Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa
Habari wakubwa!

Niliwaambia msiwaoe single mother Ila sikuwaambia msiwapende, wapendeni na ikiwezekana wahudumieni Kama mtaweza lakini sio kuwaoa. Kumuoa single mother ni kutangaza kuwa hujielewi, umechanganyikiwa na kujidharau. Muoe single mother ikiwa umri wako umeenda, yaani ukiwa na miaka kuanzia 50 huko lakini kijana Mdogo kukimbilia mikosi ni kuonyesha hujaelewa vyema na hujafunzwa Mila.

Mahusiano na single mother yawe long distance relationship, kila mtu aishi kwake.

Ili umfurahie single mother Kama utaamua kumuoa utakubidi ufanye mambo haya;

1. Itakubidi umpende yeye mwenyewe
2. Itakulazimu umpende Mtoto wake kama unavyopenda wakwako, ukishindwa hili umekwisha,

3. Itakubidi umpende mzazi mwenza. Yaani ukubali Ume wenza.
Kamwe usimseme vibaya mwanaume aliyemzalisha hata Kama hawajibiki, kwani kumsema mzazi mwenza ni kumsema Baba WA mtoto uliyemkuta naye.

4. Nyumba yako utakuwa inamihimili miwili inayoongoza familia yako. Kuna mhimili uliojichimbia zaidi ambao anaweza kuwa huyo mume mwenza au wewe. Ila kila mmoja ni Mtawala.

Mkeo anaweza kukukatalia Jambo Fulani kumbe ni Oda kutoka mhimili mwingine.

5. Lazima ukubali ku-share bajeti na kipato chako na huyo mume mwenza.
Aidha akulishe wewe au umlishe yeye. Au mkae meza ya maridhiano muwekeane bajeti.

Huwezi MPA adhabu Mkeo ya kibajeti, Kwa mfano Kama Mkeo hutaki anunue nguo Fulani za Sare Kwa lengo la kumuadhibu Kwa kosa Fulani alilolifanya, basi usishangae akapewa pesa hiyo na mume mwenza


6. Lazima ukubali Siri zako zinafahamika upande wa pili.
Single mother wengi Kama sio wote hutoa Siri za waume ZAO wanaoishi pamoja Kwa ma-ex wao.
Probability ya Siri zako kutoka ni ndogo mno. Na hii itategemea na mshikaji Kama Hana mpango naye. Lakini kama anampango naye au anamtamani bado ujue umekwisha.


7. Lazima ukubali kupata ukakasi wakati unamuadhibu mtoto wake(wa mwanaume mwenzako). Jiandae kutokuwa huru na Nyumba yako mwenyewe.
Huwezi kutenda lolote Kama Baba WA Familia Kwa kuhofia kuwa huyo sio mtoto wako.

Asije akakudanganya mtu kuwa utaadhibu Kwa haki, nature ilivyo ni kuwa kumuadhibu mtoto asiyewako(wa mwanaume mwingine au WA mwanamke mwingine) ni KAZI kubwa mno.

8. Lazima ukubali Mkeo(single mother) uliyemuoa kulinda haki za Baba WA mtoto wake pindi zinapoingiliwa.
Kama wewe haki zako atakavyozilinda Kama Baba watoto wake ndivyo atakavyolinda haki za mume mwenza. Usije ukajidanganya hata kidogo.

Wanawake katika hili wapo Sirius na ni nature yao, iko hivyo.

Mwanamke anajua kupigania haki za mzazi mwenzake ni kupigania haki za mtoto wake(mtoto wako WA kambo).

Mfano ipo Kwa kina Muna Love Vs Castro Dickson Kwa mtoto wao Marehemu Patrick.

Mkeo hatakuonea huruma ambayo huistahili Kwa kisingizio unamlea mtoto huyo au Wewe ni mume wake wa sasa.

Wanawake wanachojali ni Kutoa haki za kihisia Kwa watoto wao na Baba zao.

