Duke Tachez
JF-Expert Member
- Mar 28, 2018
- 5,461
- 4,138
ilikuaje mkaachana? ameshaolewa?Sio wote wapo hivyo, nlishawahi kuwa naye hakuwahi kumzungumzia baba wa mtoto kwa lolote lile liwe kizuri au kibaya, japo bado tuliachana
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekuelewa sana kaka mkubwa; transparency ni kitu cha msingi sana kwa wanandoa. Lakini nikupe hongera pia; how you handled that with maturity and wisdom; the good thing is you still maintained the peace of your family.God forbid. (Mungu na awape watoto wenu wa ndoa).I like this....Thank you.. my dearest sister....sio vyote we can share in publicity.......najitambua na ninaelewa ninachokifanya............all in all.....najua wataka kujua na kijifunza kitu........one day I found the secure docs za watoto wake..online.....she is very smart as am...labda ndio maana Mungu alitukutanisha nae......ambazo baba ya wale watoto aliwawekea........so soo....she remind me kufanya kwa watoto wangu....it click me in diff engo......japo mpaka leo hajui if I dig that...na siwezi ingilia her past...nadhani sir God alinistua.....while she told me hiyo issue, nilikuwa nimefanya long ago......I take it upside down.....lets open for all our kids,,,we got 4, ....1 cute daughter n 3 young boys.... we opening for all.........she didnt metion the backward secure.....so what dd think my friend.........she is my lover......one of my house.... I changed everything n put her name....yes we care each....we built our new dream home together.... each docs under our family name......nilifanya haya ili nione kama kuna siku atazitoa......sizihitaji just transparent only......by the way nikajua each and every woman, anayo ya kwakwe pekee, may be na wanawe..... maisha yanasonga tuko na furaha zaidi ya furaha....watoto wamekua......mmoja keshaanza kazi....mmoja chuo....mmoja seconday the last one primary.... yes wanangu wa assets nyingi in background.......... sijawahi wala kufikiri au kukariri.....huyu ni stepmother wa my kids......for sure...watoto wote wanajitambua ...... tumewaunga kwa Damu ya Yesu.......
[emoji16][emoji16]Mi wa kwangu alikuwa amesajili laini zake kwa kitambulisho cha kijeba kilichomzalisha so kila nikimtumia hela nahisi kama nakitumia hela hiki kijeba.. Nikaona isiwe kesi jikate kila mmoja ashike hamsini zake
Mkuu umetema nondo kama zotee, duuHahahaa huwa tunasema kila siku usifanye upuuzi wa kuoa single mother siku ikifika utajua hujui. You'll keep ignoring our teachings but the painful lessons will never be forgotten.
If your kid is not your girlfriend's first-born, chances are you are signing up for a long con and the relationship is not genuine. The thing I know about women, after they have their first child, any relationship and marriage after that is usually out of convenience/business.
In fact, most single mothers would never choose the weak guy they entrap if they did not have a child in the first place. After a series of pumps and dumps from the guys she admired, they realize that no reasonable guy would ever marry them with a bastard. So they do the next best thing, find a weak guy with the most resources and marry for the money/social status, not love. Smart on their part, dumb on the guy's part.
In this era, where women use the law to enslave men, marrying a single mother is the dumbest thing a man can do. Single mothers (almost all of them) marry primarily for resources/business.
That's why I advice guys to only marry childless women. It is not perfect and there are no guarantees, but the odds of being in a long con are acceptably low. Make sure you get a good deal. A childless and young woman (18-25). Anything less and the risks outweigh the rewards bigly.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] huko aliko ameshaolewa.alikuwa kafikisha 30?Mi wa kwangu alikuwa amesajili laini zake kwa kitambulisho cha kijeba kilichomzalisha so kila nikimtumia hela nahisi kama nakitumia hela hiki kijeba.. Nikaona isiwe kesi jikate kila mmoja ashike hamsini zake
vipi una ushahidi katika hili?Oa single maza Kama ex wake amekufa na kaburi umeliona na kupiga picha .... Kinyume na hapo umevamia kiwanja chenye mgogoro
Sent using Jamii Forums mobile app
hivi mzee ushaoa?Binafsi Bila Bikra siwezi muita Mwanamke Mke wangu. Sembuse Single Mother.
Wewe kama huna bikra hunifai kwa habari za ndoa labda kufanya uhuni.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] sababu gani za kiitifaki.Hizi ndoa zina matatizo sanaAmani itakuwepo endapo Aliyemzalisha hana time naye.
Amani itakuwepo endapo hampendi aliyemzalisha.
Amani itakuwepo endapo aliyemzalisha ni choka mbaya.
Amani itakuwepo endapo aliyemzalisha anaakili na hapendi kuvuruga mahusiano yenu.
Vingine unajidanganya.
Mimi nimemzisha binti mmoja kutoka kanda ya ziwa. Nikamtelekeza kwa sababu za kiitifaki. Yule mwanamke ameshapata mwanaume mwengine wanaishi wote.
Cha ajabu Mwanamke ndio ananipigia simu akitaka nimcharaze tena. Anasema Mimi ni mzazi mwenzake hivyo anahaki ya kuniomba huduma ya penzi.
Mimi nilishangaa. Nikamwambia sitathubutu kumharibia jamaa aliyekutunzia heshima kwa kufuata hisia zako. Tuligombana sana ati namkatalia kumtooomba.
