Ndugai ni Spika asiye na sifa za kuwa spika
Ndugai anashangaa Sharia za kijinga ambazo ni kichaa tu angeweza kuzipitisha. Anajiuliza alikua wapi wakati wanapitisha sheria chafu kama hizo? Nadhani mambo mawili, moja huenda anaumwa au legacy ya mwendazake inaisha nguvu.

Hili ni Bunge la CCM...je ni sharia ngapi za kijinga zimepitishwa na kuumiza Watanzania?

View attachment 1799755
Huyu hafai kabisa kuwa kiongozi! Ni mnafiki, mchumia tumbo, mjinga na mpumbavu! Ni Tanzania pekee bunge linakuwa na spika hovyo na mburura kama hiki kipimbi!
Sijui tunaelekea wapi kama taifa, tulikuwa na rais wa hovyo, akaingiza mizizi yake ya uhovyo hovyo kila mahala mwisho wa siku taifa limerudi nyuma miaka60!
Ifike mahali katiba mpya na tume huru ya uchaguzi vitafutwe kwa nguvu ili mbeleni tuwe na uwezo wa kushughulikia wapuuzi kama huyu mzee
 
Ndugai anashangaa Sharia za kijinga ambazo ni kichaa tu angeweza kuzipitisha. Anajiuliza alikua wapi wakati wanapitisha sheria chafu kama hizo? Nadhani mambo mawili, moja huenda anaumwa au legacy ya mwendazake inaisha nguvu.

Hili ni Bunge la CCM...je ni sharia ngapi za kijinga zimepitishwa na kuumiza Watanzania?

View attachment 1799755
Kwani Spika ndiyo anayepitisha sheria au bunge lake lililooza ?
 
Ndugai anashangaa Sharia za kijinga ambazo ni kichaa tu angeweza kuzipitisha. Anajiuliza alikua wapi wakati wanapitisha sheria chafu kama hizo? Nadhani mambo mawili, moja huenda anaumwa au legacy ya mwendazake inaisha nguvu.

Hili ni Bunge la CCM...je ni sharia ngapi za kijinga zimepitishwa na kuumiza Watanzania?

View attachment 1799755
Mgonjwa huyu!
 
Ndugai anashangaa Sharia za kijinga ambazo ni kichaa tu angeweza kuzipitisha. Anajiuliza alikua wapi wakati wanapitisha sheria chafu kama hizo? Nadhani mambo mawili, moja huenda anaumwa au legacy ya mwendazake inaisha nguvu.

Hili ni Bunge la CCM...je ni sharia ngapi za kijinga zimepitishwa na kuumiza Watanzania?

View attachment 1799755
Alisha sema ana faili Mirembe
 
Heche amemkumbusha
Screenshot_20210528-072139.jpg
 
Huy
Ndugai anashangaa Sharia za kijinga ambazo ni kichaa tu angeweza kuzipitisha. Anajiuliza alikua wapi wakati wanapitisha sheria chafu kama hizo? Nadhani mambo mawili, moja huenda anaumwa au legacy ya mwendazake inaisha nguvu.

Hili ni Bunge la CCM...je ni sharia ngapi za kijinga zimepitishwa na kuumiza Watanzania?

View attachment 1799755
Buyu kweli huyu mwisho wa siku atakuja kusema hakuwahi kuwa sehemu ya bunge
 
Ndugai anashangaa Sharia za kijinga ambazo ni kichaa tu angeweza kuzipitisha. Anajiuliza alikua wapi wakati wanapitisha sheria chafu kama hizo? Nadhani mambo mawili, moja huenda anaumwa au legacy ya mwendazake inaisha nguvu.

Hili ni Bunge la CCM...je ni sharia ngapi za kijinga zimepitishwa na kuumiza Watanzania?

View attachment 1799755


Labda kuna ng'ombe wa jamaa zake wamekamatwa, huwa akikomalia jambo lazima ananufaika nalo kwa namna fulani
 
Ndugai anashangaa Sharia za kijinga ambazo ni kichaa tu angeweza kuzipitisha. Anajiuliza alikua wapi wakati wanapitisha sheria chafu kama hizo? Nadhani mambo mawili, moja huenda anaumwa au legacy ya mwendazake inaisha nguvu.

Hili ni Bunge la CCM...je ni sharia ngapi za kijinga zimepitishwa na kuumiza Watanzania?

View attachment 1799755
Huyu jamaa simuelewi kabisa lazima atakuwa Mgonjwa tu.
 
Inawezekana hata sheria ya bodi ya mikopo makato kua aslimia 15% ilipitishwa akiwa hajui Sasa kwa kua amejua Rai yetu Sasa ibadilishwe irudi ile ya zamani ya asilimia 8%
 
Inawezekana hata sheria ya bodi ya mikopo makato kua aslimia 15% ilipitishwa akiwa hajui Sasa kwa kua amejua Rai yetu Sasa ibadilishwe irudi ile ya zamani ya asilimia 8%
 
Ndugai anashangaa Sharia za kijinga ambazo ni kichaa tu angeweza kuzipitisha. Anajiuliza alikua wapi wakati wanapitisha sheria chafu kama hizo? Nadhani mambo mawili, moja huenda anaumwa au legacy ya mwendazake inaisha nguvu.

Hili ni Bunge la CCM...je ni sharia ngapi za kijinga zimepitishwa na kuumiza Watanzania?

View attachment 1799755
Kama Spika mwenyewe ndio alihusika kupitisha hizo Sheria halafu Spika huyo huyo leo Anazishangaa ni Wazi Sheria zote zilizopitishwa Wakati wa Utawala wa MAGUFULI zitawashangaza Watu wengi.
 
Back
Top Bottom