Hahahhah sijui hawa wanaume wa kuwajibu hivi wanawapataga wapiNi sawa, nilikuwa nazungumzia kwa upande mwingine. Mke hadi afikie hatua ya kukutamkia maneno kama hayo ujue wewe mume ni dhaifu sana.
Hivi naanzaje kwa mfano? Mimi huyu huyu nimtamkie huyu mwamba wangu maneno kama hayo?[emoji848] Hata in my dreams nashindwa kufikiria nini kitatokea. Kimoyomoyo may be..
Wazazi wa sasa wengi huo mda wananao bas!? Mtoto siku nzima anashinda na dada wa kaz wazazi anaonana nao usiku tu tena wengne anawasikia asubuhi wakiwa wanaenda kaznKuwafundisha watoto kuwa ngangari ndio lazima. Mie mwanangu sitaki awe legelege.
Ilo neno la apo juu lina tosha kumfungashia vitu vyake aka liwe vizuri uko uko
Mkuu endelea kujiandaa kisaikolojia huko uliko.Dah pole mi mwenye na single mama hazingui Kama wako
Sio kuwa legelege hapa haihitaji nguvu,ni maamuzi magumu tu tuachane...kila mtu afanye ya kwakeKuwafundisha watoto kuwa ngangari ndio lazima. Mie mwanangu sitaki awe legelege.
DEMOKRASIA KWENYE KUSIMAMIA WELBEING YA NDOA YANGU KAMA MUME SIITAKI KABISA...UnaweZa ukamtingisha mwanaume kweli kabisa hasa ukijua anakupenda...ila ukifika hatua ya kumwambia Kwani nikifanya Mara Moja na jirani ...inaisha.
Huyo mwanaume umemuona fala kabisa yaani NIWAKUTEMEA mate usoni..akalia
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Umepotea msweetie, yes hiyo ni kote kote una applyThe vise versa is True Indeed.
Jeuri za ajabu sana hiziNinauwakika uyo ex wake atakua anakula SUMAKU tu
Haya niandikie basi mimi barua nikufuge ufugike mtoto mzuriHuyu nikiamuandikia barua ya uchumba..atasema naogopa mke Wangu atanipiga
Mnavyoteteana sasaHapo huyo mwanamke mnamuonea tu, hana mwanaume.
Hoja yako naona miya miya tu kudadadeki[emoji120][emoji120]Sasa mbona hata mkiolewa hamuachi tabia mbovu za kupigwa bolo na ma EX wenu.
Wale wale angesema kamtembeze kichapo kwa kosa hilo ungekuwa wakwanza kumshutumu mkatiri inatakiwa mkafanyiwe maombi wadadaMkuu..shida Sio single mother, shida Ni Huyu mwanaume... Mwanamke unatoa wapi UJASIRi wakumwambia mwanaume...naenda KUTOMBWA tu Mara mojaa...nikimpa haiishi....Inamaana Huyu mwanaume Ni dhaifu Tena udhaifu uliopitiliza
Yaani ww mke wako anakwambia nampa mara moja ananisumbua? Kaka ningetoa kipigo.. fungasha.. narudisha kwao.Hivi unaweza kushea penzi kwa mke wako na lijamaa lingine? "nampa tu mara moja ananisumbua sana"
"Kwani nikimpa inaisha?" Hayo ni baadhi tu ya maneno ya mke wangu sasa ivi imekuwa ugomvi tu, hivi ukigundua mke wako amenyanduliwa na mtu wake wa zamani, unaweza kuishi naye kama hakujatokea kitu chochote?
Huyu kupiga hawezi, kuongea hawezi na kumfukuza hawezi..Wale wale angesema kamtembeze kichapo kwa kosa hilo ungekuwa wakwanza kumshutumu mkatiri inatakiwa mkafanyiwe maombi wadadaView attachment 1629825
mkuu umenichekesha sana by the way nileteeeni gwajima nileteeeni gwajimaaaKusikia Kwa Kenge Mpaka Atoke Damu Puani Na Masikioni
ππππ πππππππ πππππ
Kishindo Cha Awamu Ya Tano
Nasema Uongo Ndugu Zangu!!!!