sitakusmbua chochote.

Wengi wetu tumekamatika sana. Ukishampa mimba au ujauzito atakuacha mwezi wa kwanza then baadae sarakasi huja na unajikuta unashangaa imekuaje wakati tulikubaliana kabisa. Utafikishwa kwenye madawati kijinsia na kuwekewa masharti na utaratibu wa kutoa pesa ya matumizi ili hali hata hukuwa umejiandaa.

Kuna jamaa yangu anahangaika na huyo dada daah. Kwahiyo tuweni makini, mimi kuna huyo mdada game moja tu anataka mtoto, nimekataa wazi wazi naona kishaanza kupunguza ukaribu na mimi na hata akija nimle natumia mpira. Shituka kaka, shituka mjomba amka usingizini.

Nawasilisha🙂
Hv Kwa nn hamuwez kuandika mstar mmoja tuu ukaeleweka , au nyie ndo waandishi wa Riwaya za hakiki
 
Mkuu, naomba niweke wazi. Kwa namna yoyote siwezi acha kulea mwanangu lakini je huyu mtoto tumempata kwa makubaliano yapi. Na ndio maana nausema ni mtego kwa sababu kwa namna yoyote utaongezewa jukumu la kukea mtoto ili hali wewe hukua tayari. Sijui umenipata ndugu yangu?? Ila nimeweka wazi, wadada wasitumie hiyo gear, ni vyema kupata consent ya mtu na pia kutoahidi kutowapa wazazi wabkiume majukumu mazito. Majukumu atafanya akijisikia kwani mdada ndio alitaka mtoto.


Lakini swali lakichokozivtu, hivi sperm donors huko ughaibuni huombwa pesa yq matumizi yq hao watoto wanaopatikana kwa mbegu mbegu zao???
Kwa hiyo wewe ni sperm donor??
Hao Sperm Donor wa huko mbele wanalipwa na moja ya makubaliano ni kutokujuana na muhusika hivyo hatojua mtoto wake yuko wapi na yupo na nani ila kwa kesi yako wewe ni kua mnajuana na huyo Mwanamke na mkakubaliana kuzaa
 
Kamwe hauwezi kuwa mtego maana ni suala ambalo wala halihitaji mjadala. Ni instinct tumeumbwa nayo. We take care of our young...and that's how species survive.

Wewe na akili zako kamili ulale na mwanamke akiwa kwenye siku zake za hatari huku ukidanganywa eti hutahusika kwa namna yo yote katika malezi ya huyo mtoto. Na wewe unakubali? Ili alelewe na nani sasa huyo mtoto? Babake wa kambo? Katika jamii hii iliyo na uadui mkubwa na singo mazazi? Kwangu haiingii akilini kabisa! Ili huyo mtoto aje apate wapi uzoefu wa baba katika maisha yake? Nadhani ni tofauti tu ya misimamo na falsafa za maisha. Tuishie hapo katika hili!

La sperm donor hilo ni suala jingine liache na wala halikaribiani na hili. Kwanza hiyo ni biashara. Unakwenda unalipwa na unapiga bao kwenye chupa mbegu zako zinahifadhiwa. Hata wakienda kuzimwaga huko wewe hutajua. Zikienda kutumiwa huko pia hutajua. Na watakaofaidika nazo unakuta mara nyingi ni couple ambao hawana uwezo wa kupata mtoto. Mama anapandikizwa mbegu hizo na mtoto atapata malezi yote huku akijua kuwa hao ndiyo wazazi wake. Na mara nyingi unasainishwa makaratasi ya confidentiality kwamba hutakaa kamwe ufuatilie mbegu zako zilitumikaje.

Kwa kifupi tu hii ni biashara maalum kwa watu maalum na haiathiri malezi ya mtoto na kamwe huwezi kuilinganisha na Umario wetu huu. Unazalisha. Mama unamjua. Mtoto unamjua. Mnajuana. Halafu eti usilee mwanao kisa tu mamake alikwambia hivyo. Halooo!
Mkuu mimi nimesema mtu asilee, ila watu wawe waangalifu single mothers wanatumia mbinu hiyo kupata mahitaji yao na kuvimba mtaani kuwa wanalea watoto kwq nguvu zao. Kiufupi, bandiko lqngu nikumbusha kijana anapokuwa anapiga show na hawa single mother asiache kuvaa kondomu. Naomba niishie hapo, naona we Mkuu upo ku defend single mothers ili hali bandiko linasema watu wasilee watoto wao.
 
Mkuu mimi nimesema mtu asilee, ila watu wawe waangalifu single mothers wanatumia mbinu hiyo kupata mahitaji yao na kuvimba mtaani kuwa wanalea watoto kwq nguvu zao. Kiufupi, bandiko lqngu nikumbusha kijana anapokuwa anapiga show na hawa single mother asiache kuvaa kondomu. Naomba niishie hapo, naona we Mkuu upo ku defend single mothers ili hali bandiko linasema watu wasilee watoto wao.
Bado huna hoja.
Kwanini umbebeshe mimba mwanamke kwa hoja atalea mwenyewe? Huoni ni utaahira. Wewe bado ni mvulana.
 
Back
Top Bottom