Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu hafai kabisa kuwa kiongozi! Ni mnafiki, mchumia tumbo, mjinga na mpumbavu! Ni Tanzania pekee bunge linakuwa na spika hovyo na mburura kama hiki kipimbi!Ndugai anashangaa Sharia za kijinga ambazo ni kichaa tu angeweza kuzipitisha. Anajiuliza alikua wapi wakati wanapitisha sheria chafu kama hizo? Nadhani mambo mawili, moja huenda anaumwa au legacy ya mwendazake inaisha nguvu.
Hili ni Bunge la CCM...je ni sharia ngapi za kijinga zimepitishwa na kuumiza Watanzania?
View attachment 1799755
Kwani Spika ndiyo anayepitisha sheria au bunge lake lililooza ?Ndugai anashangaa Sharia za kijinga ambazo ni kichaa tu angeweza kuzipitisha. Anajiuliza alikua wapi wakati wanapitisha sheria chafu kama hizo? Nadhani mambo mawili, moja huenda anaumwa au legacy ya mwendazake inaisha nguvu.
Hili ni Bunge la CCM...je ni sharia ngapi za kijinga zimepitishwa na kuumiza Watanzania?
View attachment 1799755
Mgonjwa huyu!Ndugai anashangaa Sharia za kijinga ambazo ni kichaa tu angeweza kuzipitisha. Anajiuliza alikua wapi wakati wanapitisha sheria chafu kama hizo? Nadhani mambo mawili, moja huenda anaumwa au legacy ya mwendazake inaisha nguvu.
Hili ni Bunge la CCM...je ni sharia ngapi za kijinga zimepitishwa na kuumiza Watanzania?
View attachment 1799755
Mimi mwenyewe nadhani sikuwepo siku hio! Haiwezekani nisijueKwani Spika ndiyo anayepitisha sheria au bunge lake lililooza ?
Alisha sema ana faili MirembeNdugai anashangaa Sharia za kijinga ambazo ni kichaa tu angeweza kuzipitisha. Anajiuliza alikua wapi wakati wanapitisha sheria chafu kama hizo? Nadhani mambo mawili, moja huenda anaumwa au legacy ya mwendazake inaisha nguvu.
Hili ni Bunge la CCM...je ni sharia ngapi za kijinga zimepitishwa na kuumiza Watanzania?
View attachment 1799755
Lile file lake la mirembe lilikuwa la kupima ujauzito ?Mimi mwenyewe nadhani sikuwepo siku hio! Haiwezekani nisijue
Uzito sio ujauzitoLile file lake la mirembe lilikuwa la kupima ujauzito ?
Alikumbuka kupima uzito wa ubongo wake ?Uzito sio ujauzito
🙏🙏🙏Mtu aliyetumia zaidi ya bil 12 kwa matibabu unajiuliza kama ni mgonjwa ?
Buyu kweli huyu mwisho wa siku atakuja kusema hakuwahi kuwa sehemu ya bungeNdugai anashangaa Sharia za kijinga ambazo ni kichaa tu angeweza kuzipitisha. Anajiuliza alikua wapi wakati wanapitisha sheria chafu kama hizo? Nadhani mambo mawili, moja huenda anaumwa au legacy ya mwendazake inaisha nguvu.
Hili ni Bunge la CCM...je ni sharia ngapi za kijinga zimepitishwa na kuumiza Watanzania?
View attachment 1799755
Ndugai anashangaa Sharia za kijinga ambazo ni kichaa tu angeweza kuzipitisha. Anajiuliza alikua wapi wakati wanapitisha sheria chafu kama hizo? Nadhani mambo mawili, moja huenda anaumwa au legacy ya mwendazake inaisha nguvu.
Hili ni Bunge la CCM...je ni sharia ngapi za kijinga zimepitishwa na kuumiza Watanzania?
View attachment 1799755
Huyu jamaa simuelewi kabisa lazima atakuwa Mgonjwa tu.Ndugai anashangaa Sharia za kijinga ambazo ni kichaa tu angeweza kuzipitisha. Anajiuliza alikua wapi wakati wanapitisha sheria chafu kama hizo? Nadhani mambo mawili, moja huenda anaumwa au legacy ya mwendazake inaisha nguvu.
Hili ni Bunge la CCM...je ni sharia ngapi za kijinga zimepitishwa na kuumiza Watanzania?
View attachment 1799755
Kama Spika mwenyewe ndio alihusika kupitisha hizo Sheria halafu Spika huyo huyo leo Anazishangaa ni Wazi Sheria zote zilizopitishwa Wakati wa Utawala wa MAGUFULI zitawashangaza Watu wengi.Ndugai anashangaa Sharia za kijinga ambazo ni kichaa tu angeweza kuzipitisha. Anajiuliza alikua wapi wakati wanapitisha sheria chafu kama hizo? Nadhani mambo mawili, moja huenda anaumwa au legacy ya mwendazake inaisha nguvu.
Hili ni Bunge la CCM...je ni sharia ngapi za kijinga zimepitishwa na kuumiza Watanzania?
View attachment 1799755
Kwani Msukuma na Lusinde wanasemaje kuhusu hizo sheria?Kama Spika mwenyewe ndio alihusika kupitisha hizo Sheria halafu Spika huyo huyo leo Anazishangaa ni Wazi Sheria zote zilizopitishwa Wakati wa Utawala wa MAGUFULI zitawashangaza Watu wengi.
Pumbafu sana wew unamtisha nan kiaz wwWeee nitukane tu siku mama yako na mkeo wakifa ndiyo utakumbuka matusi ulionitukania mama yangu
Duh bonge la tobo kichwani