Amekuwa "single mother" kwa kutenda dhambi!
 
Kikao tulikubaliana hakuna kuoa singl mother kwa nn huyo kiruu kaoa
 
Hizi mada za Single Mother zilitulia naona sasa zimeanza tena upya, Single Mother ni binadamu kama binadamu wengine acheni kuwaandama ili hali chanzo cha Single Mother ni Wanaume.
Chanzo ni tamaa tu unakuta msichana hana shughuli ya uwakika yakumuingizia kipatato alafu ana zaa nje ya ndoa kwakuona mpenzi wake ana kaz nzuri au biashara kubwa akisha zaanae Ili apate uwakika wakupata pesa na kuolewa
 
Vijana wengi Wanakurupukq Sana Kwenye Kuoa.
 
We maisha Hujayajua. Toka Lini Mtu akaja Kukusimulia Tabu anazopata. Hao unaosema wanapata Raha na Single mother labda Huyo single mother Bado ana mtoto mdogo ngojawa Wakue vizuri utajua Hujui
 
Ukibakwa unahalali ya kuitoa!!!!!! Hiyo inaruhusiwa acha kutetea upuuzi
 
Tangu Jana na Leo naona mada za single mother humu...halafu some guys wamewaandama hatari.
Sikieni wadau kama unajiona huwezi kuoa single mother we tulia lakin sio kuja kukatisha tamaa wenzio au kulalamika humu ndani kwa vitu ambavyo single mother wengine wafanye Kisha useme wote.

Kuna akina single mother ambao ni werevu, wanye upendo, waaminifu, waliojitolea na kuishi maisha na ya upendo na kumthamini mume ambae sio aliezaa nae and are trying their best to live a full life na hao step-dad. Pia wana confident with their bodies na wako deep into their hearts because they went through a personal growth na experience flan ya maisha katika mahusiano. Sio kama atadai lazima kwanza uhudumie mtoto wake ndo akupende; single mothers anaejielewa won't ask you to jump into fatherhood immediately kwasabab kumbuka kwamba yeye ni zaidi ya mama, yeye ni mlezi, muhudumiaje na mpiganaji kwa mwanae. So anahitaji mwenzi wakua nae katika maishani yake, sio tu baba wakuhudumia mtoto wake.

Usifikiri pesa ama kumpenda mwanae tu ni kitu anachotaka kutoka kwako basi usipo fanya hivyo basi atarudi kwa mzazi mwenzie ama eti atakua na mahusiano ya kimapenzi na baba wa mtoto wake, ama sijui vitu vya ajabu ajabu mnasema, no!, that's not true kwa Kila single mother.

Sikia single mother anahitaji mapenzi, your time na support kutoka kwako kama kweli unampenda. Kwangu mimi ikiwa ninampenda, ninamaanisha hivyo na nitawajibika kwa maamuzi yangu ya kuwa nae yeye na mtoto aliye nae pia. Nani anajua, ninaweza kumuoa na ku adopt mtoto/watoto wake hatimaye. Ndio, itakuwa ngumu haswa ikiwa biological father bado yuko kwenye picha ndani ya simu yake lakin najua inahitaji very strong man kukubali watoto wa mwanaume mwingine ambae haswa yupo hai but kwa upendo wangu kwake ata realize kama sasa amepata mtu wa tulizo ya moyo wake na atatulia tu mbona.
 
Hapo umejisemeaa ww na moyo wako mkuu,mm km mm single mother no nshapenda single mother km watatu wt n nyokoo tu ,kiufupi n HV ukimpenda single mother hakikisha umeliona kaburi la bb wa mtt wake hata kwenye picha utaona hata jina kwenye msalaba la huyo jamaa ,vinginevyo na hapo hawaachanagii
 
Siku hizi tunaoa kusogeza siku tu na kusaidiana mambo madogo madogo.
Huwezi kuwa na mpenzi wako mwenyewe peke yako.
 
Hua najiuliza, what if aina ya huyo single mother was everything I wanted? What if she was thoughtful, intelligent, driven, attractive and successful on her on?. Je, vip kama ana dreams and goals ya mahusiano ambayo na Mimi nipo nayo? What if she educated enough kuweza kujimudu maisha yake na hisia zake? Is she Knowledgable? Does she make me laugh and happy? Do our end goals align? If so… then yeah. I’d probably date her na kisha tutaoana na kuishi maisha ya furaha na karaha lakin yenye upendo ndani yake na kumpenda mwanae as my own child. I’d consider her important enough to accept that she comes with small sentient child-shaped responsibilities.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…