Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa
🤣🤣🤣🤣 Yeye mwenyewe alisema hawezi kufanya sex akiwa na mimba na mimi nikaheshimu maamuzi yake
Na alivyojifungua je? Pale ungesubiri 40 iishe uanze kuomba omba mechi, ona mwenzio kaomba kapewa🤣
Ila tuache utani, achana na single mothers, sie logic huwa tunaziachaga labor, tunachofikiriaga cha Kwanza ni interests za watoto wetu, hapa hisia ndo zinatuongoza...ndo ukikuta Baba mtoto ana maneno matamu unaingia mtegoni, viporo vinapashwa...unamuumiza mtu asiye na hatia.
Ushauri wangu tafuta mdada mbichi mechi ianze 0-0, Wana mapungufu ndio, Ila wewe Kama mwanaume unaweza kumbadilisha awe utakavyo huku ukimvumilia.
 
Huyo atalipwa mshahara wake, Muachie KARMA yupo pale anaona .. Though sio single mother wote ni wasumbufu.
Of course naamini single mother wanakuwa na ufahamu mzuri na darasa Zuri sana kuhusu MAISHA., infact wanakuwa wamezaa na WAHUNI MAVI, kwa bahati mbaya tu.
 
Habari Wakuu

Kumekuwa na uzi nyingi kuhusu single maza wapo ambao wanawatetea na wengine wanawaponda. Mimi ni mmoja Kati ya waanga wa single maza kiukweli ni mtihani mgumu kudumu nao na hii imechangiwa na wao kuwa na akili fupi kwa asilimia kubwa labda mtu alizaa nae awe amekufa, ngoja niwape kilichonikuta.

Ndugu zangu nilimpenda mdada mmoja herufi yake inaanzia J Tena nilimkuta ana mimba ina miezi mi3 na niliona siku nimekutana nae kwenye meet tukaa chini ndio akanieleza na kuniambia huyo mtu aliyempa mimba ameikacha na ameamua kumove on ananionesha hadi message za mazungumzo yao yakionesha kweli mdadda kamove on, na sometimes aliniomba niongee na huyo aliyemzalisha baada ya kuona anamsumbua ili asimfuatilie kabisa.

Baada ya kunithibitishia wameachana nikaona niwe nae kwenye mahusiano na kiukweli nilimsaidia mpaka anajifungua na mahusiano yetu yalikuwa ya moto nikaona kabisa hapa nimepata mtu by the way mimi kwenye maisha yangu yote sijawahi kuwa na mahusiano mawili kwa wakati mmoja yeye alikuwa pekee ndugu nilitoa sana kwake kuanzia muda mpaka kifedha na yeye alinipa mapenzi yakutosha Sana.

Baada ya kupita muda kidogo hapo akiwa tayari ameshajifungua mtoto ana miezi mi4 manzi nikawa si muelewi kabisa na nikaona kuna mabadiliko nayaona kwanza akawa hanitafuti, nikimpigia simu zangu hapokei, na kuanza uswahili wa mambo mengine.

Siku moja nilimpigia simu nikashangaa kapokea mzazi mwenzake jibu alinipa ni kuwa nipo na mama watoto amelala acha kusumbua watu mkuu ilinikera Sana ile kauli nikakata simu wakati huyu manzi aliniambia ameenda kwenye msiba wa ndugu yake kumbe yupo ghetto la mzazi mwenzake. Imepita muda mchache nikakuta nimetumiwa picha mzazi mwenzake yupo na huyo manzi wangu wakipigana mabusu nilijua kabisa aliyotuma hivyo ni yule mzazi mwenzake nikama vile anatafuta bifu na mimi maana number ilikuwa ngeni kwangu na picha nyingine alimpiga akiwa uchi kalala kiupande nadhani ilipigwa bila yeye ( manzi ) kujua maana alikuwa amelala ndugu zangu sikuwahi kuwa kwenye maumivu kama yale kwenye mapenzi aisee kumbuka hapo sijafanya nae mapenzi maana nilimpa muda arecover hali yake ndio niombe mechi

NB: imagine demu nimemvumilia akiwa ana mimba na kipindi chote hicho sikuwa na manzi mwingine au kufanya mapenzi na mtu mwingine alafu the end of the day anakupiga na kitu kizito kiasi hicho
Dah Kuna vijana mna roho nzuri sana. Imagine unamkuta mdada ana mimba afu unaunga tela hadi ajifungue huku ukihudumia na kutumia muda wako afu ata mbususu hupewi !!! Congrats brother you so gentleman.

