Duh! Single mother wanapewa vitasa tu leo...
 
Kuna baadhi ua wanawake hawajielewi tuh!hiyo inakuwa system yao ya maisha ya kuja kuwa single mother!
Wengi wao hawa jielewi Una zaa na mzee mwenye familia yake Sawa na mzaz tena nje ya ndoa wakitegemea watapata matunzo na urithi wa Mali kupende nitofauti mwishoe wana bakia kukimbiwa na kutelekezewa mtoto mzee wa miaka 68 ana mzalisha binti wa 24 kwa akili ya kawaida Mzee kama huyo lazma atakuwa na watoto wengi ndan ya ndoa na nje ya ndoa na hawezi kupata muda wa kutoa Huduma kwa watoto wote wa nje ya ndoa
 
#Jokajeusi kwann unaalazimisha kutuaminisha single mother wanakua na mahusiano ama ukaribu ama any connection na mwanaume walio zaa nao!!!?? Mbona huku mtaani haiko hivyo Kila mara...mbana wako ambao tena majority hawana maelewano mazuri na watu waliozaa nao tena wengine hata kupotezana kabisa. Wengi wanaume hawahudumii watoto wao wala hao wanawake waliozaa nao, wengi hawana mpango wa ukaribu wowote binafsi zaidi labda kwa ajiri ya mtoto tena hii itokee huyo mwanaume anajali mwanae, wengi ya hawa wanaume wakiona mzazi mwenzie kapata mwanaume basi hukata kamba mazima na kumuachia huyu mwanaume majukumu ya kulea.

Habari ya kutaka watu wasioe single mother ni kuonyesha weakness kama mwanaume, huo sio uwanaume... single mother ni binadamu kama binadamu mwingine, usitake kuwa label hawa watu eti wako hivi sijie vile NO! Don't do that mkuu... Single mother kama binadamu na wao wako na hulka tofauti na wanakosea kama binadamu wengine kama imetokea uliekua nae kakutenda basi usitake kuwaandama wengine...
 
Kwani kupigana mashine lazima . Unaweza ugulia tu na kuwa serious na mahusino upate wa kupeana nae mzigo kiuhalali kukwepa mimba haramu.
Mkuu hapo kwenye kuwa serious ndiyo tatizo, vidume tunajua sana kuigiza u-serious na tunawaingiza chaka watoto wa watu.
 
Na vipi kwa wale wanawake ambao huwa wanaomba wenyewe kuzalishwa ili hali mwanaume huna mapango naye?,Vipi kwa wanawake ambao huwa wanategeshea ili uwatie mimba ili hali anajua fika kuwa huna mpango naye?.Haya mambo wee acha tu.
 
Licha ya ukweli katika andiko lako lakini nimefurahi zaidi jinsi ulivyochambua mada kwa hoja. Uandishi wa kujenga hoja iwe positive au negative ni mzuri kuliko ule wa kuunga au kupinga jambo kishabiki.
 
Unachozungumzia wewe ni siasa na hilo ndio kosa kubwa wanaume hasa wa mijini wanafanya kwa kuingiza siasa katika masuala ya ndoa . Unapotaka kuoa unatafuta mwanamke mwenye sifa za kuwa mke basi hayo mengine ya kulaumu kuwa wanaume ndio chanzo hayakuhusu.
 
Siku mzazi mwenzie akimpigia simu mkeo saa 7 usiku na upo kifuani akitaka kujua maendeleo ya mwanae anayesumbuliwa na homa ndo utawajua single mother wewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…