Alikuwa single mom na umri ulikuwa umeenda Ila aliolewa tu na kijana tena mtumishi wake mwaminifu
Ujanijibu bado Single mother mjane au single mother aliye telekezwa/kutarakiana na mzazi mwenzie?

Alaf hapo tu umri ulikuwa umeenda pia ni point ya ushawishi kwa kijana kulipa kama utaweka utume wake pembeni utanielewa nini namaanisha
 
Hao unaowapigia debe wengi wao wana akili za kitoto hivyo ukioa unakuwa kama litoto tu, ila kwa single mother hawanaga utoto utoto wakipendana na mwanaume
Walishindwa vipi kuolewa na waliowazalisha ? Au ndio walikuw na utoto. Of course ukijipeleka kwa single mother lazima akugande maana anajua alishajiwekea doa. Muoe muweke ndani uanze kuona balaa lake. Wapo wanaobehave , ila wengine ni pasua kichwa tu mkiiingia kwenye ndoa..just kama hawa wasiozaa..wapo wanafaa na wapo wasiofaa.
 
Ujanijibu bado Single mother mjane au single mother aliye telekezwa/kutarakiana na mzazi mwenzie?

Alaf hapo tu umri ulikuwa umeenda pia ni point ya ushawishi kwa kijana kulipa kama utaweka utume wake pembeni utanielewa nini namaanisha
Swali lako lipo nje na mada, Ila ukitaka kufuatilia kwa undani kuhusu ndoa ya bi khadija ingia tu Google utapata jibu huko
 
Kumbe upo kibanda umiza 😂😂
Rafiki achana na ma-single mother, ata hawa mabinti wa kichina, tunaoa wameisha utamu, ni rangi ya body tu na shape za "broiler" vilivyosalia, tunalia ndani ya mashuka tunapokumbuka posa na mahari zilivyokuwa kubwa...

Sasa vipi uongezee na machungu ya kuona sura ya mwanaume mwenzio inakupigia kelele ndani eti haijashiba au haujailetea zawadi...??...😥😥😥🤕🤕
 
We ni muoga halisi
 
Swali lako lipo nje na mada, Ila ukitaka kufuatilia kwa undani kuhusu ndoa ya bi khadija ingia tu Google utapata jibu huko
Bas na ww ushawishi watu kufanya kitu kwa kutumia ushawishi ambao haujakamilika kwa kutegemea Google ipo kama vile Google ndio iliyoanzisha uzi
 
Tatizo singlemom kukumbushiana na baba mtoto.....hiyo bila kufichaficha inakatisha tamaa mkuu
Ilo ni jambo moja, la pili ni hasira.

Wanakuwaga na hasira sana, sijui kwanini. Ni mara chache kukutana na ambao mioyo yao ipo calm.

Ila wakiamua kutulia, wanatulia.
 
Bas na ww ushawishi watu kufanya kitu kwa kutumia ushawishi ambao haujakamilika kwa kutegemea Google ipo kama vile Google ndio iliyoanzisha uzi
Umesoma na kuelewa kichwa cha bandiko?

We sema kama ni mvivu wa kugoogle tukusaidie kwa kuanzisha uzi mpya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…