binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Najaribu kuvaa viatu vyao, hivi wanajuta, wameamua kujikaza, au wameshazoea, au hizi mada haziwasumbui? Maana mnawadiscuss kila siku na mmewageuza "special group"
Wakuu punguzeni naamini ukiachana na wale ambao waliamua kulea wenyewe basi wengi wao hawakupenda iwatokee hivyo, wanaume punguzenu aisee mnatumia maneno makali sana!
Utakuwa umeoa bikra wewe mkuu.Kwamba wanawake wameisha duniani hadi nioe mke wa mtu?
Hapa twaongelea kuoa mke wa mtuUtakuwa umeoa bikra wewe mkuu.
ambavyo havieleweki vipo mkuuHakuna kitu kisichoeleweka kwneye Hii Dunia.
Hiyo kauli inatolewa na watu aidha wajinga au wanaotaka kuwatupia lawama Wanawake.
ambavyo havieleweki vipo mkuu
a)hali ya hewa
b)wanasiasa
c)wanawake...ila kwenye wanawake nipo pamoja na wewe wanaeleweka
Unamzidi yote then poor in bed, bado tu utachapiwa sana.
Haya mambo hayana pie, tunajaribu kupunguza possibilities lakini kama kuwekewa watakuwekea tu.
Kuna dada mmoja amezaa na mtangazaji mmoja wa Michezo kwenye redio moja hapa nchini, lakini huyo mtangazaji hajamuoa. Sasa huyo mtangazaji safari za marekani na ulaya ni daily, basi huyo dada anapenda mtoto wake atambulike kwa jina la baba wa huyo mtangazaji, utasikia "kitambaa junior"
😳Teh!Mwanamke yeyote ukimkaza tu na mukaachana kumrudia sio ngumu
Tushazoea tuatazama tuNajaribu kuvaa viatu vyao, hivi wanajuta, wameamua kujikaza, au wameshazoea, au hizi mada haziwasumbui? Maana mnawadiscuss kila siku na mmewageuza "special group"
Wakuu punguzeni naamini ukiachana na wale ambao waliamua kulea wenyewe basi wengi wao hawakupenda iwatokee hivyo, wanaume punguzenu aisee mnatumia maneno makali sana!
Mwanamke yeyote ukimkaza tu na mukaachana kumrudia sio ngumu
Hata hilo nalo unalozungumza kuhusu single mother inategemea na mazingiraInategemea na mazingira Mkuu
Hata hilo nalo unalozungumza kuhusu single mother inategemea na mazingira
Sasa hivyo ukiwa navyo mbona kila mwanamke unamla?Mazingira niliyoyaeleza ndio hayo.
Pesa + Mvuto