Nikitongoza hua nauliza kwanza unamtoto akisema ndio hata kama ni mzur vipi napiga chini sipendi ujinga mm
Unakosea! Inatakiwa umuulize pia kama baba mtoto yupo hai na kama wanawasiliana kwenye malezi ya mtoto. Unaweza kuwakimbia bure ukakosa vitamu
 

Na wapunguze tamaa!
 
Fafanua point mojamoja kama alivyoeleza hapo juu mtoa mada ili kusupport maelezo yako,otherwise utakuwa unapinga kwa kuhisi tu...

Mimi nimeogelea kwa ujumla wake, na nikiwa nina uzoefu wa kutosha tu katika maisha. Na hizo hoja alizotoa hapo juu, siyo lazima zitokee kwa kila mwanamke mwenye mtoto! Unaweza ukaoa mwanamke ambaye hana mtoto, lakini akawa na jamaa yake aliyempenda sana! Vipi hawezi kukudanganya?

Mwanamke wa maisha huwa anapatikana kwa mapenzi tu ya Mungu. Unaweza ukao single mother, na ukaishi maisha mazuri sana kuliko hata ya yule aliyeoa bikra! Na huu ndiyo ukweli mchungu.

Kinacho tusumbua wanaume ni wivu tu na kuto kujiamini! Hakuna kingine. Sisi tukifanya, huwa tunaona ni sawa tu. Akifanya mwanamke, tunajisikia maumivu mpaka kwenye mifupa.
 
huyo mwanaume anae enjoy life na single mother kwa asilimia kubwa ameshaliona kaburi la mtanguliz wke!!!

Kinyume chake ni shda kubwa
 
Kaka umeongea point sana
Ila pia unaweza kua umekosea
Yaan kifupi yote yanawezekana
Maisha ya mapenzi ni kiza tupu!
 
Sawa umemuoa, siku akikuomba kwenda kukutana na mzazi nwenzake ili kupanga maendeleo ya mtoto utamnyima? Hilo ni tatizo la kunywa soda iliyofinguliwa ila kizibo kimeegeshwa tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio singo mothers wote wana wenza, wengine baba wa watoto wameshatangulia mbele za haki.

Wengine wametelekezwa n.k
 
Agreed 100+
 
Sawa tatizo tabia zao wengi zinawahukumu.
 
Nahisi utakuwa bado mtoto wewe
 
Kama wote mmemwamini Yesu Kristo na Kuokolewa mbona ndoa yenu inakuwa nzuri tu?
Ili mradi tu ndoa yenu iwe imekidhi Viwango vya Mungu!
Kama Single mother ana hofu ya Mungu hawezi kukusaliti eti kwa kurudia mahusiano yake upya na huyo aliye zaa naye.Unachotakiwa Mwanamme ni kujali mtoto wake maana HUWEZI KUMTENGA MAMA NA MWANA! ni Vigumu kabisa.
Otherwise Single moms wakiwa kwenye ndoa wanatulia kabisa kwa sababu ya mikiki waliyopitia kwa wale waliowazalisha na kuwatelekeza!
 
Point kubwa sana umeongea. Single mothers ambao hawawapi stress waume zao ni wale WALIOWAACHA mabwana zao waliowazalisha Tena kwa hila. Sio hawa waliopigwa mimba na masela wanyoa viduku halafu kutokana na ugumu wa life na kushindwa malezi ya mtoto njemba ikakimbia wkt dem bado ana real love na jamaa. Amini nakuambia msela pamoja na ujinga alioufanya kumtelekeza na mimba akirudi mapenzi yataanza upya tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wala hujafanya kosa...yaani mwanamke umezalishwa umeachwa unashikaje mimba tena wakati hujaolewa. Huyo ni mjinga wakutuowa hafai kabisa kuoa. Umefanya maamuzi sahihi kumbwaga
 
Vipi kama single mama anampunga wa kutosha?
 
Inategemea ukikutana na mwanamke anayejielewa...life is good...kikubwa no mipangilio yenu..na mwisho since mwanzo wa mahusiano yenu mliweka miiko gani
 

Wewe hujawajua wanwake tena kaa utulie bwana mdg mpk hapo utakapopata hata demu mmoja ndo uje kuchangia.


Mwanamke kila tendo unalofanya kwa mapenzi yako ujue hilo ndo alitumia kukudharau na kukukera nalo.

Mnunulie gari leo mkeo halafu mwambie hili gari ni lako hlf mfungulie biashara mwambie hii ni yako sasa lile gari usilitumie hata mwaka hivi halafu siku muombe ulitumie mfululizo km week hivi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hapo ndo utajua funza zilizojaa kichwani kwa hawa wenzetu utashangaa anaanza kuchukia unavyotumia gari lake.

Subiri biashara ikue na kadri inavyokuwa biashara uliyomfungiankwa hela zako ndo jinsi unavyozidi kudharauliwa be careful sana na mwanamke.Matendo unayofanya kwa upendo mara nyingi ndo yanakugharimu

Mwanamke anatabia ya kujishusha thamani kupata anachokitaka akishakipata anajipandisha tena.

Tunaposema usioe single mom tunamaanisha unaoa mwanamke ambaye moyoni keshajishusha thamani yeye mwenyewe ht km nje ata act strong na ana chuki na wanaume sasa ukishaoa tu na kumpenda tena anaanza kujiona ana thamani tena hapo anajipandisha tena thamani hlf anaanza kutafuta wa thamani yake.

Mchezo wote huu unatokea kichwani kwake bila wewe kujua nadhani hii inafafanua kwanini mwanamke ukimpenda sana anaanza kukudharau uwaga wanahisi km huyu ananipenda hivi basi nitakuwa na thamani sana[emoji1][emoji1].Ni wajinga hawa watu ndo mana Mungu kasema ishi nao kwa akili maana haiwezekani wajinga wawili wakae nyumba moja sasa mwanamke tyr ni mjinga by nature basi apatikane mwenye akili ambaye ndo wewe sasa mwanaume ili umuongoze.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…