Yeye ananiita mume wake. Huwezi amini ndoa ile ipo mikononi mwangu. Nikiamua kupasha napasha muda wowote.
Lakini nimekataa huu mwaka wa pili kwa sababu ya heshima yangu kwa mshkaji ambaye hata hivyo simjui.
Hivyo Mkuu, usidhani upo salama sana. Kuna ndoa zinaishi kwa hisani ya Wababa waliozalisha wanawake mliowaoa.
Pia siri zenu zote na mambo yote utakayomfanyia wao wanatuambia. Mfano ni huyu niliyemzalisha. Akiudhiwa kidogo mashtaka lazima ayalete kwangu.
Mimi ndio namtuliza na maneno ya faraja anapoa.
Usicheze na wanawake Boss.
Nitaanzisha Uzi kuwahusu hao single mother. Case study atakuwa niliyemzalisha akaolewa na mtu mwingine.
Hakuwa na imani na mm aliniona kama vile sina malengo naye, bado hajaolewa
Hii sio chai kweli? [emoji16][emoji16][emoji16]Kuna singo Mother mmoja alinitongoza yeye mwenyewe kipind nikiwa na mgogoro mzito na wife.
Wife nimempumzisha nmerudisha Kwao naishi singo.
Nkaona sio kesi, hebu nimkubalie tu nipate pa kupunguzia stress.
Siku ya Kwanza TU nmekula mzigo, kesho yk ananpigia sim mwanae kalazwa aghakan.
Nmefika TU, kanilengesha bill kwa wahudumu
"Baba Mtoto ndo uyu hapa keshafika"
Wahudumu wananikabidhi bill.
NKAONA SIO KESI, nkalipa yote tukaondoka.
Siku ya nyingine, nkala mzigo.
Kesho yake ananipigia
"ukitoka kazini naomba lift, Sina nauli nmemleta mwanangu shule"
Kufika tu eneo la shule, ananambia Mtoto anadaiwa ada na isipolipwa yote Mtoto anarudishwa nyumbn.
Nkamwabia wasiliana na baba ake, akasema hawez kumtafuta maana aliikataa mimba.
Nkasema isiwe kesi, NTACHANGIA NUSU YA ADA,ILIYOBAKI UTACHANGIA MAANA UWEZO UNAO.
Akakubali kishingo upande.
Nkalipa cash nusu Deni, kwa sharti Mtoto aendelee kusoma nyingine baadae.
Baada ya hapo akaanza sarakasi, kutoa mzgo ikaanza kua mbinde,
Vijimaneno vya hapa na pale vikaanza
"Siamini Kama unanipenda, wanao wanasoma shule za gharama ila mwanangu shule ya kawaida tu afu Ada unalipa pungufu"
NKAONA MPUUZI UYU, Fadhila ameifanya imekua wajibu.
NKAONA ISIWE KESI, nkamkatia kabisa Mawasiliano.
Alipoona Nmemkatia Mawasiliano, akaanza kujileta leta leta nyumban majiran wajue ndo natoka nae.
NKAONA ASINILETEE KIWINGU UYU, nkamrudisha Mama watoto kabisa nyumban.
NA NDO UKAWA MWISHO WA MCHEPUKO ULE.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii situation naishuhudia kwa room mate wangu, mume wake yupo Dar, mzazi mwenzie Arusha kila weekend Arusha tu, Dar mbaliAmani itakuwepo endapo Aliyemzalisha hana time naye.
Amani itakuwepo endapo hampendi aliyemzalisha.
Amani itakuwepo endapo aliyemzalisha ni choka mbaya.
Amani itakuwepo endapo aliyemzalisha anaakili na hapendi kuvuruga mahusiano yenu.
Vingine unajidanganya.
Mimi nimemzisha binti mmoja kutoka kanda ya ziwa. Nikamtelekeza kwa sababu za kiitifaki. Yule mwanamke ameshapata mwanaume mwengine wanaishi wote.
Cha ajabu Mwanamke ndio ananipigia simu akitaka nimcharaze tena. Anasema Mimi ni mzazi mwenzake hivyo anahaki ya kuniomba huduma ya penzi.
Mimi nilishangaa. Nikamwambia sitathubutu kumharibia jamaa aliyekutunzia heshima kwa kufuata hisia zako. Tuligombana sana ati namkatalia kumtooomba.
Yeye ananiita mume wake. Huwezi amini ndoa ile ipo mikononi mwangu. Nikiamua kupasha napasha muda wowote.
Lakini nimekataa huu mwaka wa pili kwa sababu ya heshima yangu kwa mshkaji ambaye hata hivyo simjui.
Hivyo Mkuu, usidhani upo salama sana. Kuna ndoa zinaishi kwa hisani ya Wababa waliozalisha wanawake mliowaoa.
Pia siri zenu zote na mambo yote utakayomfanyia wao wanatuambia. Mfano ni huyu niliyemzalisha. Akiudhiwa kidogo mashtaka lazima ayalete kwangu.
Mimi ndio namtuliza na maneno ya faraja anapoa.
Usicheze na wanawake Boss.
Nitaanzisha Uzi kuwahusu hao single mother. Case study atakuwa niliyemzalisha akaolewa na mtu mwingine.