Ndugai ni Spika asiye na sifa za kuwa spika
Sio siri tena kuwa bunge hili katika miaka hii mitatu tuu limepoteza heshima yake, kuaminika na limejaa migogoro ndani na nje kuliko mabunge yote yaliyo pita.
Tumeshuhudia kipindi hiki wabunge wengi wakitolewa nje Na kufungiwa kwa sababu za hivyo kabisa hivyo kuwanyima wananchi uwakilishi.
Haitoshi hayo, mbunge anashambuliwa akiwa kazini Spika anasimama upande wa wauaji kutaka mbunge afe kwa kumnyima stahili ya matibabu na kama sio kujitolea kwa wenye mapenzi mema basi lengo lake lingetimia.
Kuna aibu nyingi tuu, ndani ya bunge mbunge anatishiwa hajali huku mtu muhimu kama CAG anayumbishwa tofauti na katiba isemavyo.
Katiba na kanuni za Bunge viko wazi kuwa Spika akifedhhesha kiti na kuvunja maadili basi wabunge wanaweza kupiga kura ya kukosa imani naye.
JEE WAKATI UMEFIKA WACHUKUE HATUA KUMNG'OA KURUDISHA HESHIMA YA BUNGE?
Jee wabunge wa ccm wako radhi kuhimili aibu wakati wao kwa wingi wao wanaweza kumtoa huyo na kumweka mwingine wa chama chao? Au hakuna aliye bora zaidi ya Ndugai
Naunga mkono hoja, wabunge wote pasipo kujali itikadi zao wapige kura ya kutokua na imani na spika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Amebakiza Mwaka 1 anang'oka kuna mama ameshaandaliwa akumbuke yaliyomkuta Marehemu S. Sita
Sio siri tena kuwa bunge hili katika miaka hii mitatu tuu limepoteza heshima yake, kuaminika na limejaa migogoro ndani na nje kuliko mabunge yote yaliyo pita.
Tumeshuhudia kipindi hiki wabunge wengi wakitolewa nje Na kufungiwa kwa sababu za hivyo kabisa hivyo kuwanyima wananchi uwakilishi.
Haitoshi hayo, mbunge anashambuliwa akiwa kazini Spika anasimama upande wa wauaji kutaka mbunge afe kwa kumnyima stahili ya matibabu na kama sio kujitolea kwa wenye mapenzi mema basi lengo lake lingetimia.
Kuna aibu nyingi tuu, ndani ya bunge mbunge anatishiwa hajali huku mtu muhimu kama CAG anayumbishwa tofauti na katiba isemavyo.
Katiba na kanuni za Bunge viko wazi kuwa Spika akifedhhesha kiti na kuvunja maadili basi wabunge wanaweza kupiga kura ya kukosa imani naye.
JEE WAKATI UMEFIKA WACHUKUE HATUA KUMNG'OA KURUDISHA HESHIMA YA BUNGE?
Jee wabunge wa ccm wako radhi kuhimili aibu wakati wao kwa wingi wao wanaweza kumtoa huyo na kumweka mwingine wa chama chao? Au hakuna aliye bora zaidi ya Ndugai

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio siri tena kuwa bunge hili katika miaka hii mitatu tuu limepoteza heshima yake, kuaminika na limejaa migogoro ndani na nje kuliko mabunge yote yaliyo pita.
Tumeshuhudia kipindi hiki wabunge wengi wakitolewa nje Na kufungiwa kwa sababu za hivyo kabisa hivyo kuwanyima wananchi uwakilishi.
Haitoshi hayo, mbunge anashambuliwa akiwa kazini Spika anasimama upande wa wauaji kutaka mbunge afe kwa kumnyima stahili ya matibabu na kama sio kujitolea kwa wenye mapenzi mema basi lengo lake lingetimia.
Kuna aibu nyingi tuu, ndani ya bunge mbunge anatishiwa hajali huku mtu muhimu kama CAG anayumbishwa tofauti na katiba isemavyo.
Katiba na kanuni za Bunge viko wazi kuwa Spika akifedhhesha kiti na kuvunja maadili basi wabunge wanaweza kupiga kura ya kukosa imani naye.
JEE WAKATI UMEFIKA WACHUKUE HATUA KUMNG'OA KURUDISHA HESHIMA YA BUNGE?
Jee wabunge wa ccm wako radhi kuhimili aibu wakati wao kwa wingi wao wanaweza kumtoa huyo na kumweka mwingine wa chama chao? Au hakuna aliye bora zaidi ya Ndugai
Kama hamna imani na bunge, nawashauri msichukuwe na posho zake maana kwa mujibu wa lalama yenu sio fedha halali. Au?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugai ni lazima ang'olewe , kama si kwa nguvu ya umma basi atang'olewa na Mungu kwa njia ya kaburi , huyu siyo spika tena hana tofauti na Mwajuma Ndala ndefu wa Mbagala charambe
 
Job ndugai hana sifa zakuwa spika kabisaaa

Walau Mzee wa speed naviwango pamoja namapungufu yake makubwa lakini ilipobidi aliitikisa serikali

Marehem Mzee Samwel sita alikuwa a mapungufu yet ndugai kapyaya kuliko sindano ndani ya ndoo ya maji.
 
Wabunge wote wako salama - By Kazi Ndugai[emoji41]
 
Wamshukuru marehemu mhe. Samuel sita alilijengea bunge heshima na marupurupu/posho zilizotukuka.heshima imeanza kubomoka bado posho nazo zipo njiani ikifika hapo patakuwa patamu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom