Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa
Ugomvi na watu haujawai muacha mtu salama, unataka kuniambia kuwa demu ambae kashatolewa noniii......ni mke wa mtu aliechwa so tusimchumbie....vijana ukioa dem asiye na bikira umeoa mke wa mtu.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ugomvi na watu haujawai muacha mtu salama, unataka kuniambia kuwa demu ambae kashatolewa noniii......ni mke wa mtu aliechwa so tusimchumbie....vijana ukioa dem asiye na bikira umeoa mke wa mtu.....

Sent using Jamii Forums mobile app
Leo ile mada ya umuhimu wa bikra naona watu wanai support kwa nguvu zote[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niaminivyo mm ni kuwa Single mothers ni wanawake wanaojitambua tofauti na hawa wanaochipukia na kujiona bado wana soko na wazuri...
Kwahiyo ili mwanamke ajitambue kwenye ndoa inabidi azalishwe kwanza kabla ya ndoa?
 
Dah kama mi nmetokea kupendana na single maza m1,ni chuma hatar, bado hatujaanza mahusiano rasmi,nipo kwenye probation,.kwa uzur wa huyu dada sjui itakuaje,..na amenielewa kwelkwel,namii nimemuelewa,nshamtoa diner moja,mediteraneo pale,yaan mdada mzur had ananipa mawazo,nawaza kanielewaje hiv mtoto kama huyu,.sijapata jib,af inaonekana huko alikokua kulikua njema saana,yan ile saana,ila kuna kitu alikiongea,maana tulivotoka pale nkampeleka sehem nkamnunulia mwanae pizza ampelekee home,sasa kuna kitu akadokeza,ndo kinanipa mawazo kweli,niingie mazima au la..

Inferiority Complex!
 
Kila mtu na mtazamo wake hakuna kupangiana kama wewe hutaki single mother kausha tuache tulioamua kuwa na single moms tuendelee. Mnawasema vibaya single moms na mnaoa unaosema hawajatumika kuchwa kutwa kugombana kuwa hajatulia. Mtu kuwa single mother siyo kipimo cha kuwa ametumika sana hata hao ambao unawaona hawajazaa wengi wametoa mimba zaidi ya moja. HUWAPENDI SINGLE MOTHER KAUSHA WANAOWAPENDA WATAKUWA NAO.

Duniani kuna dhiki, jipe moyo (Yesu alisema).

Nimesikitishwa sana na huyu Mtoa mada.

Nawapenda sana single mothers, naamini asilimia kubwa yenu mlizaa na wrong choice.

Na mlizaa na sisi wanaume wenyew. Mungu atusamehe sana.

You are very worth and potential like others, Believe IT!

God forgive huyu Mtoa mada! Hayajui ayatendayo
 
nimekumaind sana we mtoa mada. kwa hiyo unahamasisha sisi masingle mother tusiolewe?? Umeshindwa kwa Jina la Yesu, tunaolewa vizuri na ndoa zetu zimejaa upendo kuliko hao wazibua vizibo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wapo wanwake ambao hawana watoto lakini wametumika kuliko hao single mothers, wameumizwa kuliko hao single mothers, na hawana hata nafasi ya kupenda tena. Unaweza kuoa single mother na ukawa mwenye bahati na furaha ya ndoa kuliko alieoa mwanamke asie na mtoto!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"Raha ya soda ukute haijaonjwa"
"Moyo wa mapenzi ni kama glasi. Ukipasuku ufa wake hauzibiki"

Sexless wewe ni ke? Sio kwa "mipasho spesheli" hii
Kati ya haya moja linakuhusu
Moja: wewe n singo maza
Mbili: umeoa singo maza
 
Kama mdada sio singo mom basi ametoa mimba za kutosha ndio hao mnaoa baada ya mda mnatafuta mchawi nani ndoa haina mtoto mnaanza kuhisi nmerogwa au unaoa bikra itafungua njia ila stori za saluni nae atataka mkono wa mtoto ladha yake mashosti watamuunganishia atalala na kila mwanaume anayemuona unabaki unajisifia mke wangu alikuwa bikra wkt wenzako wanalima kila saa
Mnatuponda single mum sawa ila hao mnaokimbilia ni moto yaan natamn siku msome vinavyoandikwa kwenye groups za wa mama fb jinsi mnavyopikwa ila msilolijua nikama ...... nenda baba kaoe huko kitu kipya ziwa sa sita
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] gftydsvcryyjhhg

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom