anataka aogopwe na wabunge kama mawaziri wanavyoogopa kwa mwenye nchi
 
Pamoja na mapungufu yake hayo yoote lakini nimeambiwa pia kuwa effect ya ule ugonjwa wetu huwa unawasumbua saana waathirika katika stage ya mwisho...ahaaa...nywele zoote kushenei...India kila siku...
 

umejua lini?
 
hamjui mnataka nini
mlimtukana Tulia kuwa anabebwa,Ndugai ndio spika anajielewa
Leo Ndugai amekuwa hafai?
 
Mbaya zaidi yale mafiga matatu yasipokuwapo nchini yeye ndiye kingozi mkuu wa nchi.

Yaani, Tanzania huwa hatukosi kuwa na kiongozi hasara.

Tukiwa na rais mzuri lazima kilaza atakuwa mahala fulani atakaye haribu tu mfumo.

Ni kama sasa hivi, nchi iko vizuri kwenye mafiga matatu ila tatizo ni huyo mpiga wagombea wenzake Kwa rungu .

Sasa tabia yake ya kupiga watu marungu , anataka kutufundishia askari wetu wenye weredi kufanya huo upuuzi na unyama.

Kweli, Mungu kama wanaomwamini yupo, Basi amrudishe tu mahala pema peponi huyo jamaa maana hana faida tena.
 
Anafanyakazi kishabiki mno kuliko weledi ndiyo tatizo lake kubwa....muangaline Chenge akiongoza bunge na yeye utaona tofauti kubwa mno,mbali na madhahifu mengine Chenge aliyonayo ila kwa kuliongoza bunge anafaa mno kuliko Job na msaidizi wake....Na ungiangalia matatizo makubwa sana ya nchi hii yanatojana na kutokuwa na bunge imara lenye uongozi imara
 
Nimejaribu kutafakari kwa kina sifa za wanasiasa wetu wa tanzania nabaki sielewi kabisa maana wanachoongea na wanachokitenda ni vitu viwili tofauti.

Spika wa bunge la Jamhuri ya Tanzania Mheshimiwa ndugai ameamua kuwaondoa askari waliochelewa kumchukulia hatua mheshimiwa mnyika. Akiongelea swala hilo kasema mbunge ni mheshimiwa akishindwa kuonesha uheshimiwa wake lazima adhalilishwe. Amesahau yeye kwenye harakati za uchaguzi aliwahi mpiga mgombea mwenzake lakini hakufanywa kitu chechote.

Najiuliza uheshimiwa wa Ndugai uko wapi mpk awaone wenzake hawafai, mpk atake askari wambebe mwenzake kama kaua mtu. Wanasiasa wa Tanzania wanakera sana, hawajisahihishi, wanaona sana kibanzi kwenye macho ya wenzao na si kwenye macho yao.
 
Huu ni wakati wa ngumi kupigwa bungeni, jinsi Ndugai anavyotumia mabavu, kwenye mambo ya hekima, ndio jins ambavyo atasababisha vurugu bungeni, anachokifanya Mh Ndugai ni sawa na kumtishia mtu mzima nyau, mabunge mengine ngumi zinapigwa kama kawa, bunge sio kikao cha mapadri na maskofu.

Natamani ningekuwa bungeni nionyeshe mfano, udikteta wa Ndugai ni mbaya zaidi kuliko ule ukoloni mjerumani
 
Waige bunge la kenya. Mi ningekuwa naingia na mabeto
 
Siyo hivyo, neno kudharirisha siyo neno zuri, heri angesema aadhibuwe siyo adharirishwe
 
Kumlaumu Mh.Ndugai ni makosa makubwa katika kipindi hiki..Nani angeweza kusimamia haki ktk nafasi alionayo Mh.J.Ndugai?
Tujifunze kupitia makosa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…