Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Visu vya Hospitalini na Dawa mbalimbali za Kumtibu Mwanadamu ( hasa kwa Magonjwa yasiyotibika ) ili aendelee Kuishi kwa Matumaini kamwe havijawahi Kuuacha salama Ubongo wa Mhusika.Ndugai anashangaa Sharia za kijinga ambazo ni kichaa tu angeweza kuzipitisha. Anajiuliza alikua wapi wakati wanapitisha sheria chafu kama hizo? Nadhani mambo mawili, moja huenda anaumwa au legacy ya mwendazake inaisha nguvu.
Hili ni Bunge la CCM...je ni sharia ngapi za kijinga zimepitishwa na kuumiza Watanzania?
View attachment 1799755
Marukanga au maru k yanamsumbua jobuNdugai anashangaa Sharia za kijinga ambazo ni kichaa tu angeweza kuzipitisha. Anajiuliza alikua wapi wakati wanapitisha sheria chafu kama hizo? Nadhani mambo mawili, moja huenda anaumwa au legacy ya mwendazake inaisha nguvu.
Hili ni Bunge la CCM...je ni sharia ngapi za kijinga zimepitishwa na kuumiza Watanzania?
View attachment 1799755
Ukiona hivyo ujue anakaribia kukata roho huyoNdugai anashangaa Sharia za kijinga ambazo ni kichaa tu angeweza kuzipitisha. Anajiuliza alikua wapi wakati wanapitisha sheria chafu kama hizo? Nadhani mambo mawili, moja huenda anaumwa au legacy ya mwendazake inaisha nguvu.
Hili ni Bunge la CCM...je ni sharia ngapi za kijinga zimepitishwa na kuumiza Watanzania?
View attachment 1799755
Mkuu yaani ndo unajua wakati huu anao elekea kuponaNdugai anashangaa Sharia za kijinga ambazo ni kichaa tu angeweza kuzipitisha. Anajiuliza alikua wapi wakati wanapitisha sheria chafu kama hizo? Nadhani mambo mawili, moja huenda anaumwa au legacy ya mwendazake inaisha nguvu.
Hili ni Bunge la CCM...je ni sharia ngapi za kijinga zimepitishwa na kuumiza Watanzania?
View attachment 1799755
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mtu aliyetumia zaidi ya bil 12 kwa matibabu unajiuliza kama ni mgonjwa ?
Dai tu mpka unakufa hutoiona nakuapiaKatiba mpya tuidai kufa na kupona.
Kwa kauli hii, kuna haja na umuhimu wa viongozi wakuu wa mihili mikuu kupimwa afya zao na akili pia kabla hawajapewa dhamana ya uongozi.Ndugai anashangaa Sharia za kijinga ambazo ni kichaa tu angeweza kuzipitisha. Anajiuliza alikua wapi wakati wanapitisha sheria chafu kama hizo? Nadhani mambo mawili, moja huenda anaumwa au legacy ya mwendazake inaisha nguvu.
Hili ni Bunge la CCM...je ni sharia ngapi za kijinga zimepitishwa na kuumiza Watanzania?
View attachment 1799755