Hapa sio mwana, umezaliwa na mwanamke. Mengine kwenye hizi comments ni hatred of female rather than kupeana alert. Hatuishi hivyo mkuu.

unaonekanwa hayjakukuta. Sijui wazamani, ila wa zama hizi 99.9% ni mashetani.
 
Umepigwa na kitu kizito kichwani?.


Siku zote asiyesikia la mkuu huvunjika mguu
Nafikiri na wenyewe wanahitaji kuhurumiwa jameni! nahisi hata asiye single pia anaweza kuwa na tukio pia! 😄
 
angalizo,
unapokua na mahusiano na single mother kuwa njee ndani. usimuamini wala kuwa na future nae piga mbupu tu, kwasababu huwa hawajui washike lipi na waache lipi
 
unaonekanwa hayjakukuta. Sijui wazamani, ila wa zama hizi 99.9% ni mashetani.
Nimepitia mahusiano na single mother ila tulishaachana naye, nakumbuka hadi kumsomesha nilimsomesha ila alinibadilikia vibaya sana na kuja kunionyesha highest level of disrespect alipokuwa anakaribia kumaliza masomo. Ila yalishapita, sioni haja ya kucondemn na wengine ambao mimi siwajui na sijawahi kuwa kwenye mahusiano nao. Sisi ni wanaume tumepewa vifua vipana na vikubwa vya kubeba mengi, hivyo samehe na potezea. Anavuna alichokipanda kwasasa ila still sio sababu ya kumuombea mabaya au kumlaani isipokuwa namuonea sana huruma.
 
Mjadala ufungwe kwa comment hii, wadada wamejenga taswira za aina ya wanaume wanaowataka ambao kiuhalisia ni wachache sana. Sisi tusio nacho hawatutaki, hence wanapigwa mimba na kuachwaa.
Na huo ndiyo ukweli,wasisingizie uchache wa wanaume wala uwepo wa ushoga.
Ni tamaa zao
 
Kuna mjomba wangu alikuwa anasema unakwendaje kuchukuwa mwanamke ambaye ameshindwana na mwanaume? Anyways mara nyingi wanasema kusikiliza story ya upande mmoja ni hatari sana.
 
Hayajakukuta Mkuu,hawa viumbe wanaweza sababisha umuone mtoto wako mateso
 
Huyu hasikiki vizuri, mwingine aende akahakikishe [emoji16][emoji16]
 
Ukiona ivyo ujue umalaya na usinzi umekisiri sana huko mitaani watoto wadogo wanaendekeza ngono zembe unategemea nini aisee waache watombwe wazalishwe mpk akili ziwakae sawa

Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app
 
Kama umemchoka tuachie sisi...
Tumle mpaka mifupa sisi ndo mafisi....

Woooyooo!!!
 
Utakuja kuoa na hutokuja jutia, vina nmetumia kudhihilisha bado unakua,

Umri ukikupaa utakuja kuwaoaa na maua yangu utanpatia.
 
Tatizo ni wanaume suruali, wasiotaka majukumu, na mabinti machepele macho juu juu tu, wakisaka macho matatu kwa udi na uvumba!
Pili ni wazazi wameacha kulea na kutoa masomo kwa watoto,Wa Toto wanalelewa, na shule na mtaa
 
Matokeo ya mkutano wa beijing
 
Nyie jizimeni data wanawake now hataki kutawaliwa Fashion na Habari ya njini kwao ni mtoto
 
Nafikiri na wenyewe wanahitaji kuhurumiwa jameni! nahisi hata asiye single pia anaweza kuwa na tukio pia! 😄
Wanasema wazee ukitaka kuoa single mother hakikisha umeona kaburi la mzazi mwenza, nje ya hapo kimbia usithubutu kugeuka nyuma.

Siyo mimi niliyesema hivyo ni wao wazee.
Unachagua kusuka au kunyoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…