Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa
KWA NINI SINGLE MOTHER WANAOGOPWA KULIKO SINGLE FATHER?

Anaandika, Robert Heriel

Baadhi ya Wadada wamekuwa wakiniuliza iweje Single mother pekee Yao wanaogopwa na Vijana wakiume lakini Single father hawaogopwi na Vijana wakike? Aidha ni Kwa nini Mwanamke mwenye mtoto anapata changamoto kubwa Kupata Mwenza wa kumuoa ukilinganisha na Single father?

Kwa kuongezea, ni kwanini kijana akitaka kuoa single mother atapata upinzani mkubwa kutoka Kwa Wazazi na Ndugu zake na jamii Kwa ujumla? Maswali hayo leo tutaenda kuyajibu Kwa kifupi.

Single mother ni mwanamke mwenye mtoto au Watoto ambaye hajaolewa au aliyepewa Talaka. Huyo ndio single mother. Wakati Single Father ni Mwanaume mwenye mtoto au Watoto ambaye hajaoa au aliyekwisha kupeana Talaka.

Zifuatazo ni sababu za Kwa nini single mothers wanaogopwa zaidi kuliko Single Father;

1. Upendo
Wanawake asilimia 90 wanabeba mimba Kwa wanaume wanaowapenda iwe kwa upendo halisi au upendo wa Mali,
Mwanamke hawezi kuzaa na Mwanaume asiyempenda, Wakati Sisi wanaume suala la kuzaa halipo Chini ya maamuzi yetu.
Sisi wanaume tunaweza bebewa mimba na Mwanamke yeyote hata tusiyempenda, na bahati nzuri au Mbaya wale Wanawake tusiowapenda ndio wepesi kushika MIMBA.

Mwanaume anaweza kutelekeza Mama na mtoto Kwa sababu Hakumpenda Mama na bila Shaka mtoto hakuwa kipaombele chake. Mtoto hawezi kumfanya mwanaume ampende Mwanamke, Ila Kwa upande wa mwanamke mtoto anaweza kumfanya Mwanamke ampende Mwanaume.

Mwanamke analazimika kumpenda mzazi mwenza Kwa MASLAHI ya mtoto, Wakati Sisi wanaume hatunaga kitu kama hicho. Hatulazimiki kumpenda Mwanamke Kwa sababu ya Watoto.

Hii inafanya Single mother kuogopwa Kwa sababu bado wengi wao huwa na bond na Wanaume waliozaa nao Kwa MASLAHI ya mtoto.
Ni nadra Kwa mwanaume kumtafuta Mwanamke aliyezaa naye lakini ni Jambo la kawaida Kwa Wanawake single mother kutafuta Mababa wa watoto Kwa sababu nyingi tuu.

2. HUDUMA KWA MTOTO/WATOTO
SIngle mother wanaogopwa zaidi Kwa sababu wanakuwa wasumbufu kupiga piga simu Kwa wanaume waluowazalisha Kudai Huduma za Watoto. Lakini Hii ni tofauti na single father, mtoto akikaa na Baba yake atahudumiwa na Baba pasipo Mama yake kusumbuliwa.
Yaani haiwezekani single father adai Huduma ya mtoto Kwa mzazi mwenza.

Single mother wengi wanajua ni hasara kubwa kwao kumpa Mwanaume mtoto kwani watakosa mawasiliano na pili wapo wanaopatiemo huduma kupitia Watoto.

Wanawake wengi wanaoolewa na Single father hupendelea huwashauri Waume zao kuwachukua Watoto waishi NAO palepale nyumbani ili kukata mawasiliano baina ya mumewe na Mzazi mwenza, na kama atataka kuwasiliana na mwanae basi simu itapokelewa na atapewa simu mtoto aongee na mama yake.

3. SINGLE MOTHER WENGI KIPAOMBELE CHAO NI WATOTO.
Hii ni tofauti na Single father, wanaume wengi Watoto sio kipaombele Sana ikiwa tuu ataona Mkewe anamheshimu na kumtii. Ndio maana ni kawaida Kwa wanaume kutelekeza watoto. Hilo wala halina mjadala.
Mwanamke yupo connected na watoto wake automatically tofauti na Sisi wanaume.

Single mother wengi kipaombele Chao ni Watoto wao, kila kitu atakiangalia katika jicho la kumlinda mtoto wake, na yupo tayari kufanya lolote kwaajili ya mtoto wake. Hii ni tofauti na Single father, yeye atadili na Familia Kwa ujumla Kwa kumpenda Mkewe na kumpa kipaombele Mkewe kwani yeye ndiye mlezi wa watoto na familia Kwa ujumla.

Single mother hawezi kukupenda kama anavyompenda mtoto au Watoto wake Ila SIngle father anaweza akampenda Mwanamke/Mkewe Mpya kuliko anavyowapenda Watoto wake.

4. DRAMA
Single mother wanadrama nyingi mno ukilinganisha na Single father. Waliooa single mother wamekuwa Watu wanaoripoti visa na mikasa ya kusisimua na kushangaza, tofauti na wanawake walioolewa na single father.

Tabia ya mwanaume ni ileile haijalishi ni single father au sio single father. Haijalishi ni kijana au Mzee. Wanaume Tabia zetu ni zilezile.
Hii ni tofauti na wanawake, Wanawake wapo tofauti tofauti kulingana na umri, maumbile, Elimu, hadhi, mwenye Watoto n.k

I) Mwanamke Bikra hafanan na Mwanamke asiyebikra,
ii) Mwanamke single mother hafanani kabisa na Mwanamke asiyesingle mother, yaani ni jinsia moja lakini wapo tofauti kihisia, Kiakili, kimtizamo na kimaamuzi.
iii) Mwanamke mwenye umri wa miaka 15-25 hafanani na Mwanamke mwenye umri miaka 25-40 na pia hawafanani na Wanawake wenye miaka 41-60 linapokuja suala la mahusiano.

Lakini kijana wa miaka 15-25, 25-40, MTU mzima wa miaka 41-60 wanafanana linapokuja suala la mahusiano.

5. SINGLE MOTHER HUPENDA KUPEWA HESHIMA ILEILE UNAYOMPA MKEO HATA KAMA MMEACHANA. WAKATI SINGLE FATHER HUO MUDA HANA NA SIO AJABU AKAWATELEKEZA HATA NA WATOTO.

Ukioa single mother elewa kuwa kama aliyemzalisha anampa heshima yote kama Mkewe(Kwa jina la Mzazi mwenza) na akawa anawahudumia Watoto wake basi kazi yako kama mume Kwa huyo Mwanamke ni kubwa Sana. Utapata tabu Mno.

Elewa kuwa Mwanamke single mother ndio hulazimisha ukaribu wa mzazi mwenza naye Kwa mgongo WA mtoto. Ila ni ngumu mwanaume single father kutafuta ukaribu na Mwanamke aliyemzalisha. Hakunaga kitu kama hicho.
Ingawaje single mother wanaweza kukuambia kuwa hawasiliani na Mzazi mwenza lakini Kwa Sisi wakulungwa tunasema huo ni Uongo.

Lakini single father akikuambia hajawasiliana na Mzazi mwenza muamini kabisa Kwa sababu Sisi wanaume tunaathiriwa zaidi na MTU aliyekaribu kuliko aliyembali, sio ajabu Mwanaume anauwezo wa kukaa hata mwezi au miezi sita bila kuwasiliana na Wazazi wake lakini Kwa Mwanamke ni tofauti.
Sasa ikiwa mwanaume anauwezo wa kukaa muda mrefu bila kuwasiliana na Mzazi aliyemzaa sembuse Mwanamke aliyemzalisha au sembuse Mtoto?

Lakini Kwa Mwanamke hilo hataweza tena akijua Mwanaume aliyemzalisha anauwezo wa kiuchumi.

Eid Mubarak

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Nondo hizi
 
Single maza tunawalaumu bureee,,,havi ikiwa wewe uliyemzalisha bado unamfuatafuata na kumtamani unadhani atakataa? Wengi hufanya hivyo ili Watoto/Mototo azidi kupata mapenzi ya Baba,,,Me naamini ikiwa wewe uliyemsababishia huo usingle maza ukawa mbali naye na ukaweka mipaka siyo (minyau)baina yake na wewe sidhani kama kuna kitu kinaweza Haribika,,,ila wengi wa waluowazalisha wanakuaga na tamaa,,,kumbukeni kuna wanaume baadhi ni mara umbwa yaani tunawaita zoazoa.......

Anayepata majanga ndiye anayelaumiwa zaidi kuliko asiyepata. Hiyo ni Kanuni.
Kwani nature inataka MTU ajikinge zaidi kuliko kutibu.

Mfumo uliokuwepo ambao ni mfumo dume iliweka mazingira ya kumsaidia kumlinda Mwanamke kadiri inavyowezekana lakini Baadhi ya Wanawake ndio hujiingiza kwenye mitego ya hao wanaume wa hovyo.

Hawawataki wanaume waliosirius na Maisha wanataka wanaume wanao-fake
 
....na una experience kuubwa😳 what is your sample size.

Habari wana jf?

Oyaaaa vijana wapanbanaji acha niwape mnara iko hivi:
Kiburi, jeuri, Nyodo, kisirani, ujuaji, Midomo na kutoridhika na wanachopewa na wanaume wao hizi ni changamoto za single mothers wa Tanzania kwa 90% ni single mothers wachache sana wasio na hizi tabia na huwezi kuwakuta wanabwatuka hovyo humu mitandaoni,,

Single mothers wa humu wote wanasema wanaume ndio chanzo Cha situation zao lakini Kuna walioachwa kwa ajili ya usaliti na umalaya na hawatakwambia na wenyewe wapo humu bila aibu nao wanatulaumu wanaume

Ukiona lijanamke linashinda mtandaoni kujisafisha makosa yake na kurusha lawama kwa wanaume ujue hilo ni jini kisirani usijichanganye mwamba utaisha vibaya,

hapa mtandaoni anajifanya ye malaika, ye ndio kaonewa sasa we jichanganye,, single mothers wa aina hiyo wengi hawanaga shukrani siku maisha yako yakiyumba halafu baba wa mtoto wake ndio kapata hela my friend utalia kichina...[emoji28]

Ni single mothers wachache sana tena wachache sana nasisitiza wachache sana wanaojielewa na huwezi kuwakuta wanachamba watu humu mitandaoni, wako busy na maisha hawana muda wa kupoteza sio hawa wawindaji haramu kijana mwenzangu kuwa makini na hawa viumbe..

