Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Mechi kabla hata haija Anza tayar timu Moja inaongoza Moja bila....🤓🤓🤓🤓Kiukweli hakuna ubaya kumchumbia single mother na kumuoa huyo mama asiye na mwenzi. Hata kama amezaa, mtoto aliyemzaa na mwanaume mwingine ni baraka kabisa.
Cha muhimu ni kwamba nyote wawili mnapendana na mmejitolea kufanya uhusiano wenu ufanye kazi. Hivyo ukimpata single mother na mkapendana nyote muoe tafadhari hata kama ana watoto watatu oa tu.
Mtume Muhammad ni mfano wa kuigwa hakumuogopa bi Khadija. Jifunzeni kwa huyu mtumishi.
Enyi wanaume waoga acheni ushamba.
Kama matukio gani kwa mfano?Matukio mengi ya single mothers yanatisha ndo maana wanaogopwa
Huo huwa ni ushindi wa mezaniMechi kabla hata haija Anza tayar timu Moja inaongoza Moja bila....🤓🤓🤓🤓
😁😁😁😁Huo huwa ni ushindi wa mezani
😬😬😁😁😁😁
Mkuu sawa jichanganye.Acha uongo mkuu
Sijajichanganya boss bali tunaambizana tu ukweliMkuu sawa jichanganye.
Single maza ni mbuzi wa hitima kila muhuni anaweza kumla akijisikiaUnadhani hao wanaume wana akili sana kwa kuwaogopa single mother?
Single mother ni wazuri sema tu wanaume ni waoga.
Sio kweli mkuuSingle maza ni mbuzi wa hitima kila muhuni anaweza kumla akijisikia
Nakubaliana nawewe single maza tuwapende lakini tusiwaoe. Kama ni kuishi nae lipa kishika uchumba muendeleze maisha. Kama utamuongezea watoto sawa ila sio kumuoa.Kwanini uoe mke wa mtu wakati kuna wasichana wabichi wapo kitaa.
Kama umempenda single maza unamuongezea tu idadi ya watoto lakini sio kuoa
Uzuri wako ni huu....unasema ukweli. 😍😍😍 Gud morning teacherTatizo singlemom kukumbushiana na baba mtoto.....hiyo bila kufichaficha inakatisha tamaa mkuu
Vitabu vyenyewe vya dini vinasema kuoa mwanamke aliyeachika ni laana. Hadi kazalishwa na kaachwa ujue ana matatizo huyoSio kweli mkuu
Wanapasha viporo sanaTatizo singlemom kukumbushiana na baba mtoto.....hiyo bila kufichaficha inakatisha tamaa mkuu
Single maza ni mbuzi wa hitima kila muhuni anaweza kumla akijisikia
Hahahahah mwamba anaweza akawa hana mpango nae ila ukishamuweka mjengoni tu akaanza kula matunzo anawaka jamaa lazma aje kuomba mzigoMimi sio muoga lakini ili nimuweke single mother ndani labda anioneshe kaburi la baba mtoto wake, wanaume tunajuana tabia zetu
Ukijiuliza kwanini alikuwa single mother utajua kwanini wanamuogopaKiukweli hakuna ubaya kumchumbia single mother na kumuoa huyo mama asiye na mwenzi. Hata kama amezaa, mtoto aliyemzaa na mwanaume mwingine ni baraka kabisa.
Cha muhimu ni kwamba nyote wawili mnapendana na mmejitolea kufanya uhusiano wenu ufanye kazi. Hivyo ukimpata single mother na mkapendana nyote muoe tafadhari hata kama ana watoto watatu oa tu.
Mtume Muhammad ni mfano wa kuigwa hakumuogopa bi Khadija. Jifunzeni kwa huyu mtumishi.
Enyi wanaume waoga acheni ushamba.
Sawa lakini X-wake anamla. Wanandoa hawachani huwa wanatengana tu.Acheni zenu mbn wazuti tu mi ndio nnae huku shemeji yenu fresh tu