Alvajumaa
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 5,039
- 6,253
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wataita watanzania wengi sana kwenye kamati ya madili ya kulinda udhaifu wao ni wadhaifu sana sana sana nasema ni dhaifu kabisaTrh 23 nawe ufike mbele ya kamati ya maadili
Mbona nawewe nilikuona unaserereka kuitetea atcl huko kwenye mjadala wa mbuzi Sasa umehamia huku!Mmeshamaliza mjadala wa mbuzi ndani ya ndege sasa mmehamia kwenye mjadala wa Ndugai. Kazi kweli kweli.
Endelea kupiga makofi nyie si kazi yenu kushangilia ndio maana mkiambiwa kikokotoo kipya ndio sawa mnapiga makofi mkiambiwa hakifai mnapiga makofi sarakasi na kuandamana kupongeza sasa na hili ni sawa tu kwako shangilia maamuzi ya SupikaMmeshamaliza mjadala wa mbuzi ndani ya ndege sasa mmehamia kwenye mjadala wa Ndugai. Kazi kweli kweli.
Mzee wa bunge la katiba. Wafu wapiga kura.Tulisha wahi kuwa na spika MWENYE AKILI MMOJA TUU nae ni MZEE WA SPEED NA VIWANGO aka SITTA. Wengine tuvumilie tuu muda wao upite
ZwazwaMmeshamaliza mjadala wa mbuzi ndani ya ndege sasa mmehamia kwenye mjadala wa Ndugai. Kazi kweli kweli.
...nae akili aliiacha mchagoni alipokuwa kwenye Bunge la KatibaTulisha wahi kuwa na spika MWENYE AKILI MMOJA TUU nae ni MZEE WA SPEED NA VIWANGO aka SITTA. Wengine tuvumilie tuu muda wao upite
Namkumbuka sana huyu mzee,Tulisha wahi kuwa na spika MWENYE AKILI MMOJA TUU nae ni MZEE WA SPEED NA VIWANGO aka SITTA. Wengine tuvumilie tuu muda wao upite