Kuna wapanbanaji wenzetu wako jela sasa hivi na wengine wamekufa kwa ajili ya humiliation za hawa single mothers wa kuokota okota mitandaoni..

Mpambanaji mwenzangu ukipata single mother humu usikurupuke kuoa nenda nae taratibu hatua kwa hatua hakikisha unapata taarifa zake sio zile alizokupa bali zile ambazo hajakupa , muhimu sana kuijua familia yake anayotokea, ndugu na marafiki zake wa karibu hii itakusaidia kujua uko na mtu wa aina gani maana ndege wanaofanana huruka pamoja..

Usiamini kila story mbaya atakayokupa kuhusu baba wa mtoto wake, mama zetu huwa hawasemi mabaya yao kamwe siku zote huwa wanasema mabaya ya baba zetu tu! usibebe picha mbaya dhidi ya mwanaume mwenzio huwezi kujua nini kilimkuta kwa huyo mwanamke we kaa kwenye nafasi yako, mchunguze mtu wako utaujua ukweli tumia akili sio hisia..

Usianze mahusiano na single mother halafu ukaanza kuwekeza kwenye maisha yake moja kwa moja hilo kosa litakugharimu kumbuka nimekwambia wengi wao hawana mioyo ya kuridhika wala shukrani.. we msaidie kwenye kile ulichomkuta nacho wakati huo na wewe endelea na ratiba zako za utafutaji ulizokuwa nazo, usibadili malengo Wala mfumo wako wa utafutaji kwa ajili yake we msaidie kwa kile unachoweza ila usimuingize kwenye mifumo yako wala usiingie kwenye mifumo yake, ukiingia tu kwenye mfumo wake anakuunganisha na marejesho utaimba kikorea mwanawane,,

Kama ni single mother anayejielewa utaona siku zinavyokwenda anajiset kuendana na mfumo wako wa maisha kuanzia kwenye mambo ya fedha, nidhamu hadi chumbani yani anaacha anaji sacrifice kwa ajili yako hata kabla hujatangaza ndoa na wala hana uhakika wa hiyo ndoa ila anafurahia uwepo wako kwenye maisha yake na anafanya jitihada za ziada ili uendelee kuwepo kwenye maisha yake my brother huyo ndio single mother wa kuoa sasa sio hawa wawindaji haramu utawapa jasho lako lote na bado hawataridhika watatafuta mwingine awape zaidi kumbuka nature ya mwanamke ni kiumbe kisichoridhika,
MUNGU aliweka matunda ya kila aina bustani ya edeni lakini bado mwanamke hakuridhika akafuata lile moja alilokatazwa na bado leo wanatutupia lawama sisi kwamba haturidhiki wamesahau ndio walitufundisha kutoridhika pale bustani ya edeni [emoji28]
Tuishi nao kwa akili wanangu TUWAPENDE ila TUSIWAAMINI[emoji1666]



Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
 
Umekuna kunako..soma huu mkasa ulionikuta itakusaidia

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Mimi ni mtu ambaye nilikuwa siamini katika kumuoa single mother ila baadaye nikajikuta nimekutana na single mother nikaona nitengue msimamo wangu ila kwa hili msimamo wangu narudi kuiheshimu.

Mnamo mwaka huu mwezi wa January, nimekutana na mdada mmoja ambaye tulimaliza naye chuo, na kwa bahati nzuri nilikuwa nasoma naye course moja na pia tulikuwa group moja kwenye discussion. Hivyo na mfahamu kwa kiasi alikuwa ni binti mwenye msimamo kwenye mahusiano.

Kipindi hicho sikuweza kumtongoza kwasababu nilikuwa nipo kwenye stress kubwa wakati nasoma university.

Ila ilikuwa namkubali kubali kiasi, ila wakati tukiwa mwaka wa tatu akakutana na jamaa alikuwa ni graduate na anakazi. Jamaa akafanikiwa kumuweka kwenye himaya yake. Kwangu haikuniumiza sana kwa kwasababu sikuwahi kumtongoza akanitoe nje.

Siku zikaenda jamaa akaenda kujitambulisha kwa binti, ikapangwa mpaka siku ya harusi na vitu kwa hivyo.

Jamaa akawa anahairisha harusi mara kwa mara ila kafanikiwa kuzaa naye mtoto, ila baadaye wakaingia kwenye misuguano wakavunja uhusiano na sababu mwanamke anasema jamaa alikuwa na mwanamke mwingine na mpaka sasa eti jamaa anaishi naye na amezaa naye mtoto, anyway mwanamke akamchukua yule mtoto aliyezaa na jamaa akampeleka kwa wazazi wake.

