Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Usioe , acha tu ishi kimasihara mnaringa watu wanajizalia sasa wafanyaje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatari halafu Utasikia eti alidanganywa wao kila siku sababu ni hyo hiyo.Nawahurumia sana hawa viumbe
Kuna kafanyakazi home kalipata mimba kakaondoka
Sasa akawa anazunguka anauza matunda
Tukamshauri mdogo wake asiwe na maisha kama ya Dada yake
Cha ajabu pamoja na onyo hilo nae akapata mimba
Sijui ni maadili au ni uzembe au upumbavu hata sielewi
Hizo takwimu za wapi?Wanaume wamekuwa wachache sana na Bado wengine wameingia ushoga...
Kifupi wanaume wamepungua
unaishi wapi?Leo nimetongoza mdem wa tatu,
Wote ni single mother, tena by evidence
Siyo 9/10 ni 10/10 hawataki kuoa single mothers ila wanavumilia tu kuoa kwasababu Kila upande ni single mothersAcha uongo!!!!
Huo utafiki wa 9/10 men hawataki kuoa Single Mother umeufanya wapi????
Kati ya hao wznawake 31 M wanawake halisi ni wangapi?Ngoja nikusaidie kidogo,Kwenye sesnsa iliyopita ya 2022 Idadi ya watu ilikuwa ni 31M wanawake Kwa 30M wanaume ila kiuhalisia Katika hao 30M inayosemwa ni wanaume,Wanaume wa KWELI tupo around 10M pekee!!
Kwanini nasema hv,kati ya hao 30M Kuna Mashoga,Kuna Mariooo Kuna wambea,Kuna wasiojielewa,Kuna ambao hawawezi kufanya maamuzi binafs
Kuna waliotoboa masikio na sio wasanii,Kuna wanaojichubua,Kuna wanaoogopa majukumu Sasa uanaume Sio kutungisha MIMBA pekee!!
Ni wapumbavu sana wao wanadhani akipata mimba jamaa atafurahi na kumuoa haraka ila hajui kuwa wanaume pia walipitia wa kila aina ila anakubambikizia kesiHatari halafu Utasikia eti alidanganywa wao kila siku sababu ni hyo hiyo.
Vipi hukohuko uingereza?Nawahurumia sana hawa viumbe
Kuna kafanyakazi home kalipata mimba kakaondoka
Sasa akawa anazunguka anauza matunda
Tukamshauri mdogo wake asiwe na maisha kama ya Dada yake
Cha ajabu pamoja na onyo hilo nae akapata mimba
Sijui ni maadili au ni uzembe au upumbavu hata sielewi
Kusema siyo poa ndiyo kumaanisha nini?mbona mnaharibu sana kiswahili lakini!!!Bonjour
Aisee sio poa ndugu zangu , yani siku hizi single mother zimejaa sana mtaa,. daaa Yani kila Dem nikitongoza Kwa ajili kuwa nae kwenye mahusiano, katika kumi , tisa ni single mother [emoji2]
Mpaka Kuna mda na stop Kwa kutongoza tongoza, na mm Dem akishaniambia ana mtoto, aise Moto unakata kabisa, kwani nyie madem mnaferi wapi ? Au ndio utam wa pipi bila maganda.
Na katika wanaume Kumi, wanaume tisa hawataki kabisa kuoa single mother, hii ratio sio poa kabisa
Mimi sitaki kabisa, kuja kulea bao la mwanaume mwenzangu wakati huyo mwanaume mzima na hema
At least Kwa single mother aliye fiwa na mume wake, na cheti Cha kifo tukione
Hakuna msamiati kama singo faza, mwanaume hawezi kua singo father anakua bachelor tuKama single mothers ni wengi bas hata single father ni wengi vilevile
[emoji1] [emoji1787] huku wasichana wapo pia single mother ila baada ya kugombana na waume zao au washikaji wao walioishi pamojaVipi hukohuko uingereza?
Ni mtazamo wakoHakuna msamiati kama singo faza, mwanaume hawezi kua singo father anakua bachelor tu
Kwanini walalamikaji ni vijana na sio single mothers? Hapo tu ndo huwa sielewi. Kwanini vijana msioe wasio na watoto bila kulialia kuhusu single mothers?Mbona Kama unajitetea iyo Hali.maisha yalivyo magumu ulee mtt ama watt ambao hujawazaa. Hata wanyama wenyewe Ilo hawawezi kulifanya