Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa
Una muda sana aisee.....

Na kwa vile huyu mmoja yuko hivi, ina maana single parents wote wako hivyo? Ninaye rafiki yangu kaoa single parent tena wa watoto wawili wote na baba tofauti lakini ndiyo role model wangu wa ndoa yenye furaha, amani na maelewano. Ni power couple moja matata sana!

Umalaya ni tabia ya mtu na sidhani kama kuna causal relationship kati ya kuwa single parent na umalaya. Wewe oa ambaye siyo single parent lakini kama ni kuchapiwa utachapiwa tu!
 
Ukweli ndo huo mzee

Mwanamke ukisha zaa nae, hata ni wewe huwezi kumuacha. Kuna muda mna misiana.

Yaani kwa mtindo huu acha single mother wapambane tuu na hali zao.

Labda bwana awe keshapigwa chepe (danjaring)
Wewe ni mwanaume wa ukweli!
Naona wengi humu ni feminist na maparody tu[emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajua watu hawaelewi kitu kimoja.

Mwanamke anaweza kuwa na msimamo sana na ndoa yake.. Lakini mara nyingi msimamo unakuja unavunjika kwa x wake na hasa wakiwa wamesha zaa.

Yaani ni kama mbwa kwa chatu anakua lainiiiiii....

Kikubwa maombi tu wazee.

Usiwaze sana kuchapiwa hautokaa ufanye kazi
 
kipendacho roho hula nyama mbichi, umalaya ni hulka tu. we fall in love by chance, we stay in love by choice.............NIULIZE KWANINI NIME BOLD HAYO MAANDISHI NTAKUPA JIBU.
 
Back
Top Bottom