Mpaka nakutanane naye ameachana na jamaa na kwa takribani miaka mitatu. Anyway baada ya kunieleza hayo kwa uchungu nikaanza naye mahusiano baadaye nikaona kwasababu ni mwanamke ambaye namfahamu kitabia tokea nikiwa chuo acha nifumbe macho nifanye haraku za kuweka ndani kwa heshima.

Anyway baada ya kuanza naye mahusiano akapata ujauzito nikaona ili nisimkweze na aone nipo sereous naye ngoja nikamtambulishe, nikampeleka home kwa utambulisho.

Nikawa nimebakiza kibarua ya kwenda kwao ambaye mpaka sasa sijaenda bado.

Sasa leo akanipigia simu akaniambia amepata msiba, nikamuuliza nani akasema baba mkwe wake wa zamani na waenda na dada yake. Anyway sikutaka kumcrash.

Ila nimeona nipate muda wakutafsiri hiyo picture na kujiuliza maswali mengi.

1. Binafsi najiuliza kama ametoka misri na ameamua kwenda Caana kwanini anarudi nyuma

2. Na kama wameachana na hawakufunga ndoa na ameshatambulishwa katika familia nyingine anaenda kule kama nani...?na kwasababu gani hasa...?

Binafsi nikaona huyu anacheza na akili yangu kwasababu kama yupo sereous
Hii stori mbona ni kama ya zamani?
 
Anayepata majanga ndiye anayelaumiwa zaidi kuliko asiyepata. Hiyo ni Kanuni.
Kwani nature inataka MTU ajikinge zaidi kuliko kutibu.
Huu ujumbe naenda ku-print na kubandika ukutani kwangu.

Maisha yako hivyo.

Hata ukienda hosp unaumwa Ukimwi utapewa pole lakini wakiwa pembeni wanasema wacha akome alijifanya kitombi sana.
 
KWA NINI SINGLE MOTHER WANAOGOPWA KULIKO SINGLE FATHER?

Anaandika, Robert Heriel

Baadhi ya Wadada wamekuwa wakiniuliza iweje Single mother pekee Yao wanaogopwa na Vijana wakiume lakini Single father hawaogopwi na Vijana wakike? Aidha ni Kwa nini Mwanamke mwenye mtoto anapata changamoto kubwa Kupata Mwenza wa kumuoa ukilinganisha na Single father?

Kwa kuongezea, ni kwanini kijana akitaka kuoa single mother atapata upinzani mkubwa kutoka Kwa Wazazi na Ndugu zake na jamii Kwa ujumla? Maswali hayo leo tutaenda kuyajibu Kwa kifupi.

Single mother ni mwanamke mwenye mtoto au Watoto ambaye hajaolewa au aliyepewa Talaka. Huyo ndio single mother. Wakati Single Father ni Mwanaume mwenye mtoto au Watoto ambaye hajaoa au aliyekwisha kupeana Talaka.

Zifuatazo ni sababu za Kwa nini single mothers wanaogopwa zaidi kuliko Single Father;

1. Upendo
Wanawake asilimia 90 wanabeba mimba Kwa wanaume wanaowapenda iwe kwa upendo halisi au upendo wa Mali,
Mwanamke hawezi kuzaa na Mwanaume asiyempenda, Wakati Sisi wanaume suala la kuzaa halipo Chini ya maamuzi yetu.
Sisi wanaume tunaweza bebewa mimba na Mwanamke yeyote hata tusiyempenda, na bahati nzuri au Mbaya wale Wanawake tusiowapenda ndio wepesi kushika MIMBA.

Mwanaume anaweza kutelekeza Mama na mtoto Kwa sababu Hakumpenda Mama na bila Shaka mtoto hakuwa kipaombele chake. Mtoto hawezi kumfanya mwanaume ampende Mwanamke, Ila Kwa upande wa mwanamke mtoto anaweza kumfanya Mwanamke ampende Mwanaume.

Mwanamke analazimika kumpenda mzazi mwenza Kwa MASLAHI ya mtoto, Wakati Sisi wanaume hatunaga kitu kama hicho. Hatulazimiki kumpenda Mwanamke Kwa sababu ya Watoto.

Hii inafanya Single mother kuogopwa Kwa sababu bado wengi wao huwa na bond na Wanaume waliozaa nao Kwa MASLAHI ya mtoto.
Ni nadra Kwa mwanaume kumtafuta Mwanamke aliyezaa naye lakini ni Jambo la kawaida Kwa Wanawake single mother kutafuta Mababa wa watoto Kwa sababu nyingi tuu.

2. HUDUMA KWA MTOTO/WATOTO
SIngle mother wanaogopwa zaidi Kwa sababu wanakuwa wasumbufu kupiga piga simu Kwa wanaume waluowazalisha Kudai Huduma za Watoto. Lakini Hii ni tofauti na single father, mtoto akikaa na Baba yake atahudumiwa na Baba pasipo Mama yake kusumbuliwa.
Yaani haiwezekani single father adai Huduma ya mtoto Kwa mzazi mwenza.

Single mother wengi wanajua ni hasara kubwa kwao kumpa Mwanaume mtoto kwani watakosa mawasiliano na pili wapo wanaopatiemo huduma kupitia Watoto.

Wanawake wengi wanaoolewa na Single father hupendelea huwashauri Waume zao kuwachukua Watoto waishi NAO palepale nyumbani ili kukata mawasiliano baina ya mumewe na Mzazi mwenza, na kama atataka kuwasiliana na mwanae basi simu itapokelewa na atapewa simu mtoto aongee na mama yake.

3. SINGLE MOTHER WENGI KIPAOMBELE CHAO NI WATOTO.
Hii ni tofauti na Single father, wanaume wengi Watoto sio kipaombele Sana ikiwa tuu ataona Mkewe anamheshimu na kumtii. Ndio maana ni kawaida Kwa wanaume kutelekeza watoto. Hilo wala halina mjadala.
Mwanamke yupo connected na watoto wake automatically tofauti na Sisi wanaume.

Single mother wengi kipaombele Chao ni Watoto wao, kila kitu atakiangalia katika jicho la kumlinda mtoto wake, na yupo tayari kufanya lolote kwaajili ya mtoto wake. Hii ni tofauti na Single father, yeye atadili na Familia Kwa ujumla Kwa kumpenda Mkewe na kumpa kipaombele Mkewe kwani yeye ndiye mlezi wa watoto na familia Kwa ujumla.

Single mother hawezi kukupenda kama anavyompenda mtoto au Watoto wake Ila SIngle father anaweza akampenda Mwanamke/Mkewe Mpya kuliko anavyowapenda Watoto wake.

4. DRAMA
Single mother wanadrama nyingi mno ukilinganisha na Single father. Waliooa single mother wamekuwa Watu wanaoripoti visa na mikasa ya kusisimua na kushangaza, tofauti na wanawake walioolewa na single father.

Tabia ya mwanaume ni ileile haijalishi ni single father au sio single father. Haijalishi ni kijana au Mzee. Wanaume Tabia zetu ni zilezile.
Hii ni tofauti na wanawake, Wanawake wapo tofauti tofauti kulingana na umri, maumbile, Elimu, hadhi, mwenye Watoto n.k

I) Mwanamke Bikra hafanan na Mwanamke asiyebikra,
ii) Mwanamke single mother hafanani kabisa na Mwanamke asiyesingle mother, yaani ni jinsia moja lakini wapo tofauti kihisia, Kiakili, kimtizamo na kimaamuzi.
iii) Mwanamke mwenye umri wa miaka 15-25 hafanani na Mwanamke mwenye umri miaka 25-40 na pia hawafanani na Wanawake wenye miaka 41-60 linapokuja suala la mahusiano.

Lakini kijana wa miaka 15-25, 25-40, MTU mzima wa miaka 41-60 wanafanana linapokuja suala la mahusiano.

5. SINGLE MOTHER HUPENDA KUPEWA HESHIMA ILEILE UNAYOMPA MKEO HATA KAMA MMEACHANA. WAKATI SINGLE FATHER HUO MUDA HANA NA SIO AJABU AKAWATELEKEZA HATA NA WATOTO.

Ukioa single mother elewa kuwa kama aliyemzalisha anampa heshima yote kama Mkewe(Kwa jina la Mzazi mwenza) na akawa anawahudumia Watoto wake basi kazi yako kama mume Kwa huyo Mwanamke ni kubwa Sana. Utapata tabu Mno.

Elewa kuwa Mwanamke single mother ndio hulazimisha ukaribu wa mzazi mwenza naye Kwa mgongo WA mtoto. Ila ni ngumu mwanaume single father kutafuta ukaribu na Mwanamke aliyemzalisha. Hakunaga kitu kama hicho.
Ingawaje single mother wanaweza kukuambia kuwa hawasiliani na Mzazi mwenza lakini Kwa Sisi wakulungwa tunasema huo ni Uongo.

Lakini single father akikuambia hajawasiliana na Mzazi mwenza muamini kabisa Kwa sababu Sisi wanaume tunaathiriwa zaidi na MTU aliyekaribu kuliko aliyembali, sio ajabu Mwanaume anauwezo wa kukaa hata mwezi au miezi sita bila kuwasiliana na Wazazi wake lakini Kwa Mwanamke ni tofauti.
Sasa ikiwa mwanaume anauwezo wa kukaa muda mrefu bila kuwasiliana na Mzazi aliyemzaa sembuse Mwanamke aliyemzalisha au sembuse Mtoto?

Lakini Kwa Mwanamke hilo hataweza tena akijua Mwanaume aliyemzalisha anauwezo wa kiuchumi.

Eid Mubarak

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Single mother ni mwanamke mwenye mtoto au Watoto ambaye hajaolewa au aliyepewa Talaka
Kwa mfano mwanamke ameolewa na akapata mtoto au watoto katika ndoa yake ikatokea bahati mbaya mumewe akafariki , je huyu anawekwa kwenye kundi lipi kati ya haya???

a) Single mother.

b) Mjane.

c) a na b yote sawa

Nb : Unapojibu jaribu kutafuta maana ya neno single!!!!!!!!!
 
