Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa
Mh! Nivizuri kutafakali kwa undani zaidi unapotaka kuandika kitu,kuliko kukurupuka tu kuwasema vibaya akina mama hawa.Unaweza oa hawo mabinti ambao hawajazqlishwa ukakuta mgumba utafanyaje?haya unakuta binti kweli lakini katoa mimba nyingi tu je? huyu nae anatofauti gqni na single mother? Kuna wingine walizalishwa kwa bahati mbaya,walioachika,waliotelekezwa wee acha tu mbona kuna watu wameoa hawo masingle mother lakini wanafuraha sana ktk ndoa zao.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani mimba ni mtoto?!!![emoji28] [emoji28] [emoji28]
Kwani huyo singo mama tuna uhakika gani hajawahi kutoa mimba?!!!
Vipi utasijiskiaje unaoa singo mama afu akifika kwako anapata secondary infertility yaan unabaki kuitwa baba na mtoto wa mme mwenzio [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mh! Nivizuri kutafakali kwa undani zaidi unapotaka kuandika kitu,kuliko kukurupuka tu kuwasema vibaya akina mama hawa.Unaweza oa hawo mabinti ambao hawajazqlishwa ukakuta mgumba utafanyaje?haya unakuta binti kweli lakini katoa mimba nyingi tu je? huyu nae anatofauti gqni na single mother? Kuna wingine walizalishwa kwa bahati mbaya,walioachika,waliotelekezwa wee acha tu mbona kuna watu wameoa hawo masingle mother lakini wanafuraha sana ktk ndoa zao.

Sent using Jamii Forums mobile app
So kuoa singo mama ni bora kuliko asiye singo mama[emoji28] [emoji28]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanamke aliyezaa ana raha yake bhana.... 1: Ana adabu. 2; Anajua maisha.hata mkilala njaa yeye poa tuu. 3: Ana njia nyingi za mafanikio. 4; ni mvumilivu.... Lkn hivi vibint ambavyo havijui moja wala mbili vinakwenda kujifunzia Kwa mwanaume ni shiidaaa sana.. Vinaropoka mpk siri za ndani.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanamke aliyezaa ana raha yake bhana.... 1: Ana adabu. 2; Anajua maisha.hata mkilala njaa yeye poa tuu. 3: Ana njia nyingi za mafanikio. 4; ni mvumilivu.... Lkn hivi vibint ambavyo havijui moja wala mbili vinakwenda kujifunzia Kwa mwanaume ni shiidaaa sana.. Vinaropoka mpk siri za ndani.....

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli lakini na huyo singo mum alifanya hayo kabla hayamkuta yaliyomkuta,sema tu hao masingo mum wanakuwa wameshajifunza maisha ni nini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani mimba ni mtoto?!!![emoji28] [emoji28] [emoji28]
Kwani huyo singo mama tuna uhakika gani hajawahi kutoa mimba?!!!
Vipi utasijiskiaje unaoa singo mama afu akifika kwako anapata secondary infertility yaan unabaki kuitwa baba na mtoto wa mme mwenzio [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kwa kumpa maswali makini kama hayo. Tena masingo mama ni mabingwa wa utoaji mimba. Hao watoto walionao wameishi baada ya mimba zao kugoma kutoka. Ndiyo maana masingo mama wengi wameathirika kisaikolojia. Kwasababu wanalea watoto waliojaribu kuwaua. Angalia hata michango yao humu ni full jazba.
 
Mwanamke aliyezaa ana raha yake bhana.... 1: Ana adabu. 2; Anajua maisha.hata mkilala njaa yeye poa tuu. 3: Ana njia nyingi za mafanikio. 4; ni mvumilivu.... Lkn hivi vibint ambavyo havijui moja wala mbili vinakwenda kujifunzia Kwa mwanaume ni shiidaaa sana.. Vinaropoka mpk siri za ndani.....

Sent using Jamii Forums mobile app
Adabu na hekima havijengeki kwa kuzaa. Kwahiyo unashauri wanawake wapigwe mimba na kuzaa ndipo wapate akili za kuolewa?
 
Hainaga makombo hile kitu, tena nyingine ndio tamu kuliko hizo unazocheza nazo ndugu.
 
Ni kweli lakini na huyo singo mum alifanya hayo kabla hayamkuta yaliyomkuta,sema tu hao masingo mum wanakuwa wameshajifunza maisha ni nini.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wala siyo kujifunza mkuu. Ni kwamba hawana soko tena, hivyo akimpata mwanaume anaona kama ni bahati ya mtende na anaamua kumganda na kutoa adabu fake.

Angekuwa na adabu yasingemshinda kwa mume wake wa kwanza.

Angekuwa na adabu asingebeba ujauzito kqbla ya ndoa.

Angekuwa na adabu ansinge jaribu kuitoa mimba hadi iliposhindikana ndiyo akakubali kuzaa.

Hawa masingo mama wanalea watoto waliojaribu kuwaua
 
Adabu na hekima havijengeki kwa kuzaa. Kwahiyo unashauri wanawake wapigwe mimba na kuzaa ndipo wapate akili za kuolewa?
Kitendo cha kutelekezwa kinamjengea muda mwingi kufikiri juu ya ujinga wake alioufanya mpk kupelekea kukimbiwa . so unapompata ww tyr akili inakuwa imeshamkaa sawa. 92%ya walioolewa na watoto huwa na adabu sana...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unatoka nyumbani kwako unaenda dukani kwa Mangi unaachagua soda iliyofunguliwa na kunywewa kisha ikasazwa? Hivi huoni kinyaa? Soda zilizo na vizibo mbona zimejaa dukani kwa Mangi? Una tatizo gani hadi unaamua kula makombo?

Single mama hana moyo wa kupenda tena. Hapo amekufanya wewe mwanaume kuwa mti wa kivuli cha shida zake za hisia, kiuchumi, kijamii, n.k. Wahenga wanasema "moyo wa mapenzi ni kama glasi, ukipasuka ufa wake hauzibiki". Maana yake kupenda hakujirudii mara mbili, hasa hasa mwanamke akisha zalishwa...ni kana kwamba moyo wa kupenda unatoka pamoja na mtoto kule leba.

Wewe mwanaume uliyekamilika na unajiamini unaanzaje kumuoa single mama?? Ona kinyaa ndugu yangu. Single mama alishapenda tayari na ndiyo maana akaamua kumpa yule mzazi mwenzie mpk akapata ujauzito. Si ajabu alimkuta bikra jamaa akaitoa, kisha akarudia na kurudia na kaurudia hadi mimba. Leo wewe mkolomije unaenda kuoa. Acha uzembe kwenye mapenzi.

Tafiti zinaonyesha kwamba mwanaume wanao oa masingle mama-- wako katika mojawapo ya makundi yafuatayo;-
--hawajiamini
--wanafuata maslahi
--ni washamba washamba Fulani HV
--waliruka stage ktk makuzi yao

WITO; raha ya soda ukute haijaonjwa
Kuna wengine nibora hao inawezekana alipita njia mbaya wako watoto wameshakua na mahusiano zaidi ya watu 50 lkn umri wao miaka 20
 
Wanahitaji faraja na sio ule moyo wa mapenzi na ndio maana amesema wapo ki socio economic status na kumaliza hisia zao

the great
Aliekwambia hawana moyo wa mapenzi ni nani? Hata wanyama wasio na utashi wana mapenzi,sembuse binadam ambaye moyo wake unasukuma damu.Tuache kasumba ya kuwasakama hawa dada zetu. They are very strong and powerful women
 
Back
Top Bottom