Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 14,834
- 32,522
Kwani kuzaa inamaanisha hajawahi toa mimba...Hivi mtu aliyetoa mimba kama tano hivi na yule aliyezaa yupi bora
Inawezekana alishatoa 5 ya sita ndo akaamua kuzaa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani kuzaa inamaanisha hajawahi toa mimba...Hivi mtu aliyetoa mimba kama tano hivi na yule aliyezaa yupi bora
Pia kama hana bikra ni sawa na unachosema kwa mtazamo wako,pia unaweza kuoa halafu akakuzalia mtoto wa mtu mwingine, haya mambo siku hizi hayana ujanja sana, ni vema kumuomba mwenyezi mungu akupe maisha marefu na mazuri.Unatoka nyumbani kwako unaenda dukani kwa Mangi unaachagua soda iliyofunguliwa na kunywewa kisha ikasazwa? Hivi huoni kinyaa? Soda zilizo na vizibo mbona zimejaa dukani kwa Mangi? Una tatizo gani hadi unaamua kula makombo?
Single mama hana moyo wa kupenda tena. Hapo amekufanya wewe mwanaume kuwa mti wa kivuli cha shida zake za hisia, kiuchumi, kijamii, n.k. Wahenga wanasema "moyo wa mapenzi ni kama glasi, ukipasuka ufa wake hauzibiki". Maana yake kupenda hakujirudii mara mbili, hasa hasa mwanamke akisha zalishwa...ni kana kwamba moyo wa kupenda unatoka pamoja na mtoto kule leba.
Wewe mwanaume uliyekamilika na unajiamini unaanzaje kumuoa single mama?? Ona kinyaa ndugu yangu. Single mama alishapenda tayari na ndiyo maana akaamua kumpa yule mzazi mwenzie mpk akapata ujauzito. Si ajabu alimkuta bikra jamaa akaitoa, kisha akarudia na kurudia na kaurudia hadi mimba. Leo wewe mkolomije unaenda kuoa. Acha uzembe kwenye mapenzi.
Tafiti zinaonyesha kwamba mwanaume wanao oa masingle mama-- wako katika mojawapo ya makundi yafuatayo;-
--hawajiamini
--wanafuata maslahi
--ni washamba washamba Fulani HV
--waliruka stage ktk makuzi yao
WITO; raha ya soda ukute haijaonjwa
Heri aliyetoa na akazaa kuliko aliyetoa na kajificha kwenye kivuli cha usichana huku tayari ni mama wa marehemu.
Ni fikra potofu kufikiria kuwa kila ndoa inayovunjika basi mkosa ni mwanamke
Je kama huyo singo mama alitoa mimba 5 ya sita ndo akazaa hapo vipi?Heri aliyetoa na akazaa kuliko aliyetoa na kajificha kwenye kivuli cha usichana huku tayari ni mama wa marehemu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa kaka yanguNi fikra potofu kufikiria kuwa kila ndoa inayovunjika basi mkosa ni mwanamke
Sent using Jamii Forums mobile app
Bola aliezaaa kuliko alietoa asizae je hapoJe kama huyo singo mama alitoa mimba 5 ya sita ndo akazaa hapo vipi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Tayari kabisa aliamua kuwa mama hata kama angetoa kumi,kuliko ambaye bado anaikaataa hali ya kuwa mama ili abaki sokoni ilihali anatumika.Je kama huyo singo mama alitoa mimba 5 ya sita ndo akazaa hapo vipi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Umenena mkubwa,,,,, ni mwendo wa kusaka BK tu.Tayari kabisa aliamua kuwa mama hata kama angetoa kumi,kuliko ambaye bado anaikaataa hali ya kuwa mama ili abaki sokoni ilihali anatumika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha haa haaa [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]Tayari kabisa aliamua kuwa mama hata kama angetoa kumi,kuliko ambaye bado anaikaataa hali ya kuwa mama ili abaki sokoni ilihali anatumika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hv shida ni kuzaa au kuolewa na kuzaa kisha kuachika?Ha haa haaa [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
Boss sasa hapo umeongea nin yaan aliamua kuwa mama so akaanza kutoa mimba 10 afu ya kumi ndo akazaa?[emoji28] [emoji28] [emoji28]
So hata hao mabinti mnaowaonea wivu wameaumua kuwa mama so wanatoa mimba 10 ili wazae ya kumi ndani ya ndoa so wats difference ??!!!!!
Tuliza mzuka msome mleta mada utamuelewa tu
Sent using Jamii Forums mobile app
natafuta mpenzi...[emoji4]
...Kuna kengine hapa kwetu kalikuwa na nyungu ya kuvutia lkn mchezo ilikuwa ni kutoa viumbe mara kwa mara saiv hiyo nyungu imening'inia upande upande inashukia mapajani kamekauka kama nyama ya kubanikwa....kamechoka vibaya mno!!bora viwe vinazaa tu...na vinawaonea wivu sana single mom maana ndiyo habari kwa sisi wanaume tunaotafuta wanawake....siyo hao watoto wa kike mama za MarehemuHalafu hao ambao mnawaita ndo wapya mnajua background zao? Washatoa mimba kama utiriri huko nyuma! Washatumika zaisi ya mara elfu tena na wanaume tofauti[emoji57]. Halafu wewe unawakashfu single mothers. Nyooo..kafie mbele huko. Mfyuuuu[emoji9][emoji9]