Je utaweza?
Fikiria kabla ya kutenda, usilete utoto kwenye ishu Sirius.
Ushamba wa wanawake usije ukagharimu maisha yako.

Kama na watu wazima wakushauri ukiona umezidiwa kihisia.

Sana zaidi muulize Mama yako yupo tayari alafu yeye atakueleza hali ilivyo, yeye ndiye kakuzaa, ndiye mwenye uchungu na wewe kuliko yeyote.

Mama ako akikubali uoe single mother, OA.
 
Kwamba alizaa hao watoto akiwa ndani ya ndoa au alikuja nao?
 
Kwenye mtoto hapo kumuadhibu ni kazi kweli kweli sijui wanawezaje asee, ikiwa nimeshuhudia ndugu wa damu toka ni toke mtu na dada yake mdogo mtu anamrushie maneno dada yake mabaya kwamba zaa wako sijui nini kisa alimchapa mwanae sababu alimfonya dada mtu ikawa nongwa hivi ndo mtoto wa mwanamme Mwingine inakuwaje??
 
Kwenye mtoto hapo kumuadhibu ni kazi kweli kweli sijui wanawezaje asee, ikiwa nimeshuhudia ndugu wa damu toka ni toke mtu na dada yake mdogo mtu anamrushie maneno dada yake mabaya kwamba zaa wako sijui nini kisa alimchapa mwanae sababu alimfonya dada mtu ikawa nongwa hivi ndo mtoto wa mwanamme Mwingine inakuwaje??
Nikumuacha tu atajijua mwenywe chamuimu ni kuwa ongoza watoto wa kuzaa mwenyewe tu huyo mwingine atafunzwa na Baba yke au dunia
 
Baada ya wiki kutomuona shemeji yetu hapa jirani ilibidi kuhoji jirani yetu. Akafunguka wazi kuwa amemtimua maana ana watoto wanne aliozaa huko nje na sababu maisha ni magumu hawezi kuhudumia watoto wa mwanaume mwingine.

Maisha yamekuwa magumu sana jamani. Yaani watoto wa mkeo wanakuwa mzigo?
Yah watoto wa mkeo wanaweza kuwa mzigo uliotengenezewa uku aliye kutengenezea yeye akila bata
 
Baada ya wiki kutomuona shemeji yetu hapa jirani ilibidi kuhoji jirani yetu. Akafunguka wazi kuwa amemtimua maana ana watoto wanne aliozaa huko nje na sababu maisha ni magumu hawezi kuhudumia watoto wa mwanaume mwingine.

Maisha yamekuwa magumu sana jamani. Yaani watoto wa mkeo wanakuwa mzigo?
Hata kama mimi kavyatuliwa Matofali ma4
Nije nisumbuke mimi bora m1 nitamfanya mwanangu
 
Ila mmewaandama sana Singlemother nahisi hata wakiona hizi nyuzi wanajilaumu sana
Kuwa na watoto ni baraka mkuu.

Na hakuna mwanamke anayejipa ujauzito mwenyewe.

Ukishaona namna baadhi ya wanawake wanahangaika na changamoto ya kupata ujauzito, basi hapo single mom yeyote ataona namna Mungu alivyombariki.

Ni mwanamke ambaye anatarajia maisha yake yaendeshwe na mwanaume ndio atajilaumu why yeye ni single mom. Otherwise mwanamke anayejitambua atawekeza nguvu kujijenga kiuchumi na kuwalea watoto wake.

Kama ambavyo kuna wanaume wanahitaji wanawake mabikra, wasio na watoto vivyo hivyo kuna wanaume wanaohitaji wanawake ambao wameshazaa.

Mimi nashauri wanawake wenye watoto wakae mbali na mahusiano hadi pale atokee mtu sahihi.

Wawe busy kulea watoto wao.

Wanawake jipongeze unawatoto hai aiseee, kuna watu wanaonekana hawana watoto ila ni mama wa watoto marehemu kumi
 
FB_IMG_16440655841340595.jpg

asili yenu ni hiyo👆
 
Back
Top Bottom