We move on...tumia uzoefu huo kwenye mahusiano mapya.
 
"Kweli mdadda kamove on, na sometimes aliniomba niongee na huyo aliyemzalisha baada ya kuona anamsumbua ili asimfuatilie kabisa"

Tulikubaliana mpaka uone kaburi na cheti chake cha kuzaliwa, viendani na kadi ya nida na jina kwenye kaburi, na uwe na mkanda wa video.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
"Kweli mdadda kamove on, na sometimes aliniomba niongee na huyo aliyemzalisha baada ya kuona anamsumbua ili asimfuatilie kabisa"

Tulikubaliana mpaka uone kaburi na cheti chake cha kuzaliwa, viendani na kadi ya nida na jina kwenye kaburi, na uwe na mkanda wa video.
Na video kabisa daaa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Nimesoma na kushangaa sana, kweli kuna wanaume na wanaume. Una date na mwanamke mwenye mimba isiyo yako? Wonders shall never end!!
Wanasema mchawi sio lazima akuloge.. vitendo tu 🤓🤓🤓🤓
 
Kijana kutegemea kupanga maisha na mwanamama singo mama huku hajaonyeshwa death certificate na kaburi la bwana aliyemzalisha hiyo ni kujitafutia laana na lawama zisizo za msingi,mwanamke wa kuaminika duniani ni mama yako tu tena ni mwaminifu kwako wewe aliyekuzaa ila kwa baba yako anaweza akawa gunia la misumari

Ikitokea mzazi ana mtoto wa kike aliyezalishwa huyo atolewe kama bonus kwa waowaji ikibidi hata kijana atakaejilipua kumchukua apewe na hela maana hao wanapasua sana vichwa.
 
Ulikumjuta ni mimba miezi 3 halafu hukufanya nae mapenzi du wewe nanga kweli ulikuwa unasubili nini
Kijana mpole sana huyu..Tatizo naona lilianzia hapo..Alimuacha Manzi mpaka anamiss Mizagamuo ya Mzazi mwenzie..
 
Na alivyojifungua je? Pale ungesubiri 40 iishe uanze kuomba omba mechi, ona mwenzio kaomba kapewa🤣
Ila tuache utani, achana na single mothers, sie logic huwa tunaziachaga labor, tunachofikiriaga cha Kwanza ni interests za watoto wetu, hapa hisia ndo zinatuongoza...ndo ukikuta Baba mtoto ana maneno matamu unaingia mtegoni, viporo vinapashwa...unamuumiza mtu asiye na hatia.
Ushauri wangu tafuta mdada mbichi mechi ianze 0-0, Wana mapungufu ndio, Ila wewe Kama mwanaume unaweza kumbadilisha awe utakavyo huku ukimvumilia.
Sio kwamba baba wa mtoto alimuomba ni kwamba alichoenda tu kwake kupeleka watoto nadhani hapo jamaa ndio akatake advantage
 
Dah Kuna vijana mna roho nzuri sana. Imagine unamkuta mdada ana mimba afu unaunga tela hadi ajifungue huku ukihudumia na kutumia muda wako afu ata mbususu hupewi !!! Congrats brother you so gentleman.

We move on...tumia uzoefu huo kwenye mahusiano mapya.
Asante mkuu kwa ushauri
 
Mimi na akili yangu ndogo, kule kunikubalia tu tayari naomba mzigo haijalishi ana ujauzito wa miezi mingapi, mengine atajua mwenyewe.

Wanawake hawanaga huruma na wanaume. Tupo nao tu, ila ni maadui zetu wakubwa.
 
Tulishafunga nyuzi za single mother. Tuli conclude luwa single mother ni nyoka na haaafai kuaminiwa. Endeleeni kujifanya mnaweza kuwabadirisha sasa
 
Habari Wakuu

Kumekuwa na uzi nyingi kuhusu single maza wapo ambao wanawatetea na wengine wanawaponda. Mimi ni mmoja Kati ya waanga wa single maza kiukweli ni mtihani mgumu kudumu nao na hii imechangiwa na wao kuwa na akili fupi kwa asilimia kubwa labda mtu alizaa nae awe amekufa, ngoja niwape kilichonikuta.

