Amekuwa "single mother" kwa kutenda dhambi!Kama wote mmemwamini Yesu Kristo na Kuokolewa mbona ndoa yenu inakuwa nzuri tu?
Ili mradi tu ndoa yenu iwe imekidhi Viwango vya Mungu!
Kama Single mother ana hofu ya Mungu hawezi kukusaliti eti kwa kurudia mahusiano yake upya na huyo aliye zaa naye.Unachotakiwa Mwanamme ni kujali mtoto wake maana HUWEZI KUMTENGA MAMA NA MWANA! ni Vigumu kabisa.
Otherwise Single moms wakiwa kwenye ndoa wanatulia kabisa kwa sababu ya mikiki waliyopitia kwa wale waliowazalisha na kuwatelekeza!
Kujifariji na nin?!Enewei endelea kujifariji
Chanzo ni tamaa tu unakuta msichana hana shughuli ya uwakika yakumuingizia kipatato alafu ana zaa nje ya ndoa kwakuona mpenzi wake ana kaz nzuri au biashara kubwa akisha zaanae Ili apate uwakika wakupata pesa na kuolewaHizi mada za Single Mother zilitulia naona sasa zimeanza tena upya, Single Mother ni binadamu kama binadamu wengine acheni kuwaandama ili hali chanzo cha Single Mother ni Wanaume.
kwani umeandika nn hapo kwa komenti
Akishamwamini Yesu Kristo na kuokolewa Mungu anamsamehe dhambi zake zote.Amekuwa "single mother" kwa kutenda dhambi!
Vijana wengi Wanakurupukq Sana Kwenye Kuoa.Kheri ya Mwaka Mpya
Vijana ambao hamjaoa, Kaka yenu Jokajeusi anasema msioe single-mother hata Kama mmeshikiwa bunduki.
Singel mother hasa waliozaliwa miaka kuanzia ya 90 mpaka sasa hao achaneni nao kabisa. Mkiwaona wapeini moyo, wasapotini kwenye vibiashara vyao na kazi zao ili wapate walau pesa za kujifariji, Ila kamwe msithubutu kuwaoa. Ni shimo refu Sana lenye Giza ambalo kutoka humo ni ngumu.
Ukifikiria kuoa single mother sharti ufikirie Yafuatayo;
1. Mzazi mwenza
Je uutamudu mawasiliano Yao.
Je upo tayari kukubali uwepo wa mzazi mwenza kwenye ndoa yenu?
Je upo tayari kusikia pesa hii imetoka Kwa mzazi mwenza wa Mkeo?
2. Kumtunza Mtoto uliyemkuta
Je upo tayari kumtunza Mtoto asiyewako?
Kama hauko tayari unafikiri Mkeo atafurahi mtoto wako awe anasoma shule nzuri, anavaa vizuri wakati Mtoto wake Kwa mzazi mwenzake (mume mwenza) hapendezi na anasoma shule Mbaya.
Au je utavumilia mtoto wako huwezi kumhudumia anasoma shule Mbaya na anavaa marapurapu alafu wakati huo mtoto wa mume mwenza akiwa anapendeza ndani ya nyumba yako?
3. URITHI
Je unafikiri ukifa Mkeo atakubali mtoto wake aliyempata nje ya ndoa akose Mali Kwa kisingizio chochote kile?
Ikiwa tuu wanawake wanang'ang'ania Mali ambazo wamezikuta Kwa waume zao wakidai wapewe nusu Kwa nusu unafikiri watakubali?
Kama unafikiri hivyo jua wewe bado mtoto Sana kuwafahamu Wanawake.
Wanawake ni wabinafsi kuliko kiumbe yeyote hapa ulimwenguni.
Mwanamke kitu pekee anachoweza kukipenda Kwa moyo wote ni mtoto/watoto aliowazaa MWENYEWE.lakini kamwe hawajawahi kumpenda mwanaume Kwa moyo wao wote.
Wanawake watakupenda Kwa matarajio Fulani, labda kama anaona kuna future zuri mbele yenu basi atakupenda Kwa future hiyo ndio maana wanaume mnashauriwa kuwadanganya wanawake kuwa mambo yatakuwa mazuri wasijali.
Mwanamke hawezi kukupenda kamwe Kama akigundua matarajio yake ya maisha mazuri hayapo. Labda awe mama Yako mzazi.
Msioe single-mother ni hatari Kwa maisha yenu.
Ujanani utateswa na wasiwasi WA mzazi mwenza kisha uzeeni utateswa na karaha za watoto wa kambo hasa wa Zama hizi.
Kikawaida wanawake wengi hupewa mimba na wanaume waliowapenda au wenye hadhi waitakao na kukubali kuolewa na watu wasiowapenda na wenye hadhi ya chini Kabisa.
Kabla hujamuoa single-mother jiulize Kwa jinsi alivyo Kama angekuwa Hana mtoto angekukubalia umuoe?
Au anakubali ili uokoe jahazi?
Wenye mapovu nimeshawazoea
Mwanaume mwenzenu kazingua😄Nmejiuliza hili swali pia[emoji848]
hatuoi wala usijaliUpo sahihi sana mkuu hakika maneno mazuri siku zote ni sadaka hivyo ubarikiwe sana kwa ushauri huu mzuri." UKWELI USEMWE TU".
perfect manYani wanaume kwa kujionaga mko perfect daah.
😂😂😂😂Hatuna la kusema. Kila mtu apambane na hali yake!
We maisha Hujayajua. Toka Lini Mtu akaja Kukusimulia Tabu anazopata. Hao unaosema wanapata Raha na Single mother labda Huyo single mother Bado ana mtoto mdogo ngojawa Wakue vizuri utajua HujuiSiyo wote walio oa single mothers wanapitia hizo changamoto bhana! Wapo wadau wengine wanafaidi kweli kweli mapenzi ya hao single mothers, huku wakiwa hawana mgogoro wowote ule kwenye ndoa/mahusiano yao.
Hivyo mimi nashauri vijana waoe wanawake wa maisha yao. Utakuwa ni ufala mkubwa sana kuacha kuoa single mother ambaye ni wife material, halafu badala yake ukaenda kumuoa Asha Ngedere ambaye muda wote kyupi iko mkononi! Kisa tu hana mtoto.
Hapo amepigwa koli 4 - 0Kwanini kaoa single maza yani unahangaika na watoto wa4 wakati baba yao yuko anaenjoy maisha no way.
Ukibakwa unahalali ya kuitoa!!!!!! Hiyo inaruhusiwa acha kutetea upuuziMimi sijaongelea bahati mbaya mkuu.
Ila nimeongelea namna single mum wanapigwa vita na kuonekana ni Aina ya wanawake wasiotakiwa kuolewa.
Bahati mbaya au bahati nzuri inategemea sababu iliyosababisha hao single mom wawepo, kuna waliofiwa na waume zao wakawa single mom.
Kuna walioolewa wakaachika wakawa single mom.
Kuna waliobakwa wanakapata ujauzito wakawa single mom.
Kuna hao wa kujitakia pia.
Wote ni single moms.
Ila sasa wasijione wanyonge sana, watoto ni baraka, mimi naamini kwa wanawake waliozaa wanajua mahusiano yalivyo.
Hivyo kuliko kuhangaika na wanaume ambao daily kuwasema ni heri muda huo watumie kulea watoto wao, kujiendeleza kiuchumi , elimu na ujuzi mbalimbali.
Then kwa wakati sahihi Mungu atawaletea watu sahihi.