The ice breaker
JF-Expert Member
- Apr 20, 2023
- 880
- 1,985
Leo nimetongoza mdem wa tatu,Hata wewe una watoto.umezalisha kwa hao unawasema
Kwa hiyo mtawapa mimba mnaenda kutafuta wasiokuwa na watoto
Oeni wanne wanne kama hamuwezi hata wawili
Tatizo la vijana ni masikini jeuri hata hela ya kodi wengine hawana, ugomvi na mwenye nyumba sasa mtaacha kukataa ndoa kiaina kweli [emoji1]
Wapumbavu tu..Idadi ya singo maza ni kubwa sana Usisahau pia wanawake wengi age under 25 wapo katika machaguzi awe, mrefu awe na hela ,mwanaume asiyejua kuvaa simtaki kipindi hichi mnakuwa na market kubwa sana mnajaa dharau na kiburi matokeo yake ndio hayo mnakutana na wahuni kuzalishwa na kuachwa mkifika miaka 31 tunawaona hata hapa jf tena vigezo vikiwa vimepungua kabisa
Watu wamehamia kwa vitoto baada ya kukutana na hiyo kadhia.Bonjour
Aisee sio poa ndugu zangu , yani siku hizi single mother zimejaa sana mtaa,. daaa Yani kila Dem nikitongoza Kwa ajili kuwa nae kwenye mahusiano, katika kumi , tisa ni single mother...
Hao marafiki zako wanazidi 10???🙄🙄🙄Utafiti nimefanyia mtaani, tena Kwa marafiki zangu wa karibu kabisa
Mbona Kama unajitetea iyo Hali.maisha yalivyo magumu ulee mtt ama watt ambao hujawazaa. Hata wanyama wenyewe Ilo hawawezi kulifanyaWanaume wamekuwa wachache sana na Bado wengine wameingia ushoga...
Kifupi wanaume wamepungua
Nawahurumia sana hawa viumbeLeo nimetongoza mdem wa tatu,
Wote ni single mother, tena by evidence
Hao pia mnawafanya masingle Mother alafu mnashangaa idadi inaongezekaWatu wamehamia kwa vitoto baada ya kukutana na hiyo kadhia.
Ni mtihani kwakweliKila anaezalisha mwanamke hataki kuoa single mom...
Mtu kazalisha wadada wawili halafu anasema sioi single mom....
Utasema watu wamerogwa Kwa upumbavu
Picha linaanza wametoka kwa mtendaji wa Mtaa wakiwa wameamuliwa KESI ya Mtoto ikaamuliwa mtoto aende na baba maana mama hua anamuacha mtoto anatanga tanga tu, ile wamefika nje tu ukazuka ugomvi mkubwa Mama anamtaka mwanae akaanza kuokota mawe yaliyopo pembezoni mwa Jengo la ofisi ya mtendaji akampiga baba kichwani amuache mtoto nikashuhudia baba anapigwa na kipande cha tofali kichwani mpaka akaanguka chini ndio watendaji na wajumbe wengine wakatoka ofisini wakaja nje kuamulia ugomvi kipindi hicho mtoto analia baba anavuja damu kichwani baada ya kupigwa na kitifali na mama wa mtoto huku mama nae anapiga makelele na kujaza watu anamtaka mtoto wake...Acha uongo!!!!
Huo utafiki wa 9/10 men hawataki kuoa Single Mother umeufanya wapi????
Kabila gani?Nawahurumia sana hawa viumbe
Kuna kafanyakazi home kalipata mimba kakaondoka
Sasa akawa anazunguka anauza matunda
Tukamshauri mdogo wake asiwe na maisha kama ya Dada yake
Cha ajabu pamoja na onyo hilo nae akapata mimba
Sijui ni maadili au ni uzembe au upumbavu hata sielewi
Ni Zaid ya kumi MzeeHao marafiki zako wanazidi 10???[emoji849][emoji849][emoji849]
Hahaha mtoto msenge weweSasa wewe mwenyewe ni single mother,unaanzaje kuwaponda wenzako? Au kwavile wewe ulipata bahati ya kuolewa?
Nakupa like 100Kila anaezalisha mwanamke hataki kuoa single mom...
Mtu kazalisha wadada wawili halafu anasema sioi single mom....
Utasema watu wamerogwa Kwa upumbavu