Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa
Unatoka nyumbani kwako unaenda dukani kwa Mangi unaachagua soda iliyofunguliwa na kunywewa kisha ikasazwa? Hivi huoni kinyaa? Soda zilizo na vizibo mbona zimejaa dukani kwa Mangi? Una tatizo gani hadi unaamua kula makombo?

Single mama hana moyo wa kupenda tena. Hapo amekufanya wewe mwanaume kuwa mti wa kivuli cha shida zake za hisia, kiuchumi, kijamii, n.k. Wahenga wanasema "moyo wa mapenzi ni kama glasi, ukipasuka ufa wake hauzibiki". Maana yake kupenda hakujirudii mara mbili, hasa hasa mwanamke akisha zalishwa...ni kana kwamba moyo wa kupenda unatoka pamoja na mtoto kule leba.

Wewe mwanaume uliyekamilika na unajiamini unaanzaje kumuoa single mama?? Ona kinyaa ndugu yangu. Single mama alishapenda tayari na ndiyo maana akaamua kumpa yule mzazi mwenzie mpk akapata ujauzito. Si ajabu alimkuta bikra jamaa akaitoa, kisha akarudia na kurudia na kaurudia hadi mimba. Leo wewe mkolomije unaenda kuoa. Acha uzembe kwenye mapenzi.

Tafiti zinaonyesha kwamba mwanaume wanao oa masingle mama-- wako katika mojawapo ya makundi yafuatayo;-
--hawajiamini
--wanafuata maslahi
--ni washamba washamba Fulani HV
--waliruka stage ktk makuzi yao

WITO; raha ya soda ukute haijaonjwa
Pia kama hana bikra ni sawa na unachosema kwa mtazamo wako,pia unaweza kuoa halafu akakuzalia mtoto wa mtu mwingine, haya mambo siku hizi hayana ujanja sana, ni vema kumuomba mwenyezi mungu akupe maisha marefu na mazuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tayari kabisa aliamua kuwa mama hata kama angetoa kumi,kuliko ambaye bado anaikaataa hali ya kuwa mama ili abaki sokoni ilihali anatumika.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ha haa haaa [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
Boss sasa hapo umeongea nin yaan aliamua kuwa mama so akaanza kutoa mimba 10 afu ya kumi ndo akazaa?[emoji28] [emoji28] [emoji28]
So hata hao mabinti mnaowaonea wivu wameaumua kuwa mama so wanatoa mimba 10 ili wazae ya kumi ndani ya ndoa so wats difference ??!!!!!
Tuliza mzuka msome mleta mada utamuelewa tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ha haa haaa [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
Boss sasa hapo umeongea nin yaan aliamua kuwa mama so akaanza kutoa mimba 10 afu ya kumi ndo akazaa?[emoji28] [emoji28] [emoji28]
So hata hao mabinti mnaowaonea wivu wameaumua kuwa mama so wanatoa mimba 10 ili wazae ya kumi ndani ya ndoa so wats difference ??!!!!!
Tuliza mzuka msome mleta mada utamuelewa tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Hv shida ni kuzaa au kuolewa na kuzaa kisha kuachika?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pumba vuuuu kabisa ww acha fikra za kinyanyasaji na kibaguzi km hizo unaweza kufananisha binadamu tena mama au dada zetu na ujinga wako
Wreeeeee koma kabisa teeeena usirudie
Shibamiti
 
Ukioa mwanamke ambaye co bikra basi jua huyo alishatoa mimba so hakuna uafadhali,bora single maza aliyeleta baraka duniani
 
Halafu hao ambao mnawaita ndo wapya mnajua background zao? Washatoa mimba kama utiriri huko nyuma! Washatumika zaisi ya mara elfu tena na wanaume tofauti[emoji57]. Halafu wewe unawakashfu single mothers. Nyooo..kafie mbele huko. Mfyuuuu[emoji9][emoji9]
...Kuna kengine hapa kwetu kalikuwa na nyungu ya kuvutia lkn mchezo ilikuwa ni kutoa viumbe mara kwa mara saiv hiyo nyungu imening'inia upande upande inashukia mapajani kamekauka kama nyama ya kubanikwa....kamechoka vibaya mno!!bora viwe vinazaa tu...na vinawaonea wivu sana single mom maana ndiyo habari kwa sisi wanaume tunaotafuta wanawake....siyo hao watoto wa kike mama za Marehemu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom