Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa
Mzigua hata akija hawezi babaishwa na maneno ya wanaume wajinga wanaotumia udhaifu wa kiumbe mmoja kuwakebehi ndugu zetu single mothers! Akamuulize Mjomba wa waziri Mkuu kwann kajichukulia Zamaradi mwenye watoto wawili
punguza povu basi hao wanaume wajinga ndio wanakuweka mjini ujue.
 
Mie siwekwi mjini na vijaume kama wewe, only gentleman will survive
Uzi mwepesi kama huu unakutoa povu namna hiyo,maneno mazuri utaambiwa na bwana wako tuu hapa J.f kitaeleweka tuu!
 
Uzi mwepesi kama huu unakutoa povu namna hiyo,maneno mazuri utaambiwa na bwana wako tuu hapa J.f kitaeleweka tuu!
Bado una utoto mwingi sana! ila nikushauri muwapumzishe hawa wadada wa watu jamani,kama hamna hoja au mlikutana na kiloja basi msiwa generalize kwa ubaya na mabaya! Nao ni binaadam wanastahili kuzungumziwa mazuri
 
Bado una utoto mwingi sana! ila nikushauri muwapumzishe hawa wadada wa watu jamani,kama hamna hoja au mlikutana na kiloja basi msiwa generalize kwa ubaya na mabaya! Nao ni binaadam wanastahili kuzungumziwa mazuri
Wewe ndio mwenye ubaya na hao wadada watu tena unaonekana mchochezi ukiona uzi upo hapa zaidi ya dk.moja basi ujue umekubalika katika jamii au unafkiri uongozi wa hili jukwaa hawaoni ukiguswa kuwa mpole kubali kubadilika tuu.
 
Back
Top Bottom