Siku akipata financial relief basi mapenzi yanarudi, hii case ipo sana yani. Mbaya zaidi mwanamke ndio anaendelea kuliwa ikiwa mtu kashajitusu kumuweka ndani.Kuna watu wana achana na maEx wao bila ya wao kupenda Sabab inaweza kua financial constraints...
Differ in interest na zingine nyingi....
For sure kuoa single mama ni uwekezaji mbovu
Matatizo matatizo matatizoBinafsi naona scenario mbili hapa.
1. Waislam wao nadhani sio issue sana kuoa single mother. Wao naona wakioana sana, shida ipo kwa Wakristo.
2. Single mom wa watoto wa kiume wanaweza kukupa shida sana, watoto wa kiume wakiona mama yao anadate na mtu asiye baba yao wanaweza kuleta tafrani ndani ya nyumba balaa.
Hata hivyo iwe choice ya mtu, some ladies are decent sana japo kweli ni single moms.
Kama ni single mami wa kichaga jua lazma wakupige kazi yeye na mwanae ili apate urithi.Binafsi naona scenario mbili hapa.
1. Waislam wao nadhani sio issue sana kuoa single mother. Wao naona wakioana sana, shida ipo kwa Wakristo.
2. Single mom wa watoto wa kiume wanaweza kukupa shida sana, watoto wa kiume wakiona mama yao anadate na mtu asiye baba yao wanaweza kuleta tafrani ndani ya nyumba balaa.
Hata hivyo iwe choice ya mtu, some ladies are decent sana japo kweli ni single moms.
Mtume Muhammad alimuoa bi Khadija aliyekuwa ameachika kwa mumewe, je unataka kusema kuwa mtume naye alilaaniwa kwa kuoa single mother?Vitabu vyenyewe vya dini vinasema kuoa mwanamke aliyeachika ni laana.
Inweza ukawa unampenda kabisa mapenzi ya dhati ila yeye bado anakuona we fala tuKuna watu wana achana na maEx wao bila ya wao kupenda Sabab inaweza kua financial constraints...
Differ in interest na zingine nyingi....
For sure kuoa single mama ni uwekezaji mbovu
Vipi kama mwanaume ndo aliyekuwa na matatizo? Na je mwanamke kuolewa na mwanaume aliyeachwa au kuacha sio laana?Vitabu vyenyewe vya dini vinasema kuoa mwanamke aliyeachika ni laana. Hadi kazalishwa na kaachwa ujue ana matatizo huyo
Aliyumba sana sio utaratibuMtume Muhammad alimuoa bi Khadija aliyekuwa ameachika kwa mumewe, je unataka kusema kuwa mtume naye alilaaniwa kwa kuoa single mother?
Achana na mtume tu ata mama yesu aliolewa na yosefu kana single mother, ila sio hawa wa sasaMtume Muhammad alimuoa bi Khadija aliyekuwa ameachika kwa mumewe, je unataka kusema kuwa mtume naye alilaaniwa kwa kuoa single mother?
Na aliyesababisha u single mother wa huyo single mother ndio huyo huyo mwanaume anayemuogopa single mother πUkijiuliza kwanini alikuwa single mother utajua kwanini wanamuogopa
Mwanaume hajawahi kuachikaVipi kama mwanaume ndo aliyekuwa na matatizo? Na je mwanamke kuolewa na mwanaume aliyeachwa au kuacha sio laana?
Sent using Jamii Forums mobile app
Binafsi namuunga mkono mtume alikuwa sahihi wala hakuyumba kwa kumuoa bi khadijaAliyumba sana sio utaratibu
Sasa unakuta sababu ni recklessness yake mwanamke mara nyingi huwa wanawake wanafosi kuzaa na watu wakati hawajawa na utayari. πNa aliyesababisha u single mother wa huyo single mother ndio huyo huyo mwanaume anayemuogopa single mother π
Acha uzushi, Maria hakuwa single mothermama yesu aliolewa na yosefu kana single mother,
Sema sasa kitu kimoja cha Tofauti bi Khadija alikuwa umri umeenda japo ni pisi kali. So hakuwa na mambo ya kijinga halafu pia alikuwa mjane sio kwamba alikuwa malaya. Ina maana mumewe alikufa so mtume akaamua amsitiri.Binafsi namuunga mkono mtume alikuwa sahihi wala hakuyumba kwa kumuoa bi khadija
Sasa ukishamzalisha ndio umkimbie?Sasa unakuta sababu ni recklessness yake mwanamke mara nyingi huwa wanawake wanafosi kuzaa na watu wakati hawajawa na utayari. π
Hivi mwanamke akimua kukubebea mimba unafikiri utajua. Si anakuvizia denja days anakumwanulia yote πππ we utashangaa report tu.Sasa ukishamzalisha ndio umkimbie?
Akikufosi kumzalisha we toka nduki kama alivyofanya Yusufu mbele ya mke wa boss wake ππ
Mtume alikuwa mume wa 3 kwa bi khadija.Ina maana mumewe alikufa so mtume akaamua amsitiri.
Labda kama unataka ubishani ila Kuna wanaume kibao tu wanaachwa kwa sababu ya ulevi, kufulia na umasikini.Mwanaume hajawahi kuachika
Huyo Bi. Khadija inaonesha alikuwa mrembo sana kama Zari π€£ af lazma mtume alichepuka nae kipindi anazinguana na mume wake wa pili.Mtume alikuwa mume wa 3 kwa bi khadija.
Ni kweli mume wa kwanza wa bi khadija alifariki, baadae aliolewa na mume mwingine kisha wakapeana talaka na ndipo alipokuja kuolewa na mume wa tatu (mtume)
Tunza hii historia