Ndugu zangu nilimpenda mdada mmoja herufi yake inaanzia J Tena nilimkuta ana mimba ina miezi mi3 na niliona siku nimekutana nae kwenye meet tukaa chini ndio akanieleza na kuniambia huyo mtu aliyempa mimba ameikacha na ameamua kumove on ananionesha hadi message za mazungumzo yao yakionesha kweli mdadda kamove on, na sometimes aliniomba niongee na huyo aliyemzalisha baada ya kuona anamsumbua ili asimfuatilie kabisa.

Baada ya kunithibitishia wameachana nikaona niwe nae kwenye mahusiano na kiukweli nilimsaidia mpaka anajifungua na mahusiano yetu yalikuwa ya moto nikaona kabisa hapa nimepata mtu by the way mimi kwenye maisha yangu yote sijawahi kuwa na mahusiano mawili kwa wakati mmoja yeye alikuwa pekee ndugu nilitoa sana kwake kuanzia muda mpaka kifedha na yeye alinipa mapenzi yakutosha Sana.

Baada ya kupita muda kidogo hapo akiwa tayari ameshajifungua mtoto ana miezi mi4 manzi nikawa si muelewi kabisa na nikaona kuna mabadiliko nayaona kwanza akawa hanitafuti, nikimpigia simu zangu hapokei, na kuanza uswahili wa mambo mengine.

Siku moja nilimpigia simu nikashangaa kapokea mzazi mwenzake jibu alinipa ni kuwa nipo na mama watoto amelala acha kusumbua watu mkuu ilinikera Sana ile kauli nikakata simu wakati huyu manzi aliniambia ameenda kwenye msiba wa ndugu yake kumbe yupo ghetto la mzazi mwenzake. Imepita muda mchache nikakuta nimetumiwa picha mzazi mwenzake yupo na huyo manzi wangu wakipigana mabusu nilijua kabisa aliyotuma hivyo ni yule mzazi mwenzake nikama vile anatafuta bifu na mimi maana number ilikuwa ngeni kwangu na picha nyingine alimpiga akiwa uchi kalala kiupande nadhani ilipigwa bila yeye ( manzi ) kujua maana alikuwa amelala ndugu zangu sikuwahi kuwa kwenye maumivu kama yale kwenye mapenzi aisee kumbuka hapo sijafanya nae mapenzi maana nilimpa muda arecover hali yake ndio niombe mechi

NB: imagine demu nimemvumilia akiwa ana mimba na kipindi chote hicho sikuwa na manzi mwingine au kufanya mapenzi na mtu mwingine alafu the end of the day anakupiga na kitu kizito kiasi hicho
Hitimisho ulifanya sana ufala kwenye uhusiano wako na single mother huyo. Ni vizuri amekufundisha mandonga ya kimaisha. Ulionja sumu kwa ulimi wakati paka wa kuwaonjesha wapo
 
Habari Wakuu

Kumekuwa na uzi nyingi kuhusu single maza wapo ambao wanawatetea na wengine wanawaponda. Mimi ni mmoja Kati ya waanga wa single maza kiukweli ni mtihani mgumu kudumu nao na hii imechangiwa na wao kuwa na akili fupi kwa asilimia kubwa labda mtu alizaa nae awe amekufa, ngoja niwape kilichonikuta.

Ndugu zangu nilimpenda mdada mmoja herufi yake inaanzia J Tena nilimkuta ana mimba ina miezi mi3 na niliona siku nimekutana nae kwenye meet tukaa chini ndio akanieleza na kuniambia huyo mtu aliyempa mimba ameikacha na ameamua kumove on ananionesha hadi message za mazungumzo yao yakionesha kweli mdadda kamove on, na sometimes aliniomba niongee na huyo aliyemzalisha baada ya kuona anamsumbua ili asimfuatilie kabisa.

Baada ya kunithibitishia wameachana nikaona niwe nae kwenye mahusiano na kiukweli nilimsaidia mpaka anajifungua na mahusiano yetu yalikuwa ya moto nikaona kabisa hapa nimepata mtu by the way mimi kwenye maisha yangu yote sijawahi kuwa na mahusiano mawili kwa wakati mmoja yeye alikuwa pekee ndugu nilitoa sana kwake kuanzia muda mpaka kifedha na yeye alinipa mapenzi yakutosha Sana.

Baada ya kupita muda kidogo hapo akiwa tayari ameshajifungua mtoto ana miezi mi4 manzi nikawa si muelewi kabisa na nikaona kuna mabadiliko nayaona kwanza akawa hanitafuti, nikimpigia simu zangu hapokei, na kuanza uswahili wa mambo mengine.