👩🏻‍🦱👩🏻‍🦱👩🏻‍🦱👩🏻‍🦱👩🏻‍🦱
 
anajiset kuendana na mfumo wako wa maisha kuanzia kwenye mambo ya fedha, nidhamu hadi chumbani
How to create a single mother pro max 101.

Hakuna kwenda chumbani hapa. Mwisho kibarazani
20221008_145845.jpg
 
Umekuna kunako..soma huu mkasa ulionikuta itakusaidia

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Mimi ni mtu ambaye nilikuwa siamini katika kumuoa single mother ila baadaye nikajikuta nimekutana na single mother nikaona nitengue msimamo wangu ila kwa hili msimamo wangu narudi kuiheshimu.

Mnamo mwaka huu mwezi wa January, nimekutana na mdada mmoja ambaye tulimaliza naye chuo, na kwa bahati nzuri nilikuwa nasoma naye course moja na pia tulikuwa group moja kwenye discussion. Hivyo na mfahamu kwa kiasi alikuwa ni binti mwenye msimamo kwenye mahusiano.

Kipindi hicho sikuweza kumtongoza kwasababu nilikuwa nipo kwenye stress kubwa wakati nasoma university.

Ila ilikuwa namkubali kubali kiasi, ila wakati tukiwa mwaka wa tatu akakutana na jamaa alikuwa ni graduate na anakazi. Jamaa akafanikiwa kumuweka kwenye himaya yake. Kwangu haikuniumiza sana kwa kwasababu sikuwahi kumtongoza akanitoe nje.

Siku zikaenda jamaa akaenda kujitambulisha kwa binti, ikapangwa mpaka siku ya harusi na vitu kwa hivyo.

Jamaa akawa anahairisha harusi mara kwa mara ila kafanikiwa kuzaa naye mtoto, ila baadaye wakaingia kwenye misuguano wakavunja uhusiano na sababu mwanamke anasema jamaa alikuwa na mwanamke mwingine na mpaka sasa eti jamaa anaishi naye na amezaa naye mtoto, anyway mwanamke akamchukua yule mtoto aliyezaa na jamaa akampeleka kwa wazazi wake.

Mpaka nakutanane naye ameachana na jamaa na kwa takribani miaka mitatu. Anyway baada ya kunieleza hayo kwa uchungu nikaanza naye mahusiano baadaye nikaona kwasababu ni mwanamke ambaye namfahamu kitabia tokea nikiwa chuo acha nifumbe macho nifanye haraku za kuweka ndani kwa heshima.

Anyway baada ya kuanza naye mahusiano akapata ujauzito nikaona ili nisimkweze na aone nipo sereous naye ngoja nikamtambulishe, nikampeleka home kwa utambulisho.

Nikawa nimebakiza kibarua ya kwenda kwao ambaye mpaka sasa sijaenda bado.

Sasa leo akanipigia simu akaniambia amepata msiba, nikamuuliza nani akasema baba mkwe wake wa zamani na waenda na dada yake. Anyway sikutaka kumcrash.

Ila nimeona nipate muda wakutafsiri hiyo picture na kujiuliza maswali mengi.

1. Binafsi najiuliza kama ametoka misri na ameamua kwenda Caana kwanini anarudi nyuma

2. Na kama wameachana na hawakufunga ndoa na ameshatambulishwa katika familia nyingine anaenda kule kama nani...?na kwasababu gani hasa...?

Binafsi nikaona huyu anacheza na akili yangu kwasababu kama yupo sereous
Usioe hapo. HATARI HIYO.
 
UKIOA SINGLE MOTHER HAKIKISHA MWANAUME ALIYEMZALISHA UMEMZIDI MAMBO HAYA!

Anaandika, Robert Heriel

Usije ukajichanganya, wala asije akakudanganya mtu yeyote. Single mother sio good match kwenye mahusiano hasa Kwa kijana mdogo mwenye umri Chini ya miaka 40.
Single mother wanahitaji mwanaume aliyekomaa kama Simba Bob Junior.

Elewa kuwa asilimia 90 ya single mother wanamajeraha makubwa na maumivu ya mapenzi, na tayari wanaathari za kisaikolojia katika mapenzi. Hivyo wengi ni wagonjwa wa kisaikolojia.
Hii ni kusema, Kabla hujamuoa single mother ni lazima uhakikishe unamtibu ugonjwa wake wa Kihisia Baada ya kuwa Disappointed na Mwanaume wa awali.
Sasa wewe jichanganye uone yupo Sawa Kwa vile anakuchekea, mnaongea vizuri, sio kweli, wengi ni wagonjwa.

Bila kupoteza muda, Kabla hujamuoa single mother hakikisha mwanaume aliyemzalisha umemzidi mambo yafuatayo;

1. Haiba, Mvuto na mwonekano.
Usije ukajichanganya hata siku Moja, Haiba na mwonekano wa mwanaume ni moja ya mambo ambayo Wanawake wote Duniani wanajivunia. Hakuna mwanamke asiyependa mwanaume asiye na Mvuto. Wasije wakakudanganya na unafiki wao.

