Yudatade Edesi Shayo
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 2,903
- 4,334
Ana muhudumia mke wenu bro oooh kesho atamtumia chupi na sidiriaHivi mzazi mwenzie na single mother yaani mkeo akimtumia Zawadi ya chakula mkeo imekaaje?
Yaani mfano unaishi Dar na mwanamke wako, mzazi mwenzie yuko Mbeya akamtumia mchele
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16] mambo yakuitwa anko wakati uwezekano wa kuitwa baba upo ni ujinga
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu bwenge anamaindi nikituma chochote kwa mwanangu wakati mwanae anakula vyangu hapaMawazo ya nn mkuu
Sababu gani?Huyu bwenge anamaindi nikituma chochote kwa mwanangu wakati mwanae anakula vyangu hapa
Nashindwa kumuacha sababu Nina sababu ya kushindwa kufanya hivyo hali inayonifanya niishi kwa mawazo sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Baba wa mwanae je? Anatuma chochote? Najua atakuwa anatuma ila mama yake hawezi kukuambia... Cha msingi ni hivi mkuu uwe unatuma kimya kimya kwanini umjulishe kwanzaHuyu bwenge anamaindi nikituma chochote kwa mwanangu wakati mwanae anakula vyangu hapa
Nashindwa kumuacha sababu Nina sababu ya kushindwa kufanya hivyo hali inayonifanya niishi kwa mawazo sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa mama Cariha, kati ya mwanamke na mwanauume ni yupi anashuka thamani mara tu baada ya kupata mtoto nje ya ndoa.Uzi wa wavulana wanao balehe ili wajione wavulana lazima wazalilishe wanawake. Kwa dunia ya Sasa watu wanazaa hovyo bila ndoa si wanawake Wala wanaume ni janga, Tena nyie wanaume kila mtaa na mtoto
Sent using Jamii Forums mobile app
Kulea mtoto wa mtu ni kazi sana ndugu yanguUtakuta upo nae...pengine dogo akazingua kidogo halafu wewe kama mzazi ukamgombeza dogo kidogo..utasikia kitoto kinali na kwenda kwa kama yake...mamy i want dady...shenzy kabisaaa
Pole sana ndugu yangu.Hii ni kwa wale tuliowahi kujilipua na kua na mahusiano na hawa wanawake wenye watoto tayari (single mothers).
[emoji23][emoji23][emoji23] aisee nikikumbuka nasikitika sanaaa!
Ok kwa upande wangu yule mwanamke niliyewahi kua nae alikua na mtoto mmoja, ila hizi kauli zake zilikua zinaniboa sana na nilikua namwambia aachane nazo maana ipo siku tutaachana kwa ajili ya kauli zake za kijinga kama zile maana nilikua najihisi kama nipo na MKE WA MTU.
kauli zake zilikua kama :-
1. Yaani we mtoto unaroho mbaya sijui umeitoa wapi, mbona baba yako ana roho nzuri tuu?!! (wakati anamgombeza mtoto wake hapo)
2. Yaani huyu mtoto wangu ana lips [emoji182] nzuri kama za babaake
3. Yaani unafanyia mimi hivyo?! Hata baba Corona tumeishi nae sana lakini hakuwahi kunifanyia hivyo?! (mkigombana tuu kidogo anamsifia baba wa mtoto wake)
4. Leo baby hivi viatu ulivyonunua vizuri hata baba Corona alikua navyo kama hivi ila vyake vilikua vipya kabisa alinunulia dukani!
Nikaona isiwe tabu, Ngoja nitafute ambae hajazaa.
Kama nawewe ulishawahi kuishi na single mother hembu shusha kauli hapo alizokua anazitoa lakini kwa upande wako ilikua anakukera sana!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumwambia mtoto wake mbele yako * mi ndio Baba mi ndio mama"Hii ni kwa wale tuliowahi kujilipua na kua na mahusiano na hawa wanawake wenye watoto tayari (single mothers).
[emoji23][emoji23][emoji23] aisee nikikumbuka nasikitika sanaaa!
Ok kwa upande wangu yule mwanamke niliyewahi kua nae alikua na mtoto mmoja, ila hizi kauli zake zilikua zinaniboa sana na nilikua namwambia aachane nazo maana ipo siku tutaachana kwa ajili ya kauli zake za kijinga kama zile maana nilikua najihisi kama nipo na MKE WA MTU.
kauli zake zilikua kama :-
1. Yaani we mtoto unaroho mbaya sijui umeitoa wapi, mbona baba yako ana roho nzuri tuu?!! (wakati anamgombeza mtoto wake hapo)
2. Yaani huyu mtoto wangu ana lips [emoji182] nzuri kama za babaake
3. Yaani unafanyia mimi hivyo?! Hata baba Corona tumeishi nae sana lakini hakuwahi kunifanyia hivyo?! (mkigombana tuu kidogo anamsifia baba wa mtoto wake)
4. Leo baby hivi viatu ulivyonunua vizuri hata baba Corona alikua navyo kama hivi ila vyake vilikua vipya kabisa alinunulia dukani!
Nikaona isiwe tabu, Ngoja nitafute ambae hajazaa.
Kama nawewe ulishawahi kuishi na single mother hembu shusha kauli hapo alizokua anazitoa lakini kwa upande wako ilikua anakukera sana!
Sent using Jamii Forums mobile app
got you ukiishi hivyo unakuwa huna stressUhuru ni hali ya kutokuishi na hofu katika jambo flani. Mfano" umempenda single mother ila huwezi kuwa nae sababu una hofu atagongwa na mzazi mwenzake.
Kwenye mapenzi Ukiwa huru, kugongewa haiwezi kuwa hofu kwako. Uwe una mpenzi bikra au mwenye watoto hutakaa ukiwaza kugongewa maana unajiamini na ikitokea utapima madhara na utajua nn cha kufanya kama ni kumuacha au la. Binadamu tupo tofauti na hofu zinatofautiana.
Mfano Ccm iliingiwa hofu na nwenendo wa kachero ikamtimua. Ni hofu tu si kingine, angeweza akaachwa na asiwe na madhara ila hofu ya kuleta madhara chamani ikasababisha atimuliwe.
hata kama so kama mama ake ni single mother na yeye aoe single mother?