Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anafuata haiba ya utawala wa awamu ya VMh, tafakari hilo. Chuki na upinzania unaitoa wapi?
Ndugai anaamini nguvu ya Bunge ni kukandamiza wapinzaniMh, tafakari hilo. Chuki na upinzania unaitoa wapi?
Bunge la uongozi wa Ndugai ni growing media nzuri kwa Mh. Lusinde, Mh. Mlinga, Mh. Jah People, Mh. Shonza nk yaani wale wapuuzi ndio vinara wanaopewa airtime kubwa
Bunge la uongozi wa Ndugai ni growing media nzuri kwa Mh. Lusinde, Mh. Mlinga, Mh. Jah People, Mh. Shonza nk yaani ndio vinara wanaopewa airtime kubwa
mie huyu hata huwa simalizi MB zangu kumsikiliza huyo kaka,Mlinga ana tabia za kike sana yule boya...
"Mh Mnyika amevaa nguo za Trafki"Bunge la uongozi wa Ndugai ni growing media nzuri kwa Mh. Lusinde, Mh. Mlinga, Mh. Jah People, Mh. Shonza nk yaani ndio vinara wanaopewa airtime kubwa
"Mh Mnyika amevaa nguo za Trafki"
The speaker is quite partial unless don't know qualities of a good speaker!!Kinachoonekana, ni kwa wabunge wa upinzani kuzidiwa, hivyo kuamua matumizi ya vurugu kama njia ya kuonesha wanawaza nini; ila vurugu haijawahi kuwa suluhu, inaongeza matatizo.
Angalau kuwaona alipenda!6 aliwah kuwapenda?
Na Yale mazuzu menzake yakashangilia!"Mh Mnyika amevaa nguo za Trafki"
Anafuata haiba ya utawala wa awamu ya V