Wanawake hawanaga ujanja Mbele ya wanaume wenye haiba, Mvuto na mwonekano mzuri. Tena huyo Mwanaume ATI ndio aliyemzalisha, hapo ndio kabisaa!

Ni lazima umzidi Mwanaume aliyemzalisha Haiba, Mvuto, na mwonekano.
Asije kukudanganya ati hawawasiliani, Huko ni kuzidiwa Akili na Mwanamke.
Elewa kuwa Single mother hata kama atakuwa anachuki vipi Kwa aliyemzalisha lakini kamwe hatoweza kujilaumu kuzaa na Mwanaume mwenye haiba, Mvuto na mwonekano.
Na sio ajabu akawa anajivunia Mbele ya ndugu, rafiki na watoto wake kuwa Mwanaume Fulani alistahili kuwa naye katika safari ya Maisha, hata kama haikuwa riziki kuoana.

Kingine, elewa kuwa ikiwa haujamzidi Aliyemzalisha Kwa haiba, Mvuto na mwonekano Kwa Mwanamke ataihesabu kama aibu kwake, na atakuona wewe sio hadhi yake, hivyo lazima akutese.
Yaani aache kuwasiliana na Mwanaume aliyekuzidi kisa wewe umemuoa😂😂 huwajui Wanawake wewe,

2. Umzidi kiuchumi na kifedha.
Wanawake hawajawahi kujuta kuzalishwa na wanaume wenye uchumi mkubwa na matajiri. Hata kama waachane na kugombana vipi. Bado Mwanamke atajivunia na kuona Sifa kuwa anamahusiano na Mzazi mwenza.
Uliona wapi Mwanamke akamsumbua mwanaume masikini aliyemzalisha? Uliona wapi?

Elewa kuwa Wanawake kwao ni ufahari kuchukua majina ya wanaume wenye sifa Fulani kubwa kama matajiri, Watu mashuhuri, Watawala n.k.
Elewa kuwa utakapomuoa mwanamke aliyezalishwa au aliyewahi kuachwa na Mwanaume mwenye uchumi mkubwa, kwake atataka kutambulika kwa jina la Yule mwanaume mwenye Pesa au tajiri kuliko wewe kapuku.

Kabla hajaoa single mother, jihakikishie kabisa mwanaume aliyemzalisha umemzidi kiuchumi, kifedha na kiutajiri.

Mwanamke hajawahi kuacha kitu Kizuri, fedha, na utajiri hata siku Moja.

Kitendo cha kuona Mwanamke uliyemuoa anawasiliana na Mwanaume aliyemzalisha Kwa kisingizio cha mzazi mwenza kitaalamu Sisi kina Taikon tutakuambia huyo Mwanaume anavigezo Fulani alivyokuzidi aidha ni Mzuri/handsome boy, anahaiba au mwonekano mzuri kukushinda au anafedha kukushinda.

Mwanamke akimpata Mwanaume wa hadhi anayoitaka yaani mzuri/handsome boy au mwenye kipato cha juu automatically ataleta dharau Kwa aliyemzalisha, yaani atataka ajitenge naye na kukata mawasiliano kabisa ili asijeharibu mahusiano yake yenye tija.

Single mother wanahitaji wanaume Heavy weight iwe kiuchumi au kimwonekano au kihadhi.

Na sio single mother tuu, hiyo ni kawaida na asili ya Wanawake wote Duniani.
Mwanamke hata ambaye hajazalishwa, ikiwa yupo sehemu nzuri na Mwanaume wa uchumi wa juu au mwenye mwonekano automatically huwadharau Watu wa hadhi ya Chini.

Ni kawaida mwanamke kwenda kushiriki kwenye matukio ya mwanaume aliyemzalisha kama matukio ya misiba, harusi n.k. ikiwa mwanaume huyo anauchumi mzuri.
Yeye naye atataka ajulikane naye aliwahi kuwa na umiliki Kwa huyo mwanaume.

Mwanamke haishii hapo, hata Watoto aliowazaa kwake ni Sifa kuitwa jina la tajiri au mwenye mamlaka ikiwa tuu alimzalisha.
Lakini wewe kapuku na usiye na Mbele wa Nyuma, sio ajabu Mwanamke hata jina la mtoto asiitwe ubin wako.

Nasisitiza, Mwanamke hajawahi kususa na kuacha kitu Kizuri na utajiri. Haipo hiyo.
Kama umezidiwa na aliyemzalisha Mwanamke uliyenaye alafu anakuambia hawasiliani naye. Jua anakudanganya.

Na hapo ndipo mnapoambiwa Wanawake wanawazidi Akili Kwa sababu ya kuamini maneno Yao kama wajinga wajinga.

Mwisho, Mwanamke anasikia aibu kuoelewa na wewe ikiwa aliyekuwa naye awali alikuwa amekuzidi Kwa mbali Mno.
Kudharauliwa katika mazingira hayo ni Constantly.

