Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa
"2. Unamtukana na kumfokea baba mtoto wako, huku ni kukosa heshima. Hili ndio lililonifanya nilete ili bandiko, hivi mwanamke mwenye heshima na unaitaka ndoa unaanzaje kumtukana mwanaume? Unamwambia mwanaume acha Useng3 we ms3nge tuma hela mtoto anaumwa na ni mzima kabisa kisa tu umelala huna bundle alafu unategemea huyo baby dady ndio aje akufanye mke? Kuna wanaume wanataabika sana kisa hawa watoto."



Hio no mbili ndio ilisababisha nikaachana na mzazi mwenzangu na bado anaendelea na hio tabia so solution nimeamua kukaa kimya na kukata huduma nilizokua natoa ili awe na haki kabisa ya kunitukana
Huu ujinga wanao single mothers wengi, issue ni kukata mawasiliano na huduma kwa muda apambane mwenyewe akili zimsogee,sana ataishia kugawa K kwa elfu 3
 
Kifungu cha 26( 2 ) cha Sheria ya mtoto, namba 21 ya 2009 kinasema kuwa ni vizuri mtoto aliye chini ya umri wa miaka saba akae na mama. Hata hivyo ni vema kufahamu kuwa kifungu hiki hakikusema ni lazima( shall) mtoto wa umri huo akae na mama.
Kifungu kinasema suala la mtoto chini ya umri wa miaka saba kukaa na mama ni dhana inayoweza kutozingatiwa( rebuttable presumption). Ni dhana inayoweza kutozingatiwa kwa maana kuwa zipo sababu ambazo mtoto chini ya umri huo inaweza kuamuliwa kukaa na baba au mtu mwingine yeyote ambaye ataonekana kufaa zaidi kuliko mama.
Kwahiyo lazima tuzingatie kuwa sio lazima mtoto chini ya umri wa miaka 7 kukaa na mama.
Ndiyo maana nikasema busara ndiyo hutumika katika kuamua kwamba mtoto wa umri chini ya miaka saba kuwa chini ya baba badala ya mama.

Na
 
Ndiyo maana nikasema busara ndiyo hutumika katika kuamua kwamba mtoto wa umri chini ya miaka saba kuwa chini ya baba badala ya mama.

Na
Mkuu, wewe umesema busara then mimi nimekuletea fact na vifungu vya sheria.
On top of that, mimi niliwachukua wanangu watano (5) wote kutoka kwa wamama tofauti na nikaishinao kipindi kile nilikua sijaoa.
Kwahiyo ninakueleza mifano ambayo mimi binafsi nimeipitia na sijasimuliwa.
 
Wanawake wa ckuiz Ni miyeyusho Sana, atakung'ang'ania umzalishe ili akugeuze kiteka uchumi chake kila siku haishi kukupiga mizinga.

Huyo jamaa yako Ana akili Sana aachane na huyo mchunaji aendelee na maisha Yake.
mpaka sasa hana mpango nae watalea tu mtoto
 
Mkuu, wewe umesema bisara then mimi nimekuletea fact na vifungu vya sheria.
On top of that, mimi niliwachukua wanangu watano (5) wote kutoka kwa wamama tofauti na nikaishinao kioindi kile nilikua sijaoa.
Kwahiyo ninakueleza mifano ambayo mimi binafsi nimeipitia na sijasimuliwa.
Sawa
 
Na ole wako unisagie kunguni 🤣

halafu jirani mkeo kanichekesha sana kuna uzi fulani katupia picha yake, bonge la shangazi. 😂😂😂 kawaje sijui siku hizi!
Nimesha mnawa yule, mwanamke kakosa heshma na utii tangu apate mgao wa pesa ya bandari...☹️
Jirani, saivi nina kitu kipya yaani new babe in town...😋
 
Nimesha mnawa yule, mwanamke kakosa heshma na utii tangu apate mgao wa pesa ya bandari...☹️
Jirani, saivi nina kitu kipya yaani new babe in town...😋
😂😂😂 nasubiri kukutana nae kwenye comments ntamjua tu usitambulishe!
 
aise too bad hivi wanapata wapi huo ujasiri wa kumtukana mwanaume? Tena mbaya zaidi mwanaume anaetekeleza wajibu wake
Acha mkuu ilinibidi nisitishe huduma zote isipokua school fees tuu ili awe na sababu ya kutukana na hata suala la ada nina mpango wa kusitisha nikiona anaendelea na matusi yake
 
Back
Top Bottom