Kmmk 😂
 
Mil 3 kwa kila mtoto na wako watoto 3 na hiyo ni kwa mwaka una lingine!!

ukiwa kapuku usifikiri wote wako hivyo

Kuwa kapuku na kuwa zoba ni vitu tofauti. Kugharamia fees za watoto wa mabwana wenzako huo ni uzoba.
 
Sina ukapuku wowote nna gari benzi ila kulipa fees za watoto wa mabwana zako sitaki. Tena ukiniambia hizo java unaondoka kwendraaa
Mwenzio ana Range Tena sio moja, we Ni kapuku uliyechangamka usinipotezee muda
 
Yaani mkuu umeandika hivi halafu hamna hata aliyekupa like??!!!..WanaJF hawaeleweki kabisa.

Kidding..
 
siku ikitokea naoa ntaenda kuoa Kijijini mtoto mdogo bikra wa miaka 15 maana sheria inaruhusu na pesa nazo za kutosha.natoa na mahari kiroho safi kabisa tena yote sibakizi hata sh.100
 
Kiukweli nimefarijika sana, kama mnakumbuka kuna uzi nilisha uleta humu wa kutafuta mtu wa kumuoa moja ya Toleo langu la single maza....aider Mungu mkubwa kuna jamaa kajitokeza kaposa tayari na kumvisha pete ya uchumba. Ambacho ndio kilikua kilio changu kuona wale wanawake nilio date nao wale wanao jielewa waolewe kwani nilikua najisikia vibaya kuwaona umri unasonga tu bila kuheshimishwa.

Ila jambo linalo nikera hawa single mom wangu nilijipinda nika wawezesha na wapo vizuri kiuchumi. Ila haka kajamaa naona kama kametelezea ganda la ndizi maana kamepitwa kiuchumi na my single mom , so hichi kitu kinanipa headache.

Ila nimeamua kuvumilia tu ,naamin ipo siku nitazoea na itakua kawaida.

Asante
 
Ukichunguza sana unaweza kukuta single mom wako ndo kajiweka kwa jamaa na hata mahari atajitolea mwenyewe. Fuatilia kimya kimya ukipata jibu ukiona kuna umuhimu wa kushea uje. Usichezee mademu wa siku hizi na ndoa. Tehe tehe tehe
 
Pole sana. Ndo maisha, kinachofata ataanza kunawiri halafu unaweza ukamtamani. Usisahau tu kuwa mke wa mtu sumu....
 
Acha kukaonea wivu kajamaa kanavyoteleza kwenye ganda la ndizi😂😂😂
 
La! La! La! La!

Ila wakiwa nyuma ya keyboard kwa wingi wao utasikia ndoa kitu gani.
Ukichunguza sana unaweza kukuta single mom wako ndo kajiweka kwa jamaa na hata mahari atajitolea mwenyewe. Fuatilia kimya kimya ukipata jibu ukiona kuna umuhimu wa kushea uje. Usichezee mademu wa siku hizi na ndoa. Tehe tehe tehe
 
Ukichunguza sana unaweza kukuta single mom wako ndo kajiweka kwa jamaa na hata mahari atajitolea mwenyewe. Fuatilia kimya kimya ukipata jibu ukiona kuna umuhimu wa kushea uje. Usichezee mademu wa siku hizi na ndoa. Tehe tehe tehe
Hii itakua kweli maan kajamaa ni fresh graduate na hata graduu hajafanya bado .

Ila ndio ishakua tutafanyaje sasa
 
Pole sana. Ndo maisha, kinachofata ataanza kunawiri halafu unaweza ukamtamani. Usisahau tu kuwa mke wa mtu sumu....
Hahaha sidhani kama kuna kunawili zaidi ya hapa maana nilisha mtengenezea mazingira ya kumiliki biashara zake na yupo vizuri si unajua tena mwanamke akiweza kula,kubadirisha nguo na nywele Kwake maisha ndio yameishia hapo hahahaa labda kajamaa kamchakaze
 
Duh, bado siku saba tu, hakikisha kura zote ni kwa CCM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…