Sabato NJEMA

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Takriban 80% ya ulichoandika ni UONGO , wanaokupongeza nawashangaa Sana!!!!! Yaan umeandika pumba kabsaa!!! Umeandika meng lakin Ni hayana maana kabsa
 
Huu ujumbe naenda ku-print na kubandika ukutani kwangu.

Maisha yako hivyo.

Hata ukienda hosp unaumwa Ukimwi utapewa pole lakini wakiwa pembeni wanasema wacha akome alijifanya kitombi sana.

Ndio iko hivyo.
Kinga ni Bora kuliko tiba.
Ndio maana zile sehemu nyeti kama macho kuna involuntary action ya kupepesa ili kuzuia hatari inayokuja, ubongo umezuiwa na mfupa mgumu uitwao Fuvu, moyo umezuiwa na Mbavu.

Kinga ni Bora kuliko tiba
 
Kuna single mom mmoja nlkua nme zoeana nae kiasi .siku nikaona wana shindia uji tu nka sema ngoja nmu sponsor kidgo kesho yake nashangaa naombwa tena nka jua utan nka mpa kesho kutwa yake tena eti sukari na mchele umeisha nkaona hapa nme yakanyaga

Unaweza kumsaidia tuu. Ila weka akilini ukimsaidia anajua ni Kwa sababu anastahili, 😂😂😂 hivyo hataona unachokifanya
 
Kwa mfano mwanamke ameolewa na akapata mtoto au watoto katika ndoa yake ikatokea bahati mbaya mumewe akafariki , je huyu anawekwa kwenye kundi lipi kati ya haya???

a) Single mother.

b) Mjane.

c) a na b yote sawa

Nb : Unapojibu jaribu kutafuta maana ya neno single!!!!!!!!!

Mjane hajawahi kuitwa single mother.
Single mother ni mwanamke aliyezalishwa Kabla hajaolewa na Hana Mume, pili ni Mwanamke aliyetalakiana na mumewe.
 
Umekuna kunako..soma huu mkasa ulionikuta itakusaidia

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Mimi ni mtu ambaye nilikuwa siamini katika kumuoa single mother ila baadaye nikajikuta nimekutana na single mother nikaona nitengue msimamo wangu ila kwa hili msimamo wangu narudi kuiheshimu.

Mnamo mwaka huu mwezi wa January, nimekutana na mdada mmoja ambaye tulimaliza naye chuo, na kwa bahati nzuri nilikuwa nasoma naye course moja na pia tulikuwa group moja kwenye discussion. Hivyo na mfahamu kwa kiasi alikuwa ni binti mwenye msimamo kwenye mahusiano.

Kipindi hicho sikuweza kumtongoza kwasababu nilikuwa nipo kwenye stress kubwa wakati nasoma university.

Ila ilikuwa namkubali kubali kiasi, ila wakati tukiwa mwaka wa tatu akakutana na jamaa alikuwa ni graduate na anakazi. Jamaa akafanikiwa kumuweka kwenye himaya yake. Kwangu haikuniumiza sana kwa kwasababu sikuwahi kumtongoza akanitoe nje.

Siku zikaenda jamaa akaenda kujitambulisha kwa binti, ikapangwa mpaka siku ya harusi na vitu kwa hivyo.

Jamaa akawa anahairisha harusi mara kwa mara ila kafanikiwa kuzaa naye mtoto, ila baadaye wakaingia kwenye misuguano wakavunja uhusiano na sababu mwanamke anasema jamaa alikuwa na mwanamke mwingine na mpaka sasa eti jamaa anaishi naye na amezaa naye mtoto, anyway mwanamke akamchukua yule mtoto aliyezaa na jamaa akampeleka kwa wazazi wake.

Mpaka nakutanane naye ameachana na jamaa na kwa takribani miaka mitatu. Anyway baada ya kunieleza hayo kwa uchungu nikaanza naye mahusiano baadaye nikaona kwasababu ni mwanamke ambaye namfahamu kitabia tokea nikiwa chuo acha nifumbe macho nifanye haraku za kuweka ndani kwa heshima.

Anyway baada ya kuanza naye mahusiano akapata ujauzito nikaona ili nisimkweze na aone nipo sereous naye ngoja nikamtambulishe, nikampeleka home kwa utambulisho.

Nikawa nimebakiza kibarua ya kwenda kwao ambaye mpaka sasa sijaenda bado.

Sasa leo akanipigia simu akaniambia amepata msiba, nikamuuliza nani akasema baba mkwe wake wa zamani na waenda na dada yake. Anyway sikutaka kumcrash.

Ila nimeona nipate muda wakutafsiri hiyo picture na kujiuliza maswali mengi.

1. Binafsi najiuliza kama ametoka misri na ameamua kwenda Caana kwanini anarudi nyuma

2. Na kama wameachana na hawakufunga ndoa na ameshatambulishwa katika familia nyingine anaenda kule kama nani...?na kwasababu gani hasa...?

Binafsi nikaona huyu anacheza na akili yangu kwasababu kama yupo sereous
Akijifungua tu mtoto akue kidgo beba mtoto wako achana nae hawana maana hao story yako Ni copy na yangu nilishachukua mwanangu zamani
 
Back
Top Bottom