Ndugai ni Spika asiye na sifa za kuwa spika
Ni Muda wa spika kupisha nafasi hii muhimu na aende akaandike kitabu cha kujisifia. Tushukuru Mungu huyu dikteta hajapewa wizara sijui tungekuwa wapi. Huyu ndiye spika alifanya kenyeli kwa wabunge kupigwa risasi, kufungia wabunge kichama, kutaka kufanya Bagamoyo china town na kuweka wabunge feki wa Chadema bungeni. Kama mtu ni spika tu anajipa nguvu hivi je angepewa nchi tungekuwa wapi? Amefika wakati wa kuwapangia wabunge kuongea nini wakiwa nje eti anajifanya anapenda na kuheshimu wanawake!!!. Tunamuomba angatuke kwa manufaa ya umma
Dhambi zote anazo yeye.
 
Ni Muda wa spika kupisha nafasi hii muhimu na aende akaandike kitabu cha kujisifia. Tushukuru Mungu huyu dikteta hajapewa wizara sijui tungekuwa wapi. Huyu ndiye spika alifanya kenyeli kwa wabunge kupigwa risasi, kufungia wabunge kichama, kutaka kufanya Bagamoyo china town na kuweka wabunge feki wa Chadema bungeni. Kama mtu ni spika tu anajipa nguvu hivi je angepewa nchi tungekuwa wapi? Amefika wakati wa kuwapangia wabunge kuongea nini wakiwa nje eti anajifanya anapenda na kuheshimu wanawake!!!. Tunamuomba angatuke kwa manufaa ya umma
Uko sawa kabisa, huyu ni dikteta hatari sana. Aliyeondoka alikuwa cha mtoto.
 
Huyu jamaa anakera sana. Kiburi chake kimevuka mipaka. Hajali tena katiba ya nchi. Amejipa mamlaka yasiyo yake. Havumiliki kabisa. Any way Mungu yupo anajua cha kufanya.
Bangi ( Bange ) uitumiayo sasa ya wapi?
 
Ni Muda wa spika kupisha nafasi hii muhimu na aende akaandike kitabu cha kujisifia. Tushukuru Mungu huyu dikteta hajapewa wizara sijui tungekuwa wapi. Huyu ndiye spika alifanya kenyeli kwa wabunge kupigwa risasi, kufungia wabunge kichama, kutaka kufanya Bagamoyo china town na kuweka wabunge feki wa Chadema bungeni. Kama mtu ni spika tu anajipa nguvu hivi je angepewa nchi tungekuwa wapi? Amefika wakati wa kuwapangia wabunge kuongea nini wakiwa nje eti anajifanya anapenda na kuheshimu wanawake!!!. Tunamuomba angatuke kwa manufaa ya umma

Nyie now mnazingua sana
Yan mtu asipofanya yale mnayotaka nyie basi ni dikteta,
 
Huyu jamaa anakera sana. Kiburi chake kimevuka mipaka. Hajali tena katiba ya nchi. Amejipa mamlaka yasiyo yake. Havumiliki kabisa. Any way Mungu yupo anajua cha kufanya.
Sauti ya MUZIKI au RADIO tunaisikia kupitia SPIKA skuizi kuna zile wanaita Subwoofer afu kuna tule tudogo wanaita tweeter

Kumbuka ADUI mkubwa wa SPIKA ya RADIO ni MAJI na MASIKA ndio hii sijui kama itaisha salama bila SPIKA kulowana na SPIKA ikilowa tu inakufa haisikiki tena
 
Back
Top Bottom