Siku moja nilimpigia simu nikashangaa kapokea mzazi mwenzake jibu alinipa ni kuwa nipo na mama watoto amelala acha kusumbua watu mkuu ilinikera Sana ile kauli nikakata simu wakati huyu manzi aliniambia ameenda kwenye msiba wa ndugu yake kumbe yupo ghetto la mzazi mwenzake. Imepita muda mchache nikakuta nimetumiwa picha mzazi mwenzake yupo na huyo manzi wangu wakipigana mabusu nilijua kabisa aliyotuma hivyo ni yule mzazi mwenzake nikama vile anatafuta bifu na mimi maana number ilikuwa ngeni kwangu na picha nyingine alimpiga akiwa uchi kalala kiupande nadhani ilipigwa bila yeye ( manzi ) kujua maana alikuwa amelala ndugu zangu sikuwahi kuwa kwenye maumivu kama yale kwenye mapenzi aisee kumbuka hapo sijafanya nae mapenzi maana nilimpa muda arecover hali yake ndio niombe mechi

NB: imagine demu nimemvumilia akiwa ana mimba na kipindi chote hicho sikuwa na manzi mwingine au kufanya mapenzi na mtu mwingine alafu the end of the day anakupiga na kitu kizito kiasi hicho
Acha undazi wewe chukua ngombe mwenye ujauzito ana dili akizaa utakunywa maziwa ila siyo mwanamke
 
Habari Wakuu

Kumekuwa na uzi nyingi kuhusu single maza wapo ambao wanawatetea na wengine wanawaponda. Mimi ni mmoja Kati ya waanga wa single maza kiukweli ni mtihani mgumu kudumu nao na hii imechangiwa na wao kuwa na akili fupi kwa asilimia kubwa labda mtu alizaa nae awe amekufa, ngoja niwape kilichonikuta.

Ndugu zangu nilimpenda mdada mmoja herufi yake inaanzia J Tena nilimkuta ana mimba ina miezi mi3 na niliona siku nimekutana nae kwenye meet tukaa chini ndio akanieleza na kuniambia huyo mtu aliyempa mimba ameikacha na ameamua kumove on ananionesha hadi message za mazungumzo yao yakionesha kweli mdadda kamove on, na sometimes aliniomba niongee na huyo aliyemzalisha baada ya kuona anamsumbua ili asimfuatilie kabisa.

Baada ya kunithibitishia wameachana nikaona niwe nae kwenye mahusiano na kiukweli nilimsaidia mpaka anajifungua na mahusiano yetu yalikuwa ya moto nikaona kabisa hapa nimepata mtu by the way mimi kwenye maisha yangu yote sijawahi kuwa na mahusiano mawili kwa wakati mmoja yeye alikuwa pekee ndugu nilitoa sana kwake kuanzia muda mpaka kifedha na yeye alinipa mapenzi yakutosha Sana.

Baada ya kupita muda kidogo hapo akiwa tayari ameshajifungua mtoto ana miezi mi4 manzi nikawa si muelewi kabisa na nikaona kuna mabadiliko nayaona kwanza akawa hanitafuti, nikimpigia simu zangu hapokei, na kuanza uswahili wa mambo mengine.

Siku moja nilimpigia simu nikashangaa kapokea mzazi mwenzake jibu alinipa ni kuwa nipo na mama watoto amelala acha kusumbua watu mkuu ilinikera Sana ile kauli nikakata simu wakati huyu manzi aliniambia ameenda kwenye msiba wa ndugu yake kumbe yupo ghetto la mzazi mwenzake. Imepita muda mchache nikakuta nimetumiwa picha mzazi mwenzake yupo na huyo manzi wangu wakipigana mabusu nilijua kabisa aliyotuma hivyo ni yule mzazi mwenzake nikama vile anatafuta bifu na mimi maana number ilikuwa ngeni kwangu na picha nyingine alimpiga akiwa uchi kalala kiupande nadhani ilipigwa bila yeye ( manzi ) kujua maana alikuwa amelala ndugu zangu sikuwahi kuwa kwenye maumivu kama yale kwenye mapenzi aisee kumbuka hapo sijafanya nae mapenzi maana nilimpa muda arecover hali yake ndio niombe mechi

NB: imagine demu nimemvumilia akiwa ana mimba na kipindi chote hicho sikuwa na manzi mwingine au kufanya mapenzi na mtu mwingine alafu the end of the day anakupiga na kitu kizito kiasi hicho
Ubwege ulifanya, ungechapa unatembea
 
Back
Top Bottom