Ndoa zina Siri nyingi wanaojua ukweli ni wao waliooana ila wa nje hawajui ko wanapendelea kutoa lawama bila kujua undani wake.Sababu za kutengana hazijulikani lakini kuna mtu tayari umeshamtwisha lawama
Sifa za mgombea ni yule alie single mother
Karibuni sana
Sambaza ujumbe kwa yeyote ulie karibu nae,asante
Je,atapita?
Muda wa kujibu swali lako la kejeli ni heri nikautumia kumpeti peti mume wangu,πππHivi nikikuoa na hayo ma school fees ya mwanao utanirundikia mimi au utalipa mwenyewe kwa pesa zako?
Muda wa kujibu swali lako la kejeli ni heri nikautumia kumpeti peti mume wangu,[emoji57][emoji57][emoji57]
Mil 3 kwa kila mtoto na wako watoto 3 na hiyo ni kwa mwaka una lingine!!Jitahidi sana kumpeti maana siyo wote wanaweza kulipia ma school fees ya watoto wa mabwana zako wengine
Ndugu mwanaume akiachwa au akisalitiwa inauma sana tena sana kuliko hata mwanamke,,Hakuna mwanaume atakaye kubali mke wake achukuliwe na mwanaume mwingine neverWapo wanawake wengi tu ambao wakati wanaolewa hawakuwa single mothers but still wanakimbia ndoa zao na kwenda kuishi na wanaume wengine!
Je, hapo napo utasema "Don't trust single mothers" au?!
Halafu hizi kelele za "ndoa hivi" "ndoa vile " "ndoa hivi "! "Mara ndoa vile"! Lakini stori nyingi ni za maumivu tu! Sasa how come hamkomi kuoa?! Mmeambiwa msipokuwa kwenye ndoa mtakufa, au?!
Halafu wanaume ndo wanaongoza kulia lia hapa JF wakati ndo hao hao walioshika mpini wa maamuzi kama ni kutaka kuoa au hapana!
There is so much judgement ya ma-single mother humu ndani sijui waliwakoseaga nini maskini ya Mungu... kama kweli au sio kweli kuhusu hizi tabia zao mkumbuke some of u ndo mmewazalisha wadada wa watu bila ndoa na mkawaacha... hawa ni mama wa watoto wenu despite it all wao bado ni binadam na hawajakamilika. Sidhani kuna mtu anaamuaga tu kua single mother ni circumstances hutokea na naamini kila mwanamke angetamani mwanae alelewe na mapenzi ya both parents ila ndo hivyo. Hizi tabia zao nyingine (kama ni za kweli) ni kwasababu ya frustrations za failed relationships na majukumu ya watoto sometimes tujaribuni kuvaa viatu vyao...
Mi bado hata sijaona tatizo lipo wapi?Nina mjomba wangu anaishi Kimara tunavyozungumza hivi sasa amekimbiwa na mkewe pamoja na familia na sasa hivi mkewe anaishi mkewe kigamboni na mwanaume wa zamani ambae story chini ya kapeti tunazozisikia
Huyu mjomba wangu amebahatika kuzaa watoto wawili wa huyu mama lakini huyu mama kabla ya ndoa alimkuta na mtoto mmoja ambae hakuzaa nae Alizaa na mwanaume mwingine lakini mjomba licha ya Kumkuta na mtoto alimpenda hivyo hivyo na ndoa wakafunga maisha yao yote waliishi pamoja lakini mwisho wametengana siku za hivi KARIBUNI
Na chanzo cha kutengana Kwao hakijajulikana ila mjomba amekuwa akilalamika tangu ayumbe kiuchumi mkewe amekuwa hamuelewi elewi lakini finally wameachana mkewe saivi anaishi sehemu nyungine na mwanaume mwingine ambaye inasemekana ni mwanaume wake wa mwanzo
Si dhambi kuoa Single mother, Si dhambi kabisa, ila ni fedheha kukimbilia Single mother na kuacha Vigori wenzako bila kujua A, B, C in intense research, Kuoa Single mother ni sawa na kununua Nyumba iliyokuwa inakaliwa na mtu mwingine lazima ujue sababu za kuinunua na sababu za aliyeiuza. Ila jitahidi kutokupenda vitu used vina gharama zake kama hukagui vizuri kwa matumizi yako.Nina mjomba wangu anaishi Kimara tunavyozungumza hivi sasa amekimbiwa na mkewe pamoja na familia na sasa hivi mkewe anaishi mkewe kigamboni na mwanaume wa zamani ambae story chini ya kapeti tunazozisikia
Huyu mjomba wangu amebahatika kuzaa watoto wawili wa huyu mama lakini huyu mama kabla ya ndoa alimkuta na mtoto mmoja ambae hakuzaa nae Alizaa na mwanaume mwingine lakini mjomba licha ya Kumkuta na mtoto alimpenda hivyo hivyo na ndoa wakafunga maisha yao yote waliishi pamoja lakini mwisho wametengana siku za hivi KARIBUNI
Na chanzo cha kutengana Kwao hakijajulikana ila mjomba amekuwa akilalamika tangu ayumbe kiuchumi mkewe amekuwa hamuelewi elewi lakini finally wameachana mkewe saivi anaishi sehemu nyungine na mwanaume mwingine ambaye inasemekana ni mwanaume wake wa mwanzo
Aisee πSiku zote SINGO maza niwatafuta maisha,usizan anaweza penda
Sindio utadhani waliambiwa kuwa wasipooa watakufa π π πWapo wanawake wengi tu ambao wakati wanaolewa hawakuwa single mothers but still wanakimbia ndoa zao na kwenda kuishi na wanaume wengine!
Je, hapo napo utasema "Don't trust single mothers" au?!
Halafu hizi kelele za "ndoa hivi" "ndoa vile " "ndoa hivi "! "Mara ndoa vile"! Lakini stori nyingi ni za maumivu tu! Sasa how come hamkomi kuoa?! Mmeambiwa msipokuwa kwenye ndoa mtakufa, au?!
Halafu wanaume ndo wanaongoza kulia lia hapa JF wakati ndo hao hao walioshika mpini wa maamuzi kama ni kutaka kuoa au hapana!
Hahaha πSi kweli. Tatizo kubwa sana siki hizi wanaume wengi wana kipato kidogo na wameishiwa na ubunifu wa kukuza vipato vyao.
Masingo maza wako desperate, wakikuona boyaboya wanakuwowa kuondoa upweke