Moronight walker
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 3,103
- 4,704
Kwa hio unauhakika hawatawasiliana na mke wako???Sio mbaya kuwa nao, ila ili kuwatengenesha kabisa na baba Mtoto wake Jitahidi ufanye hili..
Marufuku mkeo kuongea na baba mtoto wake, mnunulie simu house girl baba mtoto akitaka kujua hali ya mtoto wake ampigie house girl, hiyo inaenda sambamba na akitaka kumuona mtoto wake wewe isikuletwe usumbufu wowote, house girl ampeleke huyo mtoto kwa baba yake, kama ni stend sjui guest au hotel aende house girl.
Ni Marufuku mkeo kukutana na baba wa mtoto kwasababu yoyote ile..
Ukiona hataki hilo.. PIGA CHINI OA ASIYEZAA, MUANZE WOTE 0-0
Otherwise utachapiwa tu.
Ni others huyu 🤔Hv sexless ni ke au me??? We jamaa ni munoma!!!
Comment za hovyo kabisa. Kwamba mama alifanya upuuzi wakati fulani iwe justification ya kuendeleza upuuzi huo?Wewe unauhakika gani mama yako sio single mama!! Inawezekana huyo unayemuita Baba sio baba yako mzazi ila amesingiziwa mimba na mama yako hivyo nawe upo kwenye grp la mtoto kutoka kwa single mama....kabla ya kuandika kaa na ujifikirie mara kadhaa je wewe sio Mhenga kutoka kwa single mama
Sent using Jamii Forums mobile app
Bro malaya nao wanajificha kwenye ndoa kaka.Kila siku watu wanalia wake zao wanacheat na makoloni ya zamani ili hali hawakuzaa na wengine wana anzisha mapya, tena mapya ndiyo mengi kweli
Huyo ni ke ndugu sio broBro malaya nao wanajificha kwenye ndoa kaka.
Sasa matatizo yote haya ya nini mwanamume unajitesa duu.Waswahili wanasema huwezi zuia mafuriko kwa mikono, kama huyo single madha aliachana na mpenzi wake kwa kigezo chochote nje na mgogoro wa kimapenzi jua tu at some point watafanya yao tu. Japo si wanawake wote wenye akili za kijinga.
Ishu kama kuachana kwa sababu ya ugumu wa maisha, Baba mtoto akishaimarika kiuchumi lazima muwe mnashea mke kinamna flani!
Nina shemeji yangu ambaye ye ameamua ku control hio situation kwa kuwa ana meet na jamaa anytime ambapo atakuwa anahitaji kumuona mtoto na huwa anampeleka yeye personally so sister hana nafasi ya kuonana na mzazi mwenzie. Nadhani ndio option nzuri zaidi
Bora kuoa king'ada tuSasa mates yote haya ya nini mwanamume unajitesa duu.
Daaa shida zote za nn.basi hakikisha we ndio unampeleka mtoto then maisha yatakuwa smooth tu.
Yank mwanaume mwenzio anakuendesha niletee mtoto wangi sehemu flani na wewe unapeleka daaa.Mateso yote hayo ya nini..... bora kuweka sawa tangu mwanzo..... Naongea kutokana na uzoefu..... na mimi ilibaki kidogo nitumbukie kwenye hilo janga lakini namshukuru Mungu kwa kunionesha viashiria mapema sana.....
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie ni wa zamani sio wa sasaTulia, fuata moyo wako na endelea. Ndugu siku zote huangalia upande wao siyo matakwa yako. Wewe kama mnapendana na ameisharidhia basi achana na matakwa ya ndugu. Ila usimfiche wasi wasi wako ili kesho na kesho kutwa yakikukuta ajue ulimweleza. Mme wangu namzidi miaka mitatu pia na tuna watoto wanne mmoja akiwa huyo aliyenikuta naye na wote wana kazi isipokuwa mmoja anachukua Masters na wote ni graduates na tunapendana kama kwamba tumeoana jana.
Mmmh sio kweli hii miezi sitakwa mieezi sita
Duuu mama yake alifanya nini.mangatara,
Kuna dogo alimtia kitofa hawala wa mama yake akamzimisha jumla kwa mambo hayo hayo ya kutombnia kwenye nyumba ya babaake...
Mkuu ilikuwaje huyo jamaa.Write your reply...muhuni wangu cheddy alikufa kifo cha kizembe kisa hawa hawa single mother na tulimuonya kabisa single mother sio wanawake wa kuoa hakuskia
embu ona wivu wa mapenz ulipomfikisha ipumzike kwa amani roho yake
Nipo kwenye mahusiano na single mother mwenyewe watoto watatu na mimi bado Sina mtoto nikimwambia kuhusu watoto wake waende kwa baba yao ataki na anasema ataki kusikia Habari hizo kuhusu watoto waende kwa baba